Ukosefu wa hedhi tangu kipindi cha balehe

Ukosefu wa hedhi tangu kipindi cha balehe

Walimwambia eti tatizo lake sio kubwa bali mirija sijui ya nini imefunga, najipanga nimpeleke hata muhimbuli

Inawezekana shida yake kubwa ikawa ni kwenye upande mzima wa hormones,gyno ndo mtu anayeweza msaidia.
Nafikiri vipimo vya hormones vitaleta majibu mazuri.

Namuonea huruma
 
Basi ndugu zangu nisiwachoshe na tusichoshane.iko hivi baada ya kataa ndoa kijipatia point tatu kwangu maana sijui nielezeje ila ndoa yangu ishajifia, nikafanya harakati za kutafuta mahusiano mapya yatakayokuwa rasim huko siku za mbele ila bila ndoa.

Nikamtokea binti fulani baada ya mazungumzo ya hapa na pale nikaweka malengo mezani akakubali ila akaamua kuniambia wazi yeye ana tatizo la uzazi kwamba hakuwahi kupata hedhi tangu anavunja ungo, nikashtuka huenda huyu hata shimo hana ila akanihakikishia yuko flesh na mzigo nikapewa nikapiga vema[emoji2960] (sorry),nikaona nimdadisi tatizo nini na lilianzaje akaniambia hakuwahi kupata hedhi tangu avunje ungo na kwenye ukuaji wake hata matiti kuna kipindi yanakua halafu yanarudi kuwa madogo na mambo mengine mara kuumwa n.k.

Sasa wataalamu huyu atakuwa na shida gani, tiba zake zikoje na mimi ndugu yenu moyo umesita kumwacha maana itakuwa ni sawa na uuaji, nataka nimsaidie japo kwa kiasi changu ikishindikana pia ni sawa nambeba hivyo hivyo nitampa hawa madogo nilionao wawe wa kwake maana mama zao hata hawaeleweki nakaa nao mwenyewe.
Huyu anahitaji hormonal treatment plus some foods upplements.
 
Inawezekana shida yake kubwa ikawa ni kwenye upande mzima wa hormones,gyno ndo mtu anayeweza msaidia.
Nafikiri vipimo vya hormones vitaleta majibu mazuri.

Namuonea huruma
Asante pia
 
MREJESHO.

baada ya kutulia kwa siku kadhaa, nikaamua kuomba matokeo ya vipimo alivyopina awali, nikapewa nimeviambatanisha kwenye picha karatasi nyeupe, kisha nikampeleka hospital nyingine tukapima upya utra sound majibu ya dakitari yanaonekana kama yalivyo hapo kwenye karatasi ya njano picha ya pili na kadai kuna ulazima wa kufanyiwa upasuaji nimpeleke muhimbili kwamba shingo ya uzazi haijaungana au haipo etc.

Sasa wadau hapo bado bado sijapata ufumbuzi akili yangu inaniambia kuna namna ya kufanya bila kutumia njia au gharama ndefu sana sema ndo sielewi.

Bado nahitaji msaada ndugu zangu nini cha kufanya hapa?View attachment 3047512
20240720_222254.jpg

View attachment 3047515View attachment 3047516
View attachment 3047518
 
Back
Top Bottom