Mbona wapunguza idadi, wamekufa zaidi ya Elfu 30 leoAisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25.
Na huko kwake Marekani uchumi upo kwenye recession mamæYaani yupo Ukraine, na muda huohuo Taiwan anataka kwenda, jamaa hapoi aiseee. Nahisi yeye vita ni sehemu ya maisha yake.
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson
Sentensi hiyo hapo juu ndio inayotia shaka habari nzima. Halafu kama wamewacha Warusi si waoneshe hata vifaru viwili au vitatu! Inavyoonekana ni Propaganda ya kuwapa morali wanajeshi wa Ukraine waliopo sehemu mbalimbali za mstari wa mbele. Mwisho, ni wiki karibu yanne sasa tuanaambiwa Wanajeshi wa Ukraine wameizingira Kherson!
Ni maoni tu pale unapoona ni sawa kuyatoa unayatoa.Naona umekua mkalimani Wake wakati yeye kakubali ni live [emoji23][emoji23]
Sema sister unachekeshaa sanaa..yaan ulipoteaaa mazimaaa..naona umeskia operation fake umeibuka tena..hayaa karibu sana..ila mpaka sasa wakirene 12 hundreds wameshaliwa kichwaaa janaMrusi hana hamu na HIMARS, zinamtesa sana hadi leo, zimewapa jeuri Ukraine kiasi cha wao kuanzisha mashambulizi wenyewe tofauti na awali walivyokua wanapambana kuhimili mashambulizi.....
Ukraine appears to have launched a major new offensive against Russian-occupied territory around Kherson, a strategically critical city near Crimea, in one of the first major tests of Kyiv’s ability to gain an edge in the burgeoning stalemate as Moscow’s own military shortcomings mount.
The offensive to retake Kherson, the regional capital, began with long-range artillery strikes using U.S.-supplied HIMARS precision satellite-guided rocket systems to attack Russian strongholds but also against positions and formations of pro-Russian troops at the front, marking a shift in Ukraine’s recent tactics. Reports emerged almost immediately late Monday local time that elements of those forces were abandoning their posts and retreating.
Several officials in Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy’s confirmed the offensive, which analysts had predicted in recent days following heightened shelling against Russian military installations there, particularly Sunday evening.
Umetoa maoni yasio sahihi, sio kila kitu unatolea maoniNi maoni tu pale unapoona ni sawa kuyatoa unayatoa.
Sio kila kitu ubongo wako unachokuelekeza ni sahihi na Sio kila maoni lazima uyatolee tafsiri ya usahihi wake.Umetoa maoni yasio sahihi, sio kila kitu unatolea maoni