Uchaguzi 2020 Ukosefu wa hela ya kupiga kampeni wageuka neema kwa vyama vikubwa nchini

Uchaguzi 2020 Ukosefu wa hela ya kupiga kampeni wageuka neema kwa vyama vikubwa nchini

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Njia pekee ya kukabiliana na gharama za uchaguzi ingekuwa kutoa ruzuku na misaada kwa vyama vya siasa nchini. Kukosekana kwa hela ya kumudu gharama za kupiga kampeni imesababisha vyama vidogo kuviunga mkono vyama vikubwa kwenye mbio za uchaguzi.

Kama kungekuwa na ruzuku ya kupigia kampeni TLP na UDP wasingekubali kuunga mkono juhuhi za CCM kwenye uchaguzi. Hivyo hivyo na ATC-Wazalendo wasingefikiria kuunga mkono juhudi za CHADEMA kwenye uchaguzi wa rais.

Aliyebuni wazo la kuvinyima ruzuku na vyanzo vingine vya kupata hela hakujuwa kile ambacho kingejitokeza kwa CCM na Chadema.

Leo hii Chadema bila kutarajia imejikuta ikiungwa mkono na ACT from no where. Hii ina maana kuwa chadema sasa ina nguvu nyingi kuliko ilivyokuwa ikitegemewa.

Hawa washauri wetu lazima watimzamwe upya.
 
Wengine tulitamani hivi miaka mingi kuwa na lundo la vyama ni matumizi mabaya ya neno uchaguzi! mpaka hapa tunaenda vzr tukiwa vyama viwili tukisema tunaingia kwenye uchaguzi mambo ndio kama hivyo aliekuwa anatumia ubabe kuuzia watu vitambulisho bila risit wala kusema hela anapeleka wapi Sasa anavikana kwamba sio lazima
 
Kwanini sasa ACT walimpa nafasi ya uwanachama na kumpitisha kuwamgombea Urais?
ili kupunguza kura za ccm. kwani kaondoka na watu Kyle japo hawajajionyesha hadhatani. lia kuruka mitego ya time ya ccm ya uchaguzi
 
Wengine tulitamani hivi miaka mingi kuwa na lundo la vyama ni matumizi mabaya ya neno uchaguzi! mpaka hapa tunaenda vzr tukiwa vyama viwili tukisema tunaingia kwenye uchaguzi mambo ndio kama hivyo aliekuwa anatumia ubabe kuuzia watu vitambulisho bila risit wala kusema hela anapeleka wapi Sasa anavikana kwamba sio lazima
Inasemekana pesa ile itumika kuwalainishia wapinzani akina Nasari wakubali kuunga juhudi
 
