Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Tuliambiwa hivyo kuhusu vifaru vya Uingereza ba Ujerumani Wamerukani walivyo. wajanja wakafucha vya kwao hawakuvuoeleka huko Ukraine kwa kuogopa kuona aibu vikitiwa kiberiti na silaha za Urusi hivi sasa hatusikii tena vifaru vya challenger,Leopard wala Abram ambavyo wala havikujanyaga airidhi ya Ukraine USA waliona aibu vifaru vyao kutiwa viberiti Ukraine kwa silaha za Urusi wakaja kukosa soko naagaruja ya kati na mashariki ya mbali - vita hii imetufundisha mengi kuhusu mbwembwe za NATO na propaganda zao na vitisho wakati silaha zao na troops wao wanaonekana kupwaya sana.Hehehe mnachekesha ustadhi, drones 10,000 zitapaa kama mvua kwa Warusi.
Source the SUN Uingereza huna hata habari kwamba watu wenyeakili zao timamu hawasomi/nunua nagazeti ya udaku ya Uingereza mfano: the SUN,Daily Mirror etc wanasoma broadsheet papers na sio tabloids - sina hakika kama hata unajua tofautia za media hizo mbili - wewe ni copy cat tu basi na kujitia kutafsiri vitu ambavyo unaonekana ni mbumbumbu tu.
Tuliambiwa hivyo kuhusu vifaru vya Uingereza ba Ujerumani Wamerukani walivyo. wajanja wakafucha vya kwao hawakuvuoeleka huko Ukraine kwa kuogopa kuona aibu vikitiwa kiberiti na silaha za Urusi hivi sasa hatusikii tena vifaru vya challenger,Leopard wala Abram ambavyo wala havikujanyaga airidhi ya Ukraine USA waliona aibu vifaru vyao kutiwa viberiti Ukraine kwa silaha za Urusi wakaja kukosa soko naagaruja ya kati na mashariki ya mbali - vita hii imetufundisha mengi kuhusu mbwembwe za NATO na propaganda zao na vitisho wakati silaha zao na troops wao wanaonekana kupwaya sana.