Tuliambiwa hivyo kuhusu vifaru vya Uingereza ba Ujerumani Wamerukani walivyo. wajanja wakafucha vya kwao hawakuvuoeleka huko Ukraine kwa kuogopa kuona aibu vikitiwa kiberiti na silaha za Urusi hivi sasa hatusikii tena vifaru vya challenger,Leopard wala Abram ambavyo wala havikujanyaga airidhi ya Ukraine USA waliona aibu vifaru vyao kutiwa viberiti Ukraine kwa silaha za Urusi wakaja kukosa soko naagaruja ya kati na mashariki ya mbali - vita hii imetufundisha mengi kuhusu mbwembwe za NATO na propaganda zao na vitisho wakati silaha zao na troops wao wanaonekana kupwaya sana.