Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitaala ya shule zibadilikeBasi shule zipigwe marufuku na watoto waruhusiwe kuzaa wakiwa mashuleni
Inabidi wafanye hivyo katika juhudi binafsi, kwa sababu ukikosa kipato ni changamoto ndani ya familiaKwaiyo wanafunzi wote wasome fani zenye tija
Nakubaliana na wewe, na maisha lazima yaendelee; je ujuzi ulionao unakusaidia hata kupata shilingi mbili tatu?Hata hao wanosema "TUJIARI" wao wenyewe wameajiriwa!!
Naaam! si haba, manake njia ya kwenda uani japo haina "pavements" !! hakuna nyasi zimeota!Nakubaliana na wewe, na maisha lazima yaendelee; je ujuzi ulionao unakusaidia hata kupata shilingi mbili tatu?
Sitafuti uniqueness, hizo walishazitafutaga wakina Newton. Hapa nasaka mawe tuKatika uhasibu wako ni kitu gani umekifanya kipya? Na unathibitishiaje ulimwengu, kuwa wewe ni unique kwenye uhasibu?
Nmeshakuelewa... inawezekana jambo la kwanza watu wengi wanapeleka magari garage za mtaani ambazo ni kama watu washazoea, na kitu cha kijinga kwenye ufundi huu ni kwamba mtu akishalock kwa Fundi wake ndio huyo huyo, mzee alikuwa anakauli yake anasema gari yangu hagusi fundi mwingine zaidi ya tall, na alikuwa anapigiwa anakuja nyumbani....Mkuu mbali na kujiajiri,hii kozi kila ajira zinazotangazwa ajira Portal..aisee kwa mwaka utawz ona mara 2 tu..halafu wanataka 1 au2 tu..
Pia kazi zikitangazwa za Automobile..Mechanical Eng anaweza kuapply na akapata,ila za Mechanical Eng..Automobile Eng tukiapply ajira portal SYSTEM INATUKATAA..Yaani Tafrani tu.
Nipo kitaa mwaka wa 4 huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo ata kama na miaka 38 bado sijachelewa mkuu
Mkuu, yaan una automobile engineering then una haha mtaani? Nahisi una elimu cheti na sio ujuzi.. mie sijasoma automobile engineering but aim good in automobile mpaka najionea wivu and aim getting easy money like nobody business.. (i did banking and finance from ifm, i am a banker and mechanics at the same time..) automobile industry inapesa nyingi za nje nje kwakua ni eneo ambalo ukiwa expert, unajipangia bei ya vitu.. hakuna fixed price ya kucharge.. so wewe ndo unakua monopolist wa ku determine price ya huduma yako. Be good at what you are doing utapata pesa mpaka utakimbia
Mkuu, yaan una automobile engineering then una haha mtaani? Nahisi una elimu cheti na sio ujuzi.. mie sijasoma automobile engineering but aim good in automobile mpaka najionea wivu and aim getting easy money like nobody business.. (i did banking and finance from ifm, i am a banker and mechanics at the same time..) automobile industry inapesa nyingi za nje nje kwakua ni eneo ambalo ukiwa expert, unajipangia bei ya vitu.. hakuna fixed price ya kucharge.. so wewe ndo unakua monopolist wa ku determine price ya huduma yako. Be good at what you are doing utapata pesa mpaka utakimbia
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Natumaini unatumia mitandao ya kijamii; Anza kuji-brand, unaweza kutumia jina; Fundi magari- Bingwa, elezea changamoto za gari zilivyo, na namna unavyoweza kutatua, kila kazi weka kiwango kidogo cha fedha, na uweke kipengele...nafuata mteja alipomkuu mimi ni mechanical engineer nalijua gari but issue ni kupata mteja man kila mwenye gari ana fundj wake