MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #21
Wakati huohuo warusi wanaendelea kusonga mbele.View attachment 2411392
Huo msaada wa Iran umeshapatiwa suluhu, sijui atakimbilia wapi kwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati huohuo warusi wanaendelea kusonga mbele.View attachment 2411392
Kipigo kinaendelea hizo ni toys Tu kwa warusi angalia kipigo kinaendelea.source BBCHuo msaada wa Iran umeshapatiwa suluhu, sijui atakimbilia wapi kwingine.
Urusi inaweza kurusha kombora kwa ndege ikiwa Moscow na likatua Lviv mpakani na Poland.Mrusi kwa sasa hawezi kuthubutu kurusha ndege Ukraine, zimepigwa chini mamia za ndege hadi amechoka, ameshindwa air dominance, siku zote kama supapawa ukitaka kushinda vita lazima utambe kwenye anga kwanza, Mrusi kwa sasa yuko hoi.
Angalia mfano wa air dominance hapa, kile Iraq walifanywa kipindi cha Gulf war....msafara ulifyekwa hadi waarabu wenu wakaomba po
![]()
Kipigo kinaendelea hizo ni toys Tu kwa warusi angalia kipigo kinaendelea.source BBCView attachment 2411401
kwann aendelee kupoteza watu wkt anazo hizo silaha ?Urusi inaweza kurusha kombora kwa ndege ikiwa Moscow na likatua Lviv mpakani na Poland.
Acha ukichwa ngumu
Naona Leo umeamua kujifariji na hako kahabari Kako uchwara [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji28]Kipigo kinaendelea hizo ni toys Tu kwa warusi angalia kipigo kinaendelea.source BBCView attachment 2411401
Ukraine wanapigania ardhi ya mababu na mababu zao,wanapigania Taifa lao,wana kila sababu ya kupigana na kuifia Nchi yao wakiilinda,tuambie huyo Russia hao wanaokufa huko Ukraine wanajua hata kinachowafanya wafe au wanapigania maslahi binafsi ya Putin.Sio rahisi hivyo, Vita itaweza kudumu muda mrefu sana, tumia vyombo vya habari vya pande zote mbili, kumbuka vyombo vya magharibi haviwezi kuripoti kichapo cha ukraine na vyombo vya upande mngine haviwezi kuripoti kichapo cha URUSI
Raisi wa ufaransa, Macron alisema vizuri sana "Ukrainians will decide when peace is possible"
Na ujerumani juzi, WALISEMA: "It's up to Ukraine to decide on time for peace talks with Russia
Mwisho wa siku SIO NATO wala MAREKANI wala ULAYA ni UKRAINE wenyewe kujipimia KWAMBA wanaweza au hawawezi?
Hata wewe pia wawasemea UKRAINE kwamba wapambane lakini wao WENYEWE ndio WAAMUZI siamini kama watu wa UKRAINE wanamuogopa ZELENSKY japo ZELENSKY anafuata order za MAREKANI
Kazi kwenu wana UKRAINE mziki MNAUWEZA?
SISI waafrika tumezoea MANENO TU [emoji16][emoji16]
Wanajeshi wa Urusi wameuawa idadi zaidi ya jeshi lote la JWTZ, anywa gongo mliokusanya nao wanauawa balaa....hamna namna Ukraine hawaachii ardhi yao
Naona kaamua kuendelea kuwatoa wananchi wake sadaka maana hata wafadhili wake nao wameanza kuchoka kumpatia sihala zaidi maana wanaona haxileti mabadiliko yoyote. Acha aendelew kuchapika tu
Acha wanyooshwe tuVita yoyote ile it comes with a cost. Peoples will die. hiyo ni occupation hazard
Pole Mkuu, najua unaumia lakini ndo ukweli huo.... Operesheni maalum ya kijeshi inaelekea kuisha kwa AIBU kubwa.Sio rahisi hivyo, Vita itaweza kudumu muda mrefu sana, tumia vyombo vya habari vya pande zote mbili, kumbuka vyombo vya magharibi haviwezi kuripoti kichapo cha ukraine na vyombo vya upande mngine haviwezi kuripoti kichapo cha URUSI
Raisi wa ufaransa, Macron alisema vizuri sana "Ukrainians will decide when peace is possible"
Na ujerumani juzi, WALISEMA: "It's up to Ukraine to decide on time for peace talks with Russia
Mwisho wa siku SIO NATO wala MAREKANI wala ULAYA ni UKRAINE wenyewe kujipimia KWAMBA wanaweza au hawawezi?
Hata wewe pia wawasemea UKRAINE kwamba wapambane lakini wao WENYEWE ndio WAAMUZI siamini kama watu wa UKRAINE wanamuogopa ZELENSKY japo ZELENSKY anafuata order za MAREKANI
Kazi kwenu wana UKRAINE mziki MNAUWEZA?
SISI waafrika tumezoea MANENO TU [emoji16][emoji16]
Leo umeamua kujificha huku[emoji2957][emoji2957][emoji28][emoji23][emoji2957]Acha wanyooshwe tu
Najifichaje shehe 😄😄😄 kwani nakuaga wapi?Leo umeamua kujificha huku[emoji2957][emoji2957][emoji28][emoji23][emoji2957]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app