Ukraine iko karibu kukubali imeshindwa kivita.

tatizo mwandiko haueleweki [emoji2961]
 
Aliyedhalilika ni huyo anayetumia mataifa zaidi ya 30(NATO) kupigana na nchi isiyopewa nguvu hata na nchi zaidi ya 4(RUSSIA) tu.
Mkuu mbinu za kijasusi hazina mipaka urussi hawez kuwa na military base nyingi kama marekani sababu uwezo huo kifedha wa kuzihudumia, anatamani sana Ila uwezo Hana,

Marekani budget ya ulinzi ni USD billion 700, huku urussi ni billion 60 na kumbuka marekani ana GDP ya trillion 22 huku urussi akiwa na GDP ya trillion 1.6 unaona kabisa utofauti ulivyokua Mkubwa

China baada ya kuwa na nguvu kiuchumi kajenga artificial islands zenye Kambi za kijeshi south china sea kibabe anafanya yote hayo sababu ana uwezo kifedha
 
Aliyedhalilika ni huyo anayetumia mataifa zaidi ya 30(NATO) kupigana na nchi isiyopewa nguvu hata na nchi zaidi ya 4(RUSSIA) tu.
Kwani urusi kabla kuivamia ukraine hilo swala alikuwa halijui?
na wakati huo urusi yeye alikuwa anajiita superpower.
 
Kwani Russia alishaondoa miguu yake cuba?,kwenye kilima cha Santa cruz de los pinos bado kuna vidole vyake 18,na ndio kisa cha USA kutokuivamia cuba,
 
Mauripol Ukraine waliipaginia kwa nguvu zote ndo bado iko chini ya Ukraine, urussi amerudi nyuma hata Chernobyl, irpin hizo sehemu wameziachia kwa Ukraine inawezekana wanajiroup
Brother unaongelea Mariupol gani maana hii tunayoijua sisi basi mpaka muda huu majengo yote ya serikali yana bendera za urusi
 

Ukraine hawapigani vita bali wanajilinda.

Ukraine anashindwa vipi sasa wakati Mrusi kalazimika kuanza kujiondoa?
 
Usichokielewa ni kwamba;
Marekani ni nchi chokozi,vamizi na wezi wa rasilimali za nchi nyingine. Hivyo analazimika kuwa na jeshi kila mahali ili kufikia malengo yake.

Pia uwezo wa silaha zake kuishambulia Russia moja kwa moja tokea Marekani,itachukua muda. Hivyo analazimika kujisogeza karibu na Russia kila upande.
Kwa ufupi jeshi la Marekani limeundwa kwa mfumo wa kuwa chokozi na la kuahambulia.

Russia jeshi lake ni la kujilinda. Sio chokozi. Hana haja yakuwa na kambi nyingi nje. Ye hukushambulia unapokuwa kitisho kwake.

Kwa sababu hizo,lazima jeshi la Marekani liwe na bajeti kubwa. Ukizingatia makampuni yanayotengeneza silaha zake ni yakibiashara. Wakati Urusi makampuni yanayotengeneza silaha yanamilikiwa na serekali.
Ya Marekani yanaiuzia serekali kwa faida.
Ya Urusi yanatoa huduma

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Sio chokozi hata tajiri lazima awe na ulinzi wa kutosha, na mabody guard ni tofauti na maskin au mtu wa Kawaida hio ndo human nature huwezi sema tajiri anafanya hayo Sababu ni mchokozi hio ni hoja dhaifu,

hata kwenye history tawala ziluzokua na nguvu ziliwekeza sana kwenye jeshi mfano roman empire
 
Ulinzi ni kama Urusi anavyofanya. Marekani ni mwizi,Mbabe wa kijinga. Mgombanishi. Hakuna vita inayotokea asiwe na mkono wake humo.
Hivyo hujikuta anachukiwa na kujenga uadui na wengi. Hata hao wanaojiita marafiki,wanamvumilia kuepuka shari zake

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna uamuzi wa kijinga duniani kama uamuzi wa nchi mbili kuingia kwenye vita huku mgogoro unaopelekea uwepo wa vita hiyo ukiwa ulikuwa na option ya mazungumzo kala ya vita kuanza
 
Nakazia,
Bado Iko chini ya Ukraine [emoji16]View attachment 2172410
Uyu comedian hana akili ameruhusu western na northern block zitumie nchi yake km battle ground na mwisho wa cku wanaumia wananchi wake, German inampa makombora ya kutungua ndege za urusi na German hyo hyo inanunua gas kutoka Russia kwaajili ya viwanda vyake,mjinga yeye maana soon nchi za NATO zitarudisha uhusiano wa kibiashara kimya kimya na urusi bila kutangaza maana maisha ya RAIA wao yanazidi kua magumu as effects za vikwazo walivyojiwekea wenyewe.
 
Ndio maana nimekwambia yule rais wao hana akili
 
Ndio maana nimekwambia yule rais wao hana akili
Ni funzo zuri kwa nchi nyengine.Msichague waigizaji na wanamichezo kuwa viongozi wa nchi.Akili zao katika nyanja za kisiasa huwa ni ndogo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…