Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 717
- 1,903
Hao raia walikuwa wanafanya Nini humo military academy?hao huwa hawakubali ukweli hata wakipgwa missiles wanasema wamezitungua halafu baadae wanajisahau wanaonyesha mitambo ya umeme inavyoungua wakati wamesema wamezitungua drones na missilesAljazeera yasema ni raia 50 ndo wamekufa kwenye chuo cha mawasiliano sio military academy.
Vita ni upumbavu.
Siwezi kufa halafu kuna mafala mawili wanasiasa yamekaa ofisini kwenye viti vya kuzunguka yana wacheki tu mnavyo uana.
Kazi ya uanajeshi ni kazi ya kipumbavu kuwahi kutokea duniani.
Iskander inapga mule mule inapoelekezwaIla ISKANDER NI KISANGA khah
Hii kitu izuiwe isitumike kabisaIla ISKANDER NI KISANGA khah
Uongo mtupu, wanajeshi 600 hawawez ekwa eneo 1 na huna chanzo chochote zaidi ya picha za ku-copy na paste, shame on you..! wahuni 1500 wako ndani ya ardhi ya Urusi ambaye alijiita mbabe wa dunia na sasa Ukrane wamejenga hadi base ya kijeshi ndani ya ardhi ya urusi na wanasema wakipewa amri watafika hadi Moscow aliko babakoZaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia
Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600 kutokana na shambulio la Urusi kwenye shule ya kijeshi huko Poltava. Mosiychuk alieleza kupitia kituo chake cha Telegram kwamba:
"Poltava. <…> Taasisi ya Mawasiliano. Watu wengi walijeruhiwa, hadi 500, na kadhaa walifariki. Hospitali za jiji zimejaa," aliandika.
Mosiychuk aliongeza kuwa lawama kwa kilichotokea zinapaswa kuelekezwa kwa mamlaka za kijeshi za Ukraine, ambazo ziliruhusu idadi kubwa ya wanajeshi kukusanyika mahali pamoja.
⚡️ Ukrainian troops have lost more than 600 militants (severely injured and deaths combined) in a Russian attack on a military school in Poltava. This was reported by former Verkhovna Rada deputy Igor Mosiychuk
Bwana mkubwa lakini imeelezws wazi hapo ni shule ya mafunzo ya kijeshi huoni kama ni lazima wawe eneo moja?Uongo mtupu, wanajeshi 600 hawawez ekwa eneo 1 na huna chanzo chochote zaidi ya picha za ku-copy na paste, shame on you..! wahuni 1500 wako ndani ya ardhi ya Urusi ambaye alijiita mbabe wa dunia na sasa Ukrane wamejenga hadi base ya kijeshi ndani ya ardhi ya urusi na wanasema wakipewa amri watafika hadi Moscow aliko babako
Hiyo ni shule ya kijeshi,wakifundishana jeshi na askari wa nato, shule haiwezi kuwa na watu 600!?Uongo mtupu, wanajeshi 600 hawawez ekwa eneo 1 na huna chanzo chochote zaidi ya picha za ku-copy na paste, shame on you..! wahuni 1500 wako ndani ya ardhi ya Urusi ambaye alijiita mbabe wa dunia na sasa Ukrane wamejenga hadi base ya kijeshi ndani ya ardhi ya urusi na wanasema wakipewa amri watafika hadi Moscow aliko babako
Nyumbani kwa mwamba Genghis Khan.Baba mtakatifu wa vita yupo Mongolia 😂
Marekani ndio waliouwa hao watu 600 hapo Ukraine?Marekani and it's allies ni adui wa haki hapa ulimwenguni.
Marekani ndio waliouwa hao watu 600 hap
Mexico ile ile iliyopo takoni mwa USA ambapo Trump alitaka kuwazuia na ukuta au ya bara lingine?? Kam ndo ile basi huo mtego.Putin invited to inauguration of Mexico’s new president
The Russian president will make a decision whether he will participate in the ceremony himself or designate another high-ranking official
MOSCOW, August 7. /TASS/. Russian President Vladimir Putin has been sent an invitation to the inauguration ceremony of Mexico’s new President Claudia Sheinbaum on October 1, the Mexican Embassy in Moscow told Izvestia.
"The invitation for Russia to take part in the inauguration of President Sheinbaum was sent to President Putin.
Ni hatari sana hili komboraHii kitu izuiwe isitumike kabisa
Unateseka ukiwa wapi mkuu 😂Uongo mtupu, wanajeshi 600 hawawez ekwa eneo 1 na huna chanzo chochote zaidi ya picha za ku-copy na paste, shame on you..! wahuni 1500 wako ndani ya ardhi ya Urusi ambaye alijiita mbabe wa dunia na sasa Ukrane wamejenga hadi base ya kijeshi ndani ya ardhi ya urusi na wanasema wakipewa amri watafika hadi Moscow aliko babako
Hapo hao 600 umewapataje?Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia
Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600 kutokana na shambulio la Urusi kwenye shule ya kijeshi huko Poltava. Mosiychuk alieleza kupitia kituo chake cha Telegram kwamba:
"Poltava. <…> Taasisi ya Mawasiliano. Watu wengi walijeruhiwa, hadi 500, na kadhaa walifariki. Hospitali za jiji zimejaa," aliandika.
Mosiychuk aliongeza kuwa lawama kwa kilichotokea zinapaswa kuelekezwa kwa mamlaka za kijeshi za Ukraine, ambazo ziliruhusu idadi kubwa ya wanajeshi kukusanyika mahali pamoja.
⚡️ Ukrainian troops have lost more than 600 militants (severely injured and deaths combined) in a Russian attack on a military school in Poltava. This was reported by former Verkhovna Rada deputy Igor Mosiychuk