KERO Ukosefu wa Namba ya NIDA unaninyima haki zangu za msingi na inanitia umasikini

KERO Ukosefu wa Namba ya NIDA unaninyima haki zangu za msingi na inanitia umasikini

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

hmaloh

Senior Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
162
Reaction score
314
Ndugu zangu wanaJF, huu ni mwaka wa sita sasa mtanzania mimi nahangaika kupata huduma hii muhimu lakini mpaka sasa nahisi kukata tamaa kwa maana kila nikiuliza naambiwa bado mfumo mpya haujatangazwa hivyo tuendelee kusubiri kwa wale tusiokuwa na namba ya nida na kibaya zaidi huku mtaani mfumo hushabadilika karibuni huduma zote muhimu zimeunganishwa na namba ya nida.

Lakini ipo hivi ndugu zangu mimi picha nilipiga na taratibu zote nilifata ila baada ya kufatilia namba ndio nikaambiwa alama zangu za vidole zimekuwa duplicated na alama za vidole za wengine na shida ndio ikaanzia hapo.

Daah inaniumiza sana hii issue nimekosa fursa kibao kupitia namba ya nida.
 
Ndugu zangu wanaJF, huu ni mwaka wa sita sasa mtanzania mimi nahangaika kupata huduma hii muhimu lakini mpaka sasa nahisi kukata tamaa kwa maana kila nikiuliza naambiwa bado mfumo mpya haujatangazwa hivyo tuendelee kusubiri kwa wale tusiokuwa na namba ya nida na kibaya zaidi huku mtaani mfumo hushabadilika karibuni huduma zote muhimu zimeunganishwa na namba ya nida.

Lakini ipo hivi ndugu zangu mimi picha nilipiga na taratibu zote nilifata ila baada ya kufatilia namba ndio nikaambiwa alama zangu za vidole zimekuwa duplicated na alama za vidole za wengine na shida ndio ikaanzia hapo.

Daah inaniumiza sana hii issue nimekosa fursa kibao kupitia namba ya nida.
Tungekuwa na mahakama huru labda watu wangeweza kufungua kesi mahakamani.

Jaribu kuongea na wanasheria kuhusu kufungua kesi kwenue hili kuonesha mfano kuwa watu wanaumizwa na huu uzembe.

Tena unawawekea mahesabu kabisa ya pesa ulizokosa wakulipe.
 
Tungekuwa na mahakama huru labda watu wangeweza kufungua kesi mahakamani.

Jaribu kuongea na wanasheria kuhusu kufungua kesi kwenue hili kuonesha mfano kuwa watu wanaumizwa na huu uzembe.

Tena unawawekea mahesabu kabisa ya pesa ulizokosa wakulipe.
Daaaah inaniuma sana mipango yangu mingi inafeli kisa tu hii namba yao yani hadi nachanganyikiwa😥😥😥
 
Ndugu zangu wanaJF, huu ni mwaka wa sita sasa mtanzania mimi nahangaika kupata huduma hii muhimu lakini mpaka sasa nahisi kukata tamaa kwa maana kila nikiuliza naambiwa bado mfumo mpya haujatangazwa hivyo tuendelee kusubiri kwa wale tusiokuwa na namba ya nida na kibaya zaidi huku mtaani mfumo hushabadilika karibuni huduma zote muhimu zimeunganishwa na namba ya nida.

Lakini ipo hivi ndugu zangu mimi picha nilipiga na taratibu zote nilifata ila baada ya kufatilia namba ndio nikaambiwa alama zangu za vidole zimekuwa duplicated na alama za vidole za wengine na shida ndio ikaanzia hapo.

Daah inaniumiza sana hii issue nimekosa fursa kibao kupitia namba ya nida.
Pole, yaani fafanua, ni kwamba ulipitia hatua zote za ujazaji Yale maform yao mpaka fingers print, unamaana miaka sita yote hiyo hujawahi pata namba ya NID, nenda kajaze tena upate namba ingine, ni fasts tu, imezidi sana wiki tatu, na kama mkono ukinyooka siku Tatu mpaka saba.
 
Yani picha ishapigwa Kila kitu tayr alafu niende tena nikapige picha wakat wenyewe wanasema kupiga picha mara mbili haiwezekani
Nenda kituo kingine mbali, kama wakikuta taarifa zako zipo waambie huko ulikoanzia walikwambia mtandao unasumbua na kwa sasa huwezi rudi kwani ushahama jumla, omba kuanza upya!

Pia kuna Mdau hapo juu kasema "nyoosha mkono"
 
Back
Top Bottom