Ukraine kukabidhiwa kifurushi kingine Cha Dola billions 50

Ukraine kukabidhiwa kifurushi kingine Cha Dola billions 50

kp kipanya44

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2022
Posts
12,971
Reaction score
15,248
Naam wakuu, wakati kile kifurushi Cha Dola billions 61 kutoka marekani kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine bado hakijafikisha hata miezi 2.,mataifa Saba yenye nguvu ya kiuchumi duniani yaani G7,yamepitisha kifurushi kingine kwa ajili ya Ukraine, ikumbukwe kwamba kifurushi hiki kilichoidhinishwa Jana kinatokana na fedha za urusi zilizozuiliwa huko ulaya..,na hii ndio maana halisi ya kujikaanga kwa mafta yako kama kiti moto,
Faida itokanayo na fedha za urusi zilizozuiliwa katika mataifa ya magharibi ndio hiyohiyo inatumika kununulia silaha na maitaji mengine kwa Ukraine dhidi ya urusi!

 
Muwe mnasoma habari na kuielewa!Yaani ukraine anapewa mkopo kwa bond ya frozen Russia assets!
Kwahiyo Ukraine italipa hilo deni!Taarifa hiyohiyo inasema,siku assets za Russia zitakapokuwa unfrozen,mkopo huo utakuwa hauna bond!
 
Wanapewa misaada ya kuendeleza vita, halafu mwisho wa siku maeneo yao yanazidi tu kuchukuliwa na Warusi! Huu ni ujinga wa kiwango cha juu sana.
 
Muwe mnasoma habari na kuielewa!Yaani ukraine anapewa mkopo kwa bond ya frozen Russia assets!
Kwahiyo Ukraine italipa hilo deni!Taarifa hiyohiyo inasema,siku assets za Russia zitakapokuwa unfrozen,mkopo huo utakuwa hauna bond!
Naona hata link hujafungua, ngoja nikusaidie..,kama hujui kizungu si kosa langu👇👇👇👇

The issue is complicated, however, because if the Russian assets one day are unfrozen, then the windfall profits will no longer be able to be used to pay off the loan.

Each G7 country will contribute to the loan package, European Commission President Ursula von der Leyen said.

“All G7 are contributing to this loan. It is the windfall profits from the Russian immobilised assets in Europe that will serve it,” von der Leyen told reporters on the sidelines of the G7 summit in southern Ita
ly.

Nakuwekea pia screenshot 👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240614-140351.png
    Screenshot_20240614-140351.png
    271.5 KB · Views: 4
Naam wakuu, wakati kile kifurushi Cha Dola billions 61 kutoka marekani kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine bado hakijafikisha hata miezi 2.,mataifa Saba yenye nguvu ya kiuchumi duniani yaani G7,yamepitisha kifurushi kingine kwa ajili ya Ukraine, ikumbukwe kwamba kifurushi hiki kilichoidhinishwa Jana kinatokana na fedha za urusi zilizozuiliwa huko ulaya..,na hii ndio maana halisi ya kujikaanga kwa mafta yako kama kiti moto,
Faida itokanayo na fedha za urusi zilizozuiliwa katika mataifa ya magharibi ndio hiyohiyo inatumika kununulia silaha na maitaji mengine kwa Ukraine dhidi ya urusi!

🤣🤣🤣 Zinakwenda kuteketezwa na Russia 🔧
 
Back
Top Bottom