Ukraine ilianza kupokea misaada ya kijeshi na kiuchumi toka 2014, lakini mpaka leo kilio chake ni kilekile cha kuomba silaha. Hii imekaaje?

Ukraine ilianza kupokea misaada ya kijeshi na kiuchumi toka 2014, lakini mpaka leo kilio chake ni kilekile cha kuomba silaha. Hii imekaaje?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Agenda ya nchi za Magharibi kuidhoofisha urusi kwa kuitumia ukraine hasa ilianza tangu mwaka 2014 baada ya kumpindua Rais aliyekuwa wa mlengo wa Urusi.

Tangu wakati huo nchi za Magharibi zimekuwa zikiipa Ukraine silaha na mafunzo ya kijeshi ili hatimaye ukraine itiwe kiburi kukataa makubaliano ya amani chini ya, mkataba wa minsyk. Ukraine ikatiwa kiburi kukataa kuwa nchi neutral kijeshi.

Kwa kufanya hivyo nchi za magharibi zilijua kabisa kuwa zinaisukuma ukraine kuvuka mstari mwekundu wa Urusi hivyo walikuwa na uhakika kuwa Urusi lazima itaishambulia Urusi.

Kwa hiyo nchi za Magharibi zikawa zimejiandaa kuipatia silaha ukraine mfululizo zikiamini kuwa kwa kufanya hivyo hatimaye urusi itazidiwa nguvu.

Lakini kinyume chake ukraine kila siku analilia silaha utafikiri huwa hapewi silaha! Muda huu jimbo la Donbas karibu lote linakombolewa!
 
tujiorganise wabongo, tumtengenezee Putin sanam hapa bongo, Pro-NATO wajinyonge kabisa.
Hili wazo ni zuri sana. Kigezo ni kwamba Putin ameivimbia Marekani na washirika wake yenye kiburi cha kutaka kujifanya ndiyo polisi wa dunia!

Marekani ililazimisha makaratasi yake kuwa ndiyo pesa ya dunia!! Putin kasema hayo makaratasi ni taka taka, hayataki na amethamini pesa yake ya ndani inayobebwa na utajiri wa mali asili za urusi!!
 
Back
Top Bottom