Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sio mwanake,, nimeongea tuu just mawazo yanguWewe huwa unatumia?
Mkuu ulifikiri kivingine kabisa. huyu kakulia kwenye mserereko mwanzo mwisho hajui adha ya maji.Mimi nilifikiri Rais akiwa mwanamke haya hayatatokea!!!
Wote anNani? Mwananchi media au?
Daaah ila wee jamaa nahisi kwenye kupinga harakati za mama wewe ni namba mojaLazima ubishe ili kuonesha Mama añaupiga mwingi,
WoteKina nani?
Alafu unakuta kuna li kiongozi linaishi kwa ubadhirifu wa pesa ya umma. Huku watu wananawia mikojoChangamoto ya upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Oltepes kilichopo Kata ya Orbomba, wilayani Longido huwalazimu wasichana na wanawake wa eneo hilo kutumia siagi ya ng’ombe ili kudhibiti damu ya hedhi na mkojo wa ng’ombe kujisafisha.
Wanawake hao hulazimika kutumia siagi hiyo (mafuta ya ng’ombe) kujipaka maeneo ya sirini, sambamba na vipande vya nguo za zamani ili kuifanya damu hiyo isishike katika nguo zao.
Eneo hilo lenye wakazi wapatao 4,000, hutembea umbali wa kilomita tano kutafuta maji, lakini nyakati za kiangazi wanapolazimika kutumia mkojo wa ng’ombe hutembea mpaka kilomita 10 kutafuta tu maji ya kunywa na kupikia kwenye mabwawa.
Hiyo ni sehemu ya adha wanayoipata wakazi wa maeneo kadhaa wilayani humo, licha ya sera ya maji kuelekeza majisafi na salama yapatikane umbali usiozidi mita 400 kutoka makazi ya watu yalipo.
Elizabeth Olodo (40) ni miongoni mwa wanawake wanaopitia changamoto hiyo kijijini hapo. Katika maisha yake yote, amekuwa akitegemea nguo za zamani na siagi ya ng’ombe ili kudhibiti hedhi yake.
Ingawa ni njia isiyo salama na kawaida, hii imekuwa ni chaguo lake pekee katika eneo ambalo taulo za hedhi ni anasa.
Elizabeth hujipaka siagi hii sehemu za siri ili kuepuka madoa kwenye nguo zake. Wakati wa kiangazi, ambapo maji ni haba, anakutana na changamoto kubwa zaidi kukusanya mkojo wa ng'ombe na kuuweka kwenye ndoo.
Ni bora kununua magoliChangamoto ya upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Oltepes kilichopo Kata ya Orbomba, wilayani Longido huwalazimu wasichana na wanawake wa eneo hilo kutumia siagi ya ng’ombe ili kudhibiti damu ya hedhi na mkojo wa ng’ombe kujisafisha.
Wanawake hao hulazimika kutumia siagi hiyo (mafuta ya ng’ombe) kujipaka maeneo ya sirini, sambamba na vipande vya nguo za zamani ili kuifanya damu hiyo isishike katika nguo zao.
Eneo hilo lenye wakazi wapatao 4,000, hutembea umbali wa kilomita tano kutafuta maji, lakini nyakati za kiangazi wanapolazimika kutumia mkojo wa ng’ombe hutembea mpaka kilomita 10 kutafuta tu maji ya kunywa na kupikia kwenye mabwawa.
Hiyo ni sehemu ya adha wanayoipata wakazi wa maeneo kadhaa wilayani humo, licha ya sera ya maji kuelekeza majisafi na salama yapatikane umbali usiozidi mita 400 kutoka makazi ya watu yalipo.
Elizabeth Olodo (40) ni miongoni mwa wanawake wanaopitia changamoto hiyo kijijini hapo. Katika maisha yake yote, amekuwa akitegemea nguo za zamani na siagi ya ng’ombe ili kudhibiti hedhi yake.
Ingawa ni njia isiyo salama na kawaida, hii imekuwa ni chaguo lake pekee katika eneo ambalo taulo za hedhi ni anasa.
Elizabeth hujipaka siagi hii sehemu za siri ili kuepuka madoa kwenye nguo zake. Wakati wa kiangazi, ambapo maji ni haba, anakutana na changamoto kubwa zaidi kukusanya mkojo wa ng'ombe na kuuweka kwenye ndoo.
Maji anauokunywa ng'ombe huko machungani wewe unaweza kunywa au kufanyia matumizi mengine domestic?!Mmh! Nimejikuta nawaza hivyo hayo maji wanayokunywa hao ng'ombe mpaka wanapata huo mkojo yanatoka wapi?
Tanzania ni kubwa! Na mfumo wa maisha wa jamii za wafugaji ni mfumo wa maisha ya kuhamahama. Na hata wakiweka makazi yao hali ya mtawanyiko wa makazi yao huwa changamoto kwa sababu utakuta sehemu ambayo zingekaa kaya 20 katika vijiji vya kawaida inakaliwa na kaya moja katika vijiji vya wafugaji ili kila mmoja apate eneo la kuweka mifugo yake bila kuingiliana na mifugo ya jirani zake.Mimi nilifikiri Rais akiwa mwanamke haya hayatatokea!!!