Ukraine kupewa vifaa vinavyozuia mabomu yanayotupwa uraiani na Urusi

Nikionaga mwanaume anatumia maneno ya kina mama wa uswshilini wanaochambana kama 'shosti' badala ya kujenga hoja napata na uvivu wa kujibu [emoji848]
 
Jana mrusi akiwa anarusha makombora yanatua kwenye barabara tazaza Ukraine walivyokaanga hii column ya missile launchers jana hiyo ni hatari kazi ya Himars [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huku ndiyo kupambana sasa Kijeshi,siyo unakwenda kurusha makombora sokoni halafu unajiona wewe ni Supapawa.
 
Sisi tunachojua supapawa wa tiger pepa kapewa kipondo cha haja.Na kule frontline Majeshi ya Ukraine yanasonga mbele bila wasi wasi.Yeye arushe rushe tu hayo Makombora yake ila cha moto anakipata na walevi wake wa gongo wanakimbia ovyo
 
Unajitekenya
 
Crimea sio Urusi, urusi amehodhi kimabavu tu.
 
Halafu rusia mbona ddeen hawaiamini
 
Hivi kweli kuna mtu mwenye akili anaamini Ukraine itaishinda Urusi kwa siraha za kupewa? Ngoja tuone

Wapo mkuu, wapo - ndio maana wa kale walisema "akili is like hair kila mtu ana za kwake" hata Zelensky Amerika imemvimbisha kichwa naye siku hizi anajiona ni SUPER POWER mtalajiwa-mwangalie kwa makini anapo jieleza mbele za media za magharibi: majigambo na kujitutumua - kwa jana na leo nilimuona kidogo kanywea na ku-age fasta nafikiri kipigo cha jana kimemtisha sana jana hiyo ndio alitambua kwamba kumbe maisha yake ameyaweka rehani kama ofisi yake na ofisi ya usalama inaweza kushambuliwa with high precision na cruise missiles licha ya anga la Kiev kulindwa na vifaa vya kisasa kabisa vya Merikani - who can be safe, Putin alijaribu sana kumuonya sana Zelensky ambaye anajua vizuri kuzungumza lugha a Kirusi kuliko Kiuclaine lakini wapi - kesha chotwa akiri ni Wamerikani hasikilizi la mtu save Biden na Uingereza sina shaka kadhia ya jana asubuhi itamlazimu kurudi kwenye drawing board akajitafakali upya kuhusu mahusiano yake na Serikali ya Urusi specifically Putin.
 

Tulionya mara nyingi tu lakini hawatusikii wabishi kama nini - we subiri matusi yatakavyo poromoshwa hapa baada ya kuona Putin kawazidi kete mabeberu.
 

Ona mihemko ya kidini inavyokuchanganya, kushambulia soko inakuaje miundombinu nyeti, ndio maana huwa mnalipukiana kwenye masoko.
 
Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Ni vita gani ambayo raia hawakufa,Libya,Iraq au Afghanistan?
 
Naona umepoa kidogo kwa mashambulizi ya jana. Ukraine ina haki, dunia iisaidie . Hali ikoje now? NATO imeitelekeza Ukraine!
duh tumia akil , isingekuwa NATO Ukraine ingekuwa imetekwa tyr
 
Zile za marekani zinazolinda Kiev zimefeli [emoji16][emoji16][emoji16]

Jamaa hawa ni mabingwa sana kwenye masuala ya majibambo na kujitia ujuaji - lakini Taifa kama Urusi,Korea Kaskazini,Uchina na Iran walisha lijulia wala hawa babaushwi na mbwembwe zisizo na tija.

Hapa ntaeleza mifano michache ya kuthibitisha maoni yangu: la kwanza linahusu kambi za jeshi za Kimerikani tunazo kalilishwa kwamba zina ulinzi mkali wenye Air defense system za kisasa ambazo hazina mfanowe Duniani kote, nazo ni: Patriot,THAAD na Aegis zote hizo ni formidable and impregnable integrated air defense systems kutokana na maelezo yao - sasa kulitokea nini asubuhi moja huko Iraq, Iran ilivurumisha roketi kumi na mbili kutoka Iran kwenda kushambulia kambi mbili za jeshi la Merikani huko Iraq - roketi zote kumi na mbili zilishambulia designated targets bila ya kukosea shabaha na hakuna hata moja iliyo kuwa intercepted au kuwa destroyed, roketi hizo za Iran zilifanya uharibifu mkubwa kwenye kambi hizo na kuwajeruhi wanajeshi wengi walio kuwa wamejificha ndani ya concrete bunkers - sasa hapa swali la kujiuliza ilikuwaje tena Taifa linalo jinasibu kuwa na mitambo ya kisasa kabisa ya Ulinzi wa anga inashindwa ku-detect na ku-intercept/destroy roketi za Iran -leo hii ndio wajifanye watawapatia Waukraine mitambo ya kulinda anga la Kiev and other major cities dhibi ya makombora/roketi za Urusi, sisemi kwamba mitambo hiyo haiwezi kulinda anga la Ukraine,ninacho kisema mimi ni kwamba Wamerika wakati mwingine uweka chumvi mno kuhusu uwezo wa zana zao za kivita, mfano hata jana sio kwamba Kiev hapakuwepo mitambo ya ulizi wa anga kutoka Merikani ilikuwepo sana, we sema tu they failed miserably ku-destroy missiles za Warusi to save face, ndio wanajtia eti watawaletea mitambo ya kufa mtu ambayo itadhibiti roketi na makombora ya Urusi, ulaghai mtupu wenye lengo la kupiga hela ndefu kwa kuwauzia kwa bei ya kuruka, mwisho wa siku inashindwa kufanya kazi kwa ufanisi.Mengine ntaeleza hapo baadae.
 
Putin ndio kajitelekeza, ameshambulia raia na majengo baada ya kijeshi kushindwa, na sasa Donbas hachomoi wahuni wameapa hawatarudi nyuma speed ni ile ile kuendelea kusomba miji ndani ya majimbo yaliyopigwa kura za kimchongo
Wameapia wapi Twitter??[emoji38]
 
Russia bado ameshindwa vita hii kwasababu huwezi kuuwa Raia na kuharibu miundombinu alafu useme huo ni ushindi,bado Russia hajaweza kuiteka Ukraine na hataweza milele Sisi wenye Akili timamu tunajua mwisho wa Putin upo karibu Sana
Kwani walikwambia wanataka kuiteka Ukraine. Au hayo ni wamatamanio yako. Hakuna siku wala sehemu putin alisema anataka kuiteka Ukraine. Yeye kachukua majimbo yake ma4. Katulia
 
Mi nimeamua block misinformation na propaganda za Urusi
 
Kuna jamaa kasena saa hizi ukraine wanaogopa hata kuchana picha ya lile daraja[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…