Ukraine kapigwa na kitu kizito wapoteza zaidi ya wanajeshi 600

Aljazeera yasema ni raia 50 ndo wamekufa kwenye chuo cha mawasiliano sio military academy.
Hao raia walikuwa wanafanya Nini humo military academy?hao huwa hawakubali ukweli hata wakipgwa missiles wanasema wamezitungua halafu baadae wanajisahau wanaonyesha mitambo ya umeme inavyoungua wakati wamesema wamezitungua drones na missiles
 
Uongo mtupu, wanajeshi 600 hawawez ekwa eneo 1 na huna chanzo chochote zaidi ya picha za ku-copy na paste, shame on you..! wahuni 1500 wako ndani ya ardhi ya Urusi ambaye alijiita mbabe wa dunia na sasa Ukrane wamejenga hadi base ya kijeshi ndani ya ardhi ya urusi na wanasema wakipewa amri watafika hadi Moscow aliko babako
 
Putin invited to inauguration of Mexico’s new president

The Russian president will make a decision whether he will participate in the ceremony himself or designate another high-ranking official

MOSCOW, August 7. /TASS/. Russian President Vladimir Putin has been sent an invitation to the inauguration ceremony of Mexico’s new President Claudia Sheinbaum on October 1, the Mexican Embassy in Moscow told Izvestia.

"The invitation for Russia to take part in the inauguration of President Sheinbaum was sent to President Putin.
 
Bwana mkubwa lakini imeelezws wazi hapo ni shule ya mafunzo ya kijeshi huoni kama ni lazima wawe eneo moja?
 
Hiyo ni shule ya kijeshi,wakifundishana jeshi na askari wa nato, shule haiwezi kuwa na watu 600!?
 
Wanajeshi 600 hawawez kaaa sehem moja ukizingatia nchi iko uwanja wa vita
 
Shida ya wajukuu wa mudi badala ya kumchukia ibilisi wao ibilisi wao ni america na kila siku wanaomba visa za kwenda kuishi huko america sasa tuwaeleweje sisi Hamas anauwa Israel watoto na wamama ila palestinians mmoja akifa oohoo israeli inauwa watoto je mtoto wa Israel na raia wa Israel ni haki wao kuwawa
Marekani ndio waliouwa hao watu 600 hap
 
Mexico ile ile iliyopo takoni mwa USA ambapo Trump alitaka kuwazuia na ukuta au ya bara lingine?? Kam ndo ile basi huo mtego.
 
Unateseka ukiwa wapi mkuu 😂
 
Hapo hao 600 umewapataje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…