Ukraine itume mabalozi wake kwenda Mkoa wa Mara kuchukua wapiganaji, mkoa huu unapenda sana kazi za Jeshi

Ukraine itume mabalozi wake kwenda Mkoa wa Mara kuchukua wapiganaji, mkoa huu unapenda sana kazi za Jeshi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Yani Hakuna haja ya kutafuta, wakifika huko watakuta kuna foleni tayari inawasubiri kuanzia wajita, wakurya, wajaluo, Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta.



Hata kipindi cha vita ya Kagera, kila mkoa ulipewa nafasi elf 2 za vijana.wanaotaka kwenda vitani lakini hizo nafasi zilikuwa chache sana kwa Mkoa wa Mara, zilishambuliwa kama mchele uliorushwa kwa kuku wenye njaa.

Ajabu ni kwamba mikoa mingine hizo nafasi elf 2 hazikujaa kwahio wale watu wa Mara waliokosa nafasi mkoa wao ikabidi waanze kusafiri kwenda mikoa mingine ili kujaza nafasi zilizowazi.

Hali hii ilipelekea mpaka mkoa wa Mara wapewe upendeleo maalum kwa kuongezewa nafasi ziwe nyingi katika mkoa wao lakini bado zilishambuliwa.

Linapokuja swala la kupenda jeshi hawa jamaa huwaambii kitu.

Serikali ya Ukraine iende huo mkoa itoe hata nafasi elf 5 nina uhakika zitashambuliwa haraka mno.
 
Kundi la wapiganaji 1000 wasiokuwa na mafunzo ni hasara kabisa na wanazidiwa na wanajeshi 20 wenye mafunzo
 
🤣🤣🤣 waTz tumefikia huku kutoa ndugu zetu kafara!!khaa
 
Yani Hakuna haja ya kutafuta, wakifika huko watakuta kuna foleni tayari inawasubiri kuanzia wajita, wakurya, wajaluo, Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta.



Hata kipindi cha vita ya Kagera, kila mkoa ulipewa nafasi elf 2 za vijana.wanaotaka kwenda vitani lakini hizo nafasi zilikuwa chache sana kwa Mkoa wa Mara, zilishambuliwa kama mchele uliorushwa kwa kuku wenye njaa.

Ajabu ni kwamba mikoa mingine hizo nafasi elf 2 hazikujaa kwahio wale watu wa Mara waliokosa nafasi mkoa wao ikabidi waanze kusafiri kwenda mikoa mingine ili kujaza nafasi zilizowazi.

Hali hii ilipelekea mpaka mkoa wa Mara wapewe upendeleo maalum kwa kuongezewa nafasi ziwe nyingi katika mkoa wao lakini bado zilishambuliwa.

Linapokuja swala la kupenda jeshi hawa jamaa huwaambii kitu.

Serikali ya Ukraine iende huo mkoa itoe hata nafasi elf 5 nina uhakika zitashambuliwa haraka mno.

Kwani Bujibuji Simba Nyanaume ni mzawa wa maeneo ya huko? Mboni kumtendea ndivyo sivyo kiasi hicho hali Bwana "Putout" kamkwaza sana.

Kwa hakika bwana Bujibuji Simba Nyanaume hayuko peke yake.
 
Kawaulize Uganda kilichowapata 😂😂
Enzi za mwalimu hizo mkuu. Na kanchi kenyewe uganda.
Halafu huko Ukraine watu wana silaha za kisasa, drones, mindege ya generation sijui ya ngapi.
Siku hizi vita imebadilika watu wana tatctics wanasaidiwa na gadgets, wanatumia ma gps.
Unampeleka mtu hata hawezi soma cordinates kwenye kifaa, si ataambulia kushangaa tu.
If you live in the past the future will never find you, hata Rome iliwahi kuwa Dola ikatawala kila kona.
 
Enzi za mwalimu hizo mkuu. Na kanchi kenyewe uganda.
Halafu huko Ukraine watu wana silaha za kisasa, drones, mindege ya generation sijui ya ngapi.
Siku hizi vita imebadilika watu wana tatctics wanasaidiwa na gadgets, wanatumia ma gps.
Unampeleka mtu hata hawezi soma cordinates kwenye kifaa, si ataambulia kushangaa tu.
If you live in the past the future will never find you, hata Rome iliwahi kuwa Dola ikatawala kila kona.
Ukraine muda huu mazoezi bado yanaendelea,

1645985437270.png
 
Kundi la wapiganaji 1000 wasiokuwa na mafunzo ni hasara kabisa na wanazidiwa na wanajeshi 20 wenye mafunzo
Hii inawezekana kwenye movie ya Rambo
Lakini pia kiuhalisia wanapochukuliwa raia lazima wapewe mafunzo ya awali kuendana na muda unavyoruhusu
Na wanapokuwa vitani ni kama kwenye mafunzo ya vitendo
 
Hii inawezekana kwenye movie ya Rambo
Lakini pia kiuhalisia wanapochukuliwa raia lazima wapewe mafunzo ya awali kuendana na muda unavyoruhusu
Na wanapokuwa vitani ni kama kwenye mafunzo ya vitendo
Nakubali, ila bado hawaweza kuwa effective kama wanajeshi. Ndio maana watu wanaenda course muda mrefu na hata wakiitimu wanarudia mafunzo kila mara.
Sasa crush program haiwezi toa watu wenye ufanisi kama wa mjeda.
Umless kama wataka wajeda waue watu 100 halafu hao waue 5 kisha washangilie kama walivyokuwa wanafanya Taliban au kwemye Black Hawk Down.
Yani ile ya we ua hata mia sisi tukiua 2 tu tunashangilia ushindi
 
Yani Hakuna haja ya kutafuta, wakifika huko watakuta kuna foleni tayari inawasubiri kuanzia wajita, wakurya, wajaluo, Wazanaki, Wangoreme, Wasuba, Waikizu, Waisenye, Waikoma, Wakwaya, Waluli, Washashi, Wanata na Wasweta.



Hata kipindi cha vita ya Kagera, kila mkoa ulipewa nafasi elf 2 za vijana.wanaotaka kwenda vitani lakini hizo nafasi zilikuwa chache sana kwa Mkoa wa Mara, zilishambuliwa kama mchele uliorushwa kwa kuku wenye njaa.

Ajabu ni kwamba mikoa mingine hizo nafasi elf 2 hazikujaa kwahio wale watu wa Mara waliokosa nafasi mkoa wao ikabidi waanze kusafiri kwenda mikoa mingine ili kujaza nafasi zilizowazi.

Hali hii ilipelekea mpaka mkoa wa Mara wapewe upendeleo maalum kwa kuongezewa nafasi ziwe nyingi katika mkoa wao lakini bado zilishambuliwa.

Linapokuja swala la kupenda jeshi hawa jamaa huwaambii kitu.

Serikali ya Ukraine iende huo mkoa itoe hata nafasi elf 5 nina uhakika zitashambuliwa haraka mno.
Umevuta cha nchi gani?
 
Mara siyo kwamba wanapenda sana jeshi, Ni vile ili kujilinda, Nyerere aliwaingiza sana jeshini.
 
Kundi la wapiganaji 1000 wasiokuwa na mafunzo ni hasara kabisa na wanazidiwa na wanajeshi 20 wenye mafunzo
Wenzetu wanatumia akili zaidi ya miguvu na mihemko.
 
Back
Top Bottom