Ukraine iko karibu kukubali imeshindwa kivita.

Ukraine iko karibu kukubali imeshindwa kivita.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ukiondoa ushabiki wa Marekani na vyombo vyake vya habari wanaowachochea waukraine wapigane kwa niaba yao lakini ukweli unaopatikana katika matamshi ya waukreni wenyewe kuanzia raisi Zelensky mpaka mameya wa miji mbali mbali ni kwamba vita baina yao na Urusi vimeshawarudisha nyuma sana.Kwanza Zelensky ameomba misaada kwa lugha kali mpaka koo limemkauka ameamua kukaaa kimya.Kwa upande wa msemaji wa kijeshi jana alikiri kwambaa viwanda vyote vya kijeshi vimeshabomolewa na makombora ya Urusi.Kwa upande wa meya wa Mariupol amesema mitaa mingi ya jiji hilo la bandari sasa inashikiliwa na majeshi ya Urusi.
Mpya ya leo ni kuwa baada ya kuhisi ahuweni ya vita baada ya kauli ya mbinu za kivita ya urusi kurudisha nyuma jeshi lake,leo meya wa mji mkuu wa Kiyv amesema mapigano ni makali mno kuzunguka jiji hilo kutokea magharibi na mashariki.Hii ni dalili kuwa Urusu ukiondoa propaganda za NATO amedhamiria kutokurudi nyuma kabla ya kuiteka Ukraine yote.
 
mpaka wachawi wa ukraine wakataka kumroga putin lakin wameshindwa
img_2_1648818926919.jpg
img_1_1648818915049.jpg
 
Ukiondoa ushabiki wa Marekani na vyombo vyake vya habari wanaowachochea waukraine wapigane kwa niaba yao lakini ukweli unaopatikana katika matamshi ya waukreni wenyewe kuanzia raisi Zelensky mpaka mameya wa miji mbali mbali ni kwamba vita baina yao na Urusi vimeshawarudisha nyuma sana.Kwanza Zelensky ameomba misaada kwa lugha kali mpaka koo limemkauka ameamua kukaaa kimya.Kwa upande wa msemaji wa kijeshi jana alikiri kwambaa viwanda vyote vya kijeshi vimeshabomolewa na makombora ya Urusi.Kwa upande wa meya wa Mariupol amesema mitaa mingi ya jiji hilo la bandari sasa inashikiliwa na majeshi ya Urusi.
Mpya ya leo ni kuwa baada ya kuhisi ahuweni ya vita baada ya kauli ya mbinu za kivita ya urusi kurudisha nyuma jeshi lake,leo meya wa mji mkuu wa Kiyv amesema mapigano ni makali mno kuzunguka jiji hilo kutokea magharibi na mashariki.Hii ni dalili kuwa Urusu ukiondoa propaganda za NATO amedhamiria kutokurudi nyuma kabla ya kuiteka Ukraine yote.
Ukrain ameshinda vita ila sema basi tu, haipendi sifa kama tule mwana bongo flava
 
Urusi kafanya shambulio fake kwenye ardhi yake ili apate kisingizio cha kuachana na yale mazungumzo ya akina Abromovich
Ni ajabu eti mi 24 helikopta za Ukraine leo asubuhi zimeingia km 40 zikashambulia na kurudi Ukraine salama! Hi inafikirisha. Binafsi siamini hii Ni false flag ili mtu aendelee kuchapwa
 
Ukiondoa ushabiki wa Marekani na vyombo vyake vya habari wanaowachochea waukraine wapigane kwa niaba yao lakini ukweli unaopatikana katika matamshi ya waukreni wenyewe kuanzia raisi Zelensky mpaka mameya wa miji mbali mbali ni kwamba vita baina yao na Urusi vimeshawarudisha nyuma sana.Kwanza Zelensky ameomba misaada kwa lugha kali mpaka koo limemkauka ameamua kukaaa kimya.Kwa upande wa msemaji wa kijeshi jana alikiri kwambaa viwanda vyote vya kijeshi vimeshabomolewa na makombora ya Urusi.Kwa upande wa meya wa Mariupol amesema mitaa mingi ya jiji hilo la bandari sasa inashikiliwa na majeshi ya Urusi.
Mpya ya leo ni kuwa baada ya kuhisi ahuweni ya vita baada ya kauli ya mbinu za kivita ya urusi kurudisha nyuma jeshi lake,leo meya wa mji mkuu wa Kiyv amesema mapigano ni makali mno kuzunguka jiji hilo kutokea magharibi na mashariki.Hii ni dalili kuwa Urusu ukiondoa propaganda za NATO amedhamiria kutokurudi nyuma kabla ya kuiteka Ukraine yote.
Kwani ninani aliyemvamia mwenzie tuanzie kwanza hapo
 
Back
Top Bottom