tena walipewa short range kwa kuogopa wasije wakatungua hadi ndani ya Urusi - Mmarekani ni kitu ingine hiyo !! kuzazana naye jipange kwa karne kibao la utadhalilika kama mzee mzima !! 😀 😀 😀Mrusi hana hamu na HIMARS, zinamtesa sana hadi leo, zimewapa jeuri Ukraine kiasi cha wao kuanzisha mashambulizi wenyewe tofauti na awali walivyokua wanapambana kuhimili mashambulizi.....
Warusi wa Buza wanakwamba Putin ana uwezo wa kupiga hata Pentagon muda wowote ila sema hataki tu 😀😀😀Walete "Warusi wa mchongo wa buza".Hawachelewi kusema."kuondoka eneo husika ni mbinu za medani za kivita"Kumbe Urusi wamezidiwa 😀 😀😀
USA wamesema walikuwa awajui kuhusu hii counter-offensive.sasa sijui kama ni kweli walikuwa awajui au awataki kupata aibu.
Inawezekana kuna mkuu kawauza,itabidi Zelensk achunguze vizuri makamanda wake inawezekana wapo wasaliti.
Wana akili nzito balaa haoLive anamaanisha kupata taarifa ya kinachoendelea wakati husika siyo live huko field kama filamu. Huwa utazamani international news live?
Yaani yupo Ukraine, na muda huohuo Taiwan anataka kwenda, jamaa hapoi aiseee. Nahisi yeye vita ni sehemu ya maisha yake.Jeuri ya US hii hapa.....
United States President Joe Biden plans to ask Congress to approve an estimated $1.1bn arms sale to the self-ruled island of Taiwan, including 60 anti-ship missiles and 100 air-to-air missiles, according to Politico.
$1.1bn = Trillions 2.56 Tshs.
Mchina kazi anayo !! inaitwa GUSA UNASE.
Yeah....yaani uone namna utakavyoumia kama ukishajichanganya kwa Taifa kubwa. Cha msingi mshauri babako Putin aombe poo yaishe ataumiza mno warusi wenzake.Yaani yupo Ukraine, na muda huohuo Taiwan anataka kwenda, jamaa hapoi aiseee. Nahisi yeye vita ni sehemu ya maisha yake.
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around KhersonMrusi hana hamu na HIMARS, zinamtesa sana hadi leo, zimewapa jeuri Ukraine kiasi cha wao kuanzisha mashambulizi wenyewe tofauti na awali walivyokua wanapambana kuhimili mashambulizi.....
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson, a strategically critical city near Crimea, in one of the first major tests of Kyiv’s ability to gain an edge in the burgeoning stalemate as Moscow’s own military shortcomings mount.
The offensive to retake Kherson, the regional capital, began with long-range artillery strikes using U.S.-supplied HIMARS precision satellite-guided rocket systems to attack Russian strongholds but also against positions and formations of pro-Russian troops at the front, marking a shift in Ukraine’s recent tactics. Reports emerged almost immediately late Monday local time that elements of those forces were abandoning their posts and retreating.
Several officials in Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy’s confirmed the offensive, which analysts had predicted in recent days following heightened shelling against Russian military installations there, particularly Sunday evening.
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson
Sentensi hiyo hapo juu ndio inayotia shaka habari nzima. Halafu kama wamewacha Warusi si waoneshe hata vifaru viwili au vitatu! Inavyoonekana ni Propaganda ya kuwapa morali wanajeshi wa Ukraine waliopo sehemu mbalimbali za mstari wa mbele. Mwisho, ni wiki karibu yanne sasa tuanaambiwa Wanajeshi wa Ukraine wameizingira Kherson!
Kujoa ukalaleNi kweli Ukraine forces walijaribu kurudisha nyuma jeshi la Urusi na washirika wake - lakini operation yao ilishindwa vibaya sana, wanajeshi wengi wa Ukraine pamoja na mamluki wao wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa wamelazwa mahospitalini mpaka Doctors wanahaha kutafuta blood donors - hali ni mbaya sana, sijui kama Zelensky atarudia tena kufuata ushauri wa USA blindly kwa kujidanganya kwamba anaweza kurudisha aridhi na miji iliyo tekwa/kaliwa na jeshi la Putin, nina uhakika kipigo cha Kherson ndio kitakuwa fundisho la mwaka kwa Zelensky na wapambe wake uchwala pamoja na wafafhili wake kwamba Jeshi la Russian Federation ni kitu ingine kabisa likihamua kufanya kweli matokeo yake ndio hayo - na huo ni mwanzo ya ziada yanakuja.
