luki2
Member
- Oct 9, 2013
- 34
- 5
Mkuu tafadhali nisaidie katika hili. Anafanya kazi katika kampuni ya mtu binafsi. Mtu huyu amekua na tabia ya kukosa nidhamu kazini mara nyingi kazini anakuja amelewa.
Mwajiri amechukua hatua ya kumsimamisha na sio the first time alishasimama tena kama wiki mbili akarud kazini amemiss behave kwa mara nyingine tena ndo akasimamishwa.
Mhusika amesha kaa zaidi ya mwezi sasa na amekuja anadai mshahara wake na tayari anaenda mahakamani ni mkorofi sana.
Je kitu gan mwajiriwa anatakiwa kufanya/kuchukua hatua gani kwa mfanyakazi wa hivi?
Na je mfanyakazi ana haki ya kuendelea kulipwa mshahara wake?
Mwajiri amechukua hatua ya kumsimamisha na sio the first time alishasimama tena kama wiki mbili akarud kazini amemiss behave kwa mara nyingine tena ndo akasimamishwa.
Mhusika amesha kaa zaidi ya mwezi sasa na amekuja anadai mshahara wake na tayari anaenda mahakamani ni mkorofi sana.
Je kitu gan mwajiriwa anatakiwa kufanya/kuchukua hatua gani kwa mfanyakazi wa hivi?
Na je mfanyakazi ana haki ya kuendelea kulipwa mshahara wake?