Unajua anachopenda Mungu kufanya huambatana na changamoto. Kwa mpango wa Mungu, Lisu alipaswa kuwa mgombea urais 2020. Angepenyaje ktk makamanda wote wa CDM?
Plan ya Mungu,
1)Lisu anza harakati za kupinga udkt uchwara
2). Jiwe fanya ushirika na Bashite.
3). Anazisha kitengo cha incognito
4). Incognito mimina magazine kwa Lisu.
5)Lisu nusurika kwa nguvu yake Mola, nenda nje kakutane na dunia.
6) Lowasa/Sumaye pata hofu - rejea mlipotoka
7) Nchi yote saiiii!!!!! Yaani kimyaaa!!!
8) Polepole/Bashiru anazisha kero, kero, kero, vikao, nunua wapinzani, TV zote TUMETEKELEZA KWA KISHINDOOOO!!!!. Hakuna kingine cha kuangalia. Kila ukifungua Tv utasikia Mwanantala na reli au Greyson na Bwawa la umeme au Rioba na dream liner.
9) Ni uhakika sasa upinzani umefariki
10) Mara vuuuup! Usiyempenda kaja!
11) Ohooooo, walala hoi wote Lisu, Lisu, Lisu, Lisu, Rais, Rais,, Rais!!!!!!!
12) Zuia huyo Membe asiingize pesa za kampeni, kamata na msaidizi.
13). Mara paaaab! Bakuli la uchaguzi hadharani. Halina CAG wala udhibiti wa msajili. Hata TCRA hawezi ona muamala, TRA haijui nani kaweka nini kwenye bakuli, sasa nani akamatwe kwa kuchangia mgombea?
14) Kwa wasioweza tembea bakuli wamebaki na njia moja tu! Kuunga mkono mgombea wa Uhuru Haki na Maendeleo au kuunga juhudi ujenzi wa miundombinu!
15) Amani iliyopo sasa ni sababu tu ya Robert & Amsterdam, vinginevyo yale ya Ole Sabayi wa Arumeru yangetamalaki!
16) Huenda hata kuondoka mapema kwa Mzee Mkapa ni Mpango wa Mungu kumnusuru na dhambi ya kunyima wananchi Haki yao katika kutangaza mshindi.
17) Mungu hajamaliza kazi yake, ukiona kuna ugumu wowote, jua Mungu anajiandaa kutoa jibu jepesi.
#Tuendelee kusubiri!!!
 
Unajua anachopenda Mungu kufanya huambatana na changamoto. Kwa mpango wa Mungu, Lisu alipaswa kuwa mgombea urais 2020. Angepenyaje ktk makamanda wote wa CDM?
Plan ya Mungu,
1)Lisu anza harakati za kupinga udkt uchwara
2). Jiwe fanya ushirika na Bashite.
3). Anazisha kitengo cha incognito
4). Incognito mimina magazine kwa Lisu.
5)Lisu nusurika kwa nguvu yake Mola, nenda nje kakutane na dunia.
6) Lowasa/Sumaye pata hofu - rejea mlipotoka
7) Nchi yote saiiii!!!!! Yaani kimyaaa!!!
8) Polepole/Bashiru anazisha kero, kero, kero, vikao, nunua wapinzani, TV zote TUMETEKELEZA KWA KISHINDOOOO!!!!. Hakuna kingine cha kuangalia. Kila ukifungua Tv utasikia Mwanantala na reli au Greyson na Bwawa la umeme au Rioba na dream liner.
9) Ni uhakika sasa upinzani umefariki
10) Mara vuuuup! Usiyempenda kaja!
11) Ohooooo, walala hoi wote Lisu, Lisu, Lisu, Lisu, Rais, Rais,, Rais!!!!!!!
12) Zuia huyo Membe asiingize pesa za kampeni, kamata na msaidizi.
13). Mara paaaab! Bakuli la uchaguzi hadharani. Halina CAG wala udhibiti wa msajili. Hata TCRA hawezi ona muamala, TRA haijui nani kaweka nini kwenye bakuli, sasa nani akamatwe kwa kuchangia mgombea?
14) Kwa wasioweza tembea bakuli wamebaki na njia moja tu! Kuunga mkono mgombea wa Uhuru Haki na Maendeleo au kuunga juhudi ujenzi wa miundombinu!
15) Amani iliyopo sasa ni sababu tu ya Robert & Amsterdam, vinginevyo yale ya Ole Sabayi wa Arumeru yangetamalaki!
16) Huenda hata kuondoka mapema kwa Mzee Mkapa ni Mpango wa Mungu kumnusuru na dhambi ya kunyima wananchi Haki yao katika kutangaza mshindi.
17) Mungu hajamaliza kazi yake, ukiona kuna ugumu wowote, jua Mungu anajiandaa kutoa jibu jepesi.
#Tuendelee kusubiri!!!
Daaah weee jamaaa umenikosha!Umepangilia vizuri matukio .Ni mjinga tu au anayenufaika na utawala wa jiwe hataweza kuyaona haya kama yalivyotokea.
 
Back
Top Bottom