Kama nakumbuka vizuri mwezi uliyo pita Putin aliwakumbusha mahasimu wake kwa mara nyingine tena kwamba hivi sasa Jeshi la Urusi linatumia a fraction ya uwezo wake wote - je,ni wangapi walimwelewa?? Badala yake media za magharibi zimeshupalia operation hii/Kherson as if ilikuwa ni mother of all battles - sasa subirini wiki moja ipite muone kama media za magharibi zitakuwa zinazungumzia tena operation ya jimbo la Kherson.
Jeuri ya US hii hapa.....
United States President Joe Biden plans to ask Congress to approve an estimated $1.1bn arms sale to the self-ruled island of Taiwan, including 60 anti-ship missiles and 100 air-to-air missiles, according to Politico.
$1.1bn = Trillions 2.56 Tshs.
Mchina kazi anayo !! inaitwa GUSA UNASE.
Naona umekua mkalimani Wake wakati yeye kakubali ni live [emoji23][emoji23]Live anamaanisha kupata taarifa ya kinachoendelea wakati husika siyo live huko field kama filamu. Huwa utazamani international news live?
Wananchi wake wanakufa njaa yeye yupo bize kupambana na china na urusi kwani ndio waliomsababishia njaa? [emoji23][emoji23][emoji23]Jeuri ya US hii hapa.....
United States President Joe Biden plans to ask Congress to approve an estimated $1.1bn arms sale to the self-ruled island of Taiwan, including 60 anti-ship missiles and 100 air-to-air missiles, according to Politico.
$1.1bn = Trillions 2.56 Tshs.
Mchina kazi anayo !! inaitwa GUSA UNASE.
Alikomenti kakubali live sasa wewe unamkatalia? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana akili nzito balaa hao
Hajui China hana haja na Taiwan anamtia jambajamba tu ili aumize uchimi wake kuwekeza kule china yeye anajipalia zake kiuchumi, kuja kushtuka kaachwa mbaliiiYaani yupo Ukraine, na muda huohuo Taiwan anataka kwenda, jamaa hapoi aiseee. Nahisi yeye vita ni sehemu ya maisha yake.
Hii ni Picha ya Rambo au unasimulia uhalisia yaan nmeona title nikaingia ndani uliçhokielezea nmebaki nmetulia kwanza nimalizie mtori wanguMrusi hana hamu na HIMARS, zinamtesa sana hadi leo, zimewapa jeuri Ukraine kiasi cha wao kuanzisha mashambulizi wenyewe tofauti na awali walivyokua wanapambana kuhimili mashambulizi.....
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson, a strategically critical city near Crimea, in one of the first major tests of Kyiv’s ability to gain an edge in the burgeoning stalemate as Moscow’s own military shortcomings mount.
The offensive to retake Kherson, the regional capital, began with long-range artillery strikes using U.S.-supplied HIMARS precision satellite-guided rocket systems to attack Russian strongholds but also against positions and formations of pro-Russian troops at the front, marking a shift in Ukraine’s recent tactics. Reports emerged almost immediately late Monday local time that elements of those forces were abandoning their posts and retreating.
Several officials in Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy’s confirmed the offensive, which analysts had predicted in recent days following heightened shelling against Russian military installations there, particularly Sunday evening.
Umeona kilichowapata wenzenu leo? Waliwekewa mtego wakanasa!Hahaha!! Mlianza kwa vicheko na shangwe, mziki umebadilika na mpaka kitaeleweka....
Bwana Utam Urusi taifa teule takbirrr....
Wachina wana akili sana na hekima, Taiwan wanaweza kukubali kupokea silaha hizo lakini hawatazitumia dhidi ya China - Wataiwan wanajua vizuri sana kwamba Uncle SAM anataka kuwatumia wapigane a proxy war na Uchina on behalf ya Merikani yenyewe Taiwanese are not suicidal wana akili zao timamu - ya Ukraine hayawezi kujirudia huko Taiwan, kwanza Ukraine ni Taifa kubwa kieneo ni la pili barani Ulaya nyuma ya Urusi,walikuwa wanaongoza kuwa na jeshi kubwa barani Ulaya na silaha nyuma ya Russia - Wataiwan wakijitia kutaka kushindana/tishia kijeshi China mainland basi Taiwan watapata fundisho la mwaka kutoka kwa PLA na hawatachukua round western military help notwithstanding.
Uwezo huo anaoWarusi wa Buza wanakwamba Putin ana uwezo wa kupiga hata Pentagon muda wowote ila sema hataki tu 😀😀😀