Ukraine waliingia mkenge: Mkataba wa kusafirisha ngano uliposainiwa walidhani Odesa haitashambuliwa, wakaficha silaha hapo!

Ukraine waliingia mkenge: Mkataba wa kusafirisha ngano uliposainiwa walidhani Odesa haitashambuliwa, wakaficha silaha hapo!

Hatimaye Ukraine na Urusi walifikia makubaliano ya kuruhusu ngano ya ukraine kusafirishwa kwa kutumia bandari ya Odessa. Ukraine walivyoona hivyo, wakaamua kupeleka kwenye bandari hiyo meli iliyokuwa na mitambo ya kurushia makombora ya HIMARS yaliyotoka Marekani. Walifikiri kuwa bandari ya Odessa haitashambuliwa kwa kuwa imekubalika kutumika kusafirisha ngano!

Urusi ikaishambulia meli hiyo na kuteketeza mitambo na makombora yote ya HIMARS yaliyokuwa kwenye meli hiyo kwa kutumia "High recicion missile system) kutoka kwenye manowari zake zilizopo black sea!! Ulimwengu wote wa magharibi ulilia sana! Zelensky alipiga makelele sana kuwa Urusi imekiuka makubaliano!! Urusi imejibu kuwa makubaliano hayo hayazuii special military operation, wala mashambulizi hayo hayazuii usafirishaji wa ngano!

Grain deal won’t affect military op in Ukraine – Moscow​

Russia says there is nothing in the UN-backed agreement that restricts hitting military targets.
There is nothing in the recently signed deal to unblock grain exports from Ukraine that forbids Moscow from continuing its special military operation, destroying military infrastructure and other military targets, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov said on Monday.
“Under the grain deal, Russia did not assume any obligations that would prevent the continuation of the special military operation and the destruction of military infrastructure,” Lavrov said, referring to the missile strike conducted by Russian forces on Saturday in the port city of Odessa.

Missiles for US-made HIMARS destroyed – Moscow​

Russia’s Defense Ministry also says a targeted strike hit US-supplied M777 howitzers in Ukraine
Moscow has destroyed US-supplied weapons, including heavy artillery, during a strike on Sunday in western Ukraine, according to the Russian Defense Ministry.

Storage facilities containing missiles for HIMARS multiple rocket launchers and shells for M777 howitzers were targeted, the ministry announced on Monday.

A shipment station outside Bogdanovtsy village, which hosted the munitions, was hit with “sea-based high-precision long-range weapons,” it added.
Swaaaafiiiii
 
Hatimaye Ukraine na Urusi walifikia makubaliano ya kuruhusu ngano ya ukraine kusafirishwa kwa kutumia bandari ya Odessa. Ukraine walivyoona hivyo, wakaamua kupeleka kwenye bandari hiyo meli iliyokuwa na mitambo ya kurushia makombora ya HIMARS yaliyotoka Marekani. Walifikiri kuwa bandari ya Odessa haitashambuliwa kwa kuwa imekubalika kutumika kusafirisha ngano!

Urusi ikaishambulia meli hiyo na kuteketeza mitambo na makombora yote ya HIMARS yaliyokuwa kwenye meli hiyo kwa kutumia "High recicion missile system) kutoka kwenye manowari zake zilizopo black sea!! Ulimwengu wote wa magharibi ulilia sana! Zelensky alipiga makelele sana kuwa Urusi imekiuka makubaliano!! Urusi imejibu kuwa makubaliano hayo hayazuii special military operation, wala mashambulizi hayo hayazuii usafirishaji wa ngano!

Grain deal won’t affect military op in Ukraine – Moscow​

Russia says there is nothing in the UN-backed agreement that restricts hitting military targets.
There is nothing in the recently signed deal to unblock grain exports from Ukraine that forbids Moscow from continuing its special military operation, destroying military infrastructure and other military targets, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov said on Monday.
“Under the grain deal, Russia did not assume any obligations that would prevent the continuation of the special military operation and the destruction of military infrastructure,” Lavrov said, referring to the missile strike conducted by Russian forces on Saturday in the port city of Odessa.

Missiles for US-made HIMARS destroyed – Moscow​

Russia’s Defense Ministry also says a targeted strike hit US-supplied M777 howitzers in Ukraine
Moscow has destroyed US-supplied weapons, including heavy artillery, during a strike on Sunday in western Ukraine, according to the Russian Defense Ministry.

Storage facilities containing missiles for HIMARS multiple rocket launchers and shells for M777 howitzers were targeted, the ministry announced on Monday.

A shipment station outside Bogdanovtsy village, which hosted the munitions, was hit with “sea-based high-precision long-range weapons,” it added.
safi.
 
Hahahahahhahahahah
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png



Ndio maana wanapiga kelele sana kumbe mzigo umeliwa
emoji16.png
emoji16.png
,

Hapa Nato lazima iwaume na watazidi kusaga meno
Wewe ukitaka kujuwa kwamba Zelensky na NATO/US wamezidiwa kete na jeshi la Urusi na taasisi ya kiintelijensia ya jeshi la Putin - we wa-cheki kauli zao wanapo gunduwa kwamba silaha zao zimetekezwa na Russian High Precision Cruise Missiles - wanapiga kelele kama watu walio lishwa pilipili kichaa - na lawana juu!!

Ukiangalia body language ya Zelensky anapo zidiwa kete na Putin baada ya silaha zake kutoka magharibi kuteketezwa,unamuona ni kama mtu aliye changanyikiwa - muda wote anawaza nchi za magharibi kumuongezea silaha, wakati akijuwa wazi kwamba awezi kushinda vita.
 
Back
Top Bottom