sauti ya busara40
New Member
- Jan 10, 2025
- 1
- 1
Ukosefu wa Maji Baadhi ya Wananchi Mtaa wa Luguruni Wilaya ya Ubungo
Tangu Februari 2024, baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Luguruni tumekutana na tatizo la ukosefu wa huduma ya maji.
Tumeshajaribu kuwasiliana na DAWASA ili kutafuta ufumbuzi, lakini hadi sasa hatujapata hatua za vitendo wala majibu ya kutusaidia.
Hali ya Shida:
Ukosefu wa maji umekuwa kikwazo katika shughuli za kila siku, hususan kwa usafi na afya.
Tunahitaji msaada wa haraka ili kuondokana na changamoto hii. Halafu Dawasa wamekuwa wakitupotezea yaani hawajali
Tangu Februari 2024, baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Luguruni tumekutana na tatizo la ukosefu wa huduma ya maji.
Tumeshajaribu kuwasiliana na DAWASA ili kutafuta ufumbuzi, lakini hadi sasa hatujapata hatua za vitendo wala majibu ya kutusaidia.
Hali ya Shida:
Ukosefu wa maji umekuwa kikwazo katika shughuli za kila siku, hususan kwa usafi na afya.
Tunahitaji msaada wa haraka ili kuondokana na changamoto hii. Halafu Dawasa wamekuwa wakitupotezea yaani hawajali