Ukraine kupewa vifaa vinavyozuia mabomu yanayotupwa uraiani na Urusi

Ukraine kupewa vifaa vinavyozuia mabomu yanayotupwa uraiani na Urusi

Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!
Ukraine alipolipua Crimea,hiyo ni battle field?Mbona hamsemi civilians waliokufa hapo kwenye daraja la Crimea?Mkaishia kutengeneza na vibonzo vya daraja kulipuka huku mkimcheka Putin bila kujali watu waliopoteza maisha!
Kunya anye kuku,akinywa bata kaharisha! Pathetic
 
Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!
Ukraine alipolipua Crimea,hiyo ni battle field?Mbona hamsemi civilians waliokufa hapo kwenye daraja la Crimea?Mkaishia kutengeneza na vibonzo vya daraja kulipuka huku mkimcheka Putin bila kujali watu waliopoteza maisha!
Kunya anye kuku,akinywa bata kaharisha! Pathetic
 
Ukraine alipolipua lile daraja watu wakiwa wanavuka ulikuwa wapi ?
Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe!Hakuna mtu aliyewaonea huruma raia waliokufa daraja la Crimea,Tena wakatengeneza na vibonzo,wakaweka picha kubwa Kiev ikionesha daraja likiwaka huku wakipiga selfie na kumkebehi Putin kuwa happy birthday!
Sasa hivi wanalialia,kazi sana kuwaelewa Hawa watu!
Hii taste your own medicine!
 
Putin ndio kajitelekeza, ameshambulia raia na majengo baada ya kijeshi kushindwa, na sasa Donbas hachomoi wahuni wameapa hawatarudi nyuma speed ni ile ile kuendelea kusomba miji ndani ya majimbo yaliyopigwa kura za kimchongo
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!
Ukraine alipolipua Crimea,hiyo ni battle field?Mbona hamsemi civilians waliokufa hapo kwenye daraja la Crimea?Mkaishia kutengeneza na vibonzo vya daraja kulipuka huku mkimcheka Putin bila kujali watu waliopoteza maisha!
Kunya anye kuku,akinywa bata kaharisha! Pathetic
 
Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Usimpangie..!
Vita ni mkakati.
 
Putin ndio kajitelekeza, ameshambulia raia na majengo baada ya kijeshi kushindwa, na sasa Donbas hachomoi wahuni wameapa hawatarudi nyuma speed ni ile ile kuendelea kusomba miji ndani ya majimbo yaliyopigwa kura za kimchongo
Mungu aisaidie Ukraine!
 
Wala hamna kilichopoa, shughuli bado ni mpwito mpwito hadi Crimea, ni ile tu kwamba Urusi ameonyesha akifikishwa ukutani anaishia kushambulia raia kwa mabomu, ndio kete aliyokua amesalia nayo, na sasa hiyo pia itadhitiwa.

Kawaida vita huwa baina ya wanajeshi, na hairuhusiwi kutupa mabomu kwenye kandamnasi au masokoni, nawashangaa wanaoshabikia kisa mizuka ya kidini.
asante sana umenipa moyo. hawa Ukraine wanaonewa. Mtu anataka kujiunga Nato, wewe unasema sitaki, ala we nani?
 
Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Kwa hiyo wakati Ukraine wanabomoa daraja la Kerch walitumia kufunga gani cha sheria za mapigano?
 
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!
Ukraine alipolipua Crimea,hiyo ni battle field?Mbona hamsemi civilians waliokufa hapo kwenye daraja la Crimea?Mkaishia kutengeneza na vibonzo vya daraja kulipuka huku mkimcheka Putin bila kujali watu waliopoteza maisha!
Kunya anye kuku,akinywa bata kaharisha! Pathetic
Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.
 
Wala hamna kilichopoa, shughuli bado ni mpwito mpwito hadi Crimea, ni ile tu kwamba Urusi ameonyesha akifikishwa ukutani anaishia kushambulia raia kwa mabomu, ndio kete aliyokua amesalia nayo, na sasa hiyo pia itadhitiwa.

Kawaida vita huwa baina ya wanajeshi, na hairuhusiwi kutupa mabomu kwenye kandamnasi au masokoni, nawashangaa wanaoshabikia kisa mizuka ya kidini.
Nikiamua kukusanya links za mashambulizi ya Marekani na Shoga zake wa ulaya kwenye makazi ya watu pamoja na mahospitali huko Afghanistan na Syria, naweza kukesha na nisimalize!


Muache unafki nyie pro-west.
 
Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Mkifikaga kwenye habari hizi kumuhusu shosti yenu USA, mnafumba macho.

Kwa hiyo logic yako, kati ya aliepiga ofisi za wanausalama Kiev na huyu aliepiga hospitali, ni yupi superpower wa mchongo?

Au hapa vigezo vinabadilika?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Screenshot_20221011-121607.jpg
 
Jana mrusi akiwa anarusha makombora yanatua kwenye barabara tazaza Ukraine walivyokaanga hii column ya missile launchers jana hiyo ni hatari kazi ya Himars [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.
Hahahaaaa,tulieni dawa iwaingie!Sasa hivi mnarecruit watu wa kujitoa muhanga😂😂 kwenye miundombinu ya Russia!Na onyo limeeleweka,wakithubuti tukio kama la Crimea basi majibu yatakuwa makali zaidi!
Saiv Zele hakai ofisini,anaishi kwenye handaki!Na bahati yake aliwahi kukimbizwa,lasivyo Iskander ingempa salamu ofisini Kwake!
Huko Frontline kazi imeiva,mko mnapukutishwa,ila Urusi yeye hanaga mbwembwe za picha picha,anakutandika halafu anakuacha sensa ujifanyie mwenyewe😂!
 
Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.
Haaa soft Target Wakati karibia asilimia 80 ya Ukraine haina umeme? Na leo nchi karibia 40 zinatarajiwa kukutana kwenye mkutano wa dharura kujadili mashambulizi hayo hii inaonesha yalikuwa makali na ya kuumiza.
Ukraine haitokuja kurudia huo upuuzi ilio ufanya hilo daraja wataliopa kama ukoma.
 
Urusi wameonyesha walivyo desperate baada ya kushindwa kupambana kijeshi wameamua kutupa mabomu kwa raia, sasa Ukraine kupokezwa vifaa vya kuzuia hayo mabomu, mapambano yabaki baina ya wanajeshi sio kukimbilia kuua raia.

What can the air defense shields do?​

The IRIS-T SLM can defend from approaching missiles at an altitude of up to 20 kilometers (12 miles) and a distance up to 40 kilometers (25 miles).

According to Scholz, the defense system makes it possible to protect "an entire major city from Russian air attacks."

German Foreign Minister Annalena Baerbock said on Monday that Germany would do "everything it can" to help quickly bolster Ukraine's air defenses.

"It is despicable and unjustifiable for Putin to bombard large cities and civilians with missiles," Baerbock wrote on Twitter.

AA12O2nJ.img


Hadithi hizi hazijaanza leo mkuu we both know 😅😅😅
 
Back
Top Bottom