Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe!Hakuna mtu aliyewaonea huruma raia waliokufa daraja la Crimea,Tena wakatengeneza na vibonzo,wakaweka picha kubwa Kiev ikionesha daraja likiwaka huku wakipiga selfie na kumkebehi Putin kuwa happy birthday!Ukraine alipolipua lile daraja watu wakiwa wanavuka ulikuwa wapi ?
Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!Putin ndio kajitelekeza, ameshambulia raia na majengo baada ya kijeshi kushindwa, na sasa Donbas hachomoi wahuni wameapa hawatarudi nyuma speed ni ile ile kuendelea kusomba miji ndani ya majimbo yaliyopigwa kura za kimchongo
Usimpangie..!Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Mungu aisaidie Ukraine!Putin ndio kajitelekeza, ameshambulia raia na majengo baada ya kijeshi kushindwa, na sasa Donbas hachomoi wahuni wameapa hawatarudi nyuma speed ni ile ile kuendelea kusomba miji ndani ya majimbo yaliyopigwa kura za kimchongo
asante sana umenipa moyo. hawa Ukraine wanaonewa. Mtu anataka kujiunga Nato, wewe unasema sitaki, ala we nani?Wala hamna kilichopoa, shughuli bado ni mpwito mpwito hadi Crimea, ni ile tu kwamba Urusi ameonyesha akifikishwa ukutani anaishia kushambulia raia kwa mabomu, ndio kete aliyokua amesalia nayo, na sasa hiyo pia itadhitiwa.
Kawaida vita huwa baina ya wanajeshi, na hairuhusiwi kutupa mabomu kwenye kandamnasi au masokoni, nawashangaa wanaoshabikia kisa mizuka ya kidini.
Kwa hiyo wakati Ukraine wanabomoa daraja la Kerch walitumia kufunga gani cha sheria za mapigano?Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.Huko Ukraine imeshambuliwa miundombinu nyeti tu,hao Civilians waliokufa ni collateral damage!
Ukraine alipolipua Crimea,hiyo ni battle field?Mbona hamsemi civilians waliokufa hapo kwenye daraja la Crimea?Mkaishia kutengeneza na vibonzo vya daraja kulipuka huku mkimcheka Putin bila kujali watu waliopoteza maisha!
Kunya anye kuku,akinywa bata kaharisha! Pathetic
Hata Mandoga huwa ana mkakati,tatizo ni matokeo ya huo mkakati wenyewe sasa ambao matokeo yake huwa ni zeroUsimpangie..!
Vita ni mkakati.
Nikiamua kukusanya links za mashambulizi ya Marekani na Shoga zake wa ulaya kwenye makazi ya watu pamoja na mahospitali huko Afghanistan na Syria, naweza kukesha na nisimalize!Wala hamna kilichopoa, shughuli bado ni mpwito mpwito hadi Crimea, ni ile tu kwamba Urusi ameonyesha akifikishwa ukutani anaishia kushambulia raia kwa mabomu, ndio kete aliyokua amesalia nayo, na sasa hiyo pia itadhitiwa.
Kawaida vita huwa baina ya wanajeshi, na hairuhusiwi kutupa mabomu kwenye kandamnasi au masokoni, nawashangaa wanaoshabikia kisa mizuka ya kidini.
Mkifikaga kwenye habari hizi kumuhusu shosti yenu USA, mnafumba macho.Supapawa mzima unashindwa kupigana frontline unakimbilia kurusha mabomu kwa soft targets? Tunataka apambane frontline na siyo unarusha bomu Kariakoo kwa watu wanaohangaika na shughuli zao na wewe unajiona ni una nguvu kijeshi.Tunajua frontline katembezewa kichapo cha haja.
Yapo mazuzu kadhaa ya pro-west yanaamini hivyo.Hivi kweli kuna mtu mwenye akili anaamini Ukraine itaishinda Urusi kwa siraha za kupewa? Ngoja tuone
Hahahaaaa,tulieni dawa iwaingie!Sasa hivi mnarecruit watu wa kujitoa muhanga😂😂 kwenye miundombinu ya Russia!Na onyo limeeleweka,wakithubuti tukio kama la Crimea basi majibu yatakuwa makali zaidi!Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.
Haaa soft Target Wakati karibia asilimia 80 ya Ukraine haina umeme? Na leo nchi karibia 40 zinatarajiwa kukutana kwenye mkutano wa dharura kujadili mashambulizi hayo hii inaonesha yalikuwa makali na ya kuumiza.Tunajua supapawa kapigwa frontline akakimbilia kupifa soft target period.Unajiona una nguvu za kijeshi na unapelekeshwa na Kitaifa kidogo unapanic hadi unaamua kwenda kuua watu wako K.koo wanatafuta riziki zao.Supapawa hoi bin taaban,sasa hivi hata hajui nini anachopigania atarusha makombora hadi achoke lakini Majeshi shupavu ya Ukraine yanasonga mbele kufurusha hao wanajeshi wanywa gongo wasiojua hata nini wanachopigania.
Hadithi hizi hazijaanza leo mkuu we both know 😅😅😅Urusi wameonyesha walivyo desperate baada ya kushindwa kupambana kijeshi wameamua kutupa mabomu kwa raia, sasa Ukraine kupokezwa vifaa vya kuzuia hayo mabomu, mapambano yabaki baina ya wanajeshi sio kukimbilia kuua raia.
What can the air defense shields do?
The IRIS-T SLM can defend from approaching missiles at an altitude of up to 20 kilometers (12 miles) and a distance up to 40 kilometers (25 miles).
According to Scholz, the defense system makes it possible to protect "an entire major city from Russian air attacks."
German Foreign Minister Annalena Baerbock said on Monday that Germany would do "everything it can" to help quickly bolster Ukraine's air defenses.
"It is despicable and unjustifiable for Putin to bombard large cities and civilians with missiles," Baerbock wrote on Twitter.