Ukraine kapigwa na kitu kizito wapoteza zaidi ya wanajeshi 600

Ukraine kapigwa na kitu kizito wapoteza zaidi ya wanajeshi 600

Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia

Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600 kutokana na shambulio la Urusi kwenye shule ya kijeshi huko Poltava. Mosiychuk alieleza kupitia kituo chake cha Telegram kwamba:

"Poltava. <…> Taasisi ya Mawasiliano. Watu wengi walijeruhiwa, hadi 500, na kadhaa walifariki. Hospitali za jiji zimejaa," aliandika.

Mosiychuk aliongeza kuwa lawama kwa kilichotokea zinapaswa kuelekezwa kwa mamlaka za kijeshi za Ukraine, ambazo ziliruhusu idadi kubwa ya wanajeshi kukusanyika mahali pamoja.

⚡️ Ukrainian troops have lost more than 600 militants (severely injured and deaths combined) in a Russian attack on a military school in Poltava. This was reported by former Verkhovna Rada deputy Igor Mosiychuk

🚮 🚮🚮
Propaganda
 
Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia

Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600 kutokana na shambulio la Urusi kwenye shule ya kijeshi huko Poltava. Mosiychuk alieleza kupitia kituo chake cha Telegram kwamba:

"Poltava. Taasisi ya Mawasiliano. Watu wengi walijeruhiwa, hadi 500, na kadhaa walifariki. Hospitali za jiji zimejaa," aliandika.

Mosiychuk aliongeza kuwa lawama kwa kilichotokea zinapaswa kuelekezwa kwa mamlaka za kijeshi za Ukraine, ambazo ziliruhusu idadi kubwa ya wanajeshi kukusanyika mahali pamoja.

[emoji298]️ Ukrainian troops have lost more than 600 militants (severely injured and deaths combined) in a Russian attack on a military school in Poltava. This was reported by former Verkhovna Rada deputy Igor Mosiychuk

Iskander missiles mbili zimetosha kumaliza biashara!Bado Satan II zipo stock,hizo zikitumika Ukraine itakuwa vumbi tu.Very poor Zelesky,selling the country.
 
Hiyo ni shule ya kijeshi,wakifundishana jeshi na askari wa nato, shule haiwezi kuwa na watu 600!?
Ni akili gani za kijinga ukawakusanye askari 600 mahali pamoja nchi yenye vita, ili wakifa wafe wote kwa pamoja mnakuja na uongo hapa kila time
 
Bwana mkubwa lakini imeelezws wazi hapo ni shule ya mafunzo ya kijeshi huoni kama ni lazima wawe eneo moja?
Chanzo cha habari hizi zinapatikana wapi? Televishen gani? Ivi putin auwe askari 600 wa Ukraine asitoke nje na kusema chochote
 
Chanzo cha habari hizi zinapatikana wapi? Televishen gani? Ivi putin auwe askari 600 wa Ukraine asitoke nje na kusema chochote
Unakubali kwamba iliyopigwa ni shule ya mafunzo ya kijeshi na ilikua na makuruta? Ukikubali hivyo basi elewa kilichoandikwa
 
Ni akili gani za kijinga ukawakusanye askari 600 mahali pamoja nchi yenye vita, ili wakifa wafe wote kwa pamoja mnakuja na uongo hapa kila time
Askari 600 si wengi kuwepo kambini
 
Zaidi ya Mwanamgambo 600 wa Ukraine waliokua katika shule yaafunzo ya Kijeshi wameuwawa baada ya Shambulio la Iskender toka Russia

Kulingana na aliyekuwa mbunge wa Ukraine, Igor Mosiychuk (ambaye anachukuliwa kuwa gaidi na mhalifu na Urusi), jeshi la Ukraine limepoteza zaidi ya wanajeshi 600 kutokana na shambulio la Urusi kwenye shule ya kijeshi huko Poltava. Mosiychuk alieleza kupitia kituo chake cha Telegram kwamba:

"Poltava. <…> Taasisi ya Mawasiliano. Watu wengi walijeruhiwa, hadi 500, na kadhaa walifariki. Hospitali za jiji zimejaa," aliandika.

Mosiychuk aliongeza kuwa lawama kwa kilichotokea zinapaswa kuelekezwa kwa mamlaka za kijeshi za Ukraine, ambazo ziliruhusu idadi kubwa ya wanajeshi kukusanyika mahali pamoja.

⚡️ Ukrainian troops have lost more than 600 militants (severely injured and deaths combined) in a Russian attack on a military school in Poltava. This was reported by former Verkhovna Rada deputy Igor Mosiychuk

Tumia hata akili yako vizuri! Inaonekana umejaa na Mihemko ya Kijinga. Kwa akili ya kawaida tu unawauaje askari 600 kwa mpigo? Jiulize kuna darasa la kuwaweka watu 600? Acha ujinga usifikiri wote ni Mazuzu kama wewe. Karibu vyombo vyote vya habari vimetaja idadi 47 mpaka 50. Hao 600 naona ni wewe na ukoo wako wote!!
 
Hao mbona wachache.....Hamas aliuwa watu 1200+ kwa tukio moja. Na style ya kuuwa ni ile tuliyoiona wakati akiuwawa Joshua Mtanzania
Kama hivi,😂😂😂
 

Attachments

  • Wadadbouchra_480x854_20240602_164016.mp4
    7.3 MB
Usiwe mjinga kupitiliza Acha utoto uliona wapi darasa la watu 600?
Shule niliyosoma advance tulikua 1000+ kwani lazima wakae darasa moja,madarasa yanaweza yakawa mengi kuna mkondo A mpaka Z huko
 
Back
Top Bottom