Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Nikionaga mwanaume anatumia maneno ya kina mama wa uswshilini wanaochambana kama 'shosti' badala ya kujenga hoja napata na uvivu wa kujibu [emoji848]Mkifikaga kwenye habari hizi kumuhusu shosti yenu USA, mnafumba macho.
Kwa hiyo logic yako, kati ya aliepiga ofisi za wanausalama Kiev na huyu aliepiga hospitali, ni yupi superpower wa mchongo?
Au hapa vigezo vinabadilika?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2383412