Ukraine wapiga daraja la Crimea kwa mzinga wa Storm Shadow

Ukraine wapiga daraja la Crimea kwa mzinga wa Storm Shadow

Hapa ieleweke kuwa sio Daraja linalounganisha URUSI NA CLIMEA LENYE ULINZI MKARI HATA INZI HAKATISHI.
NI DARAJA LINALOUNGANISHA CLIMEA NA NCHI KAVU. TENA UPANDE WA NCHI KAVU LADHIBITIWA NA JESHI LA UKRAINE.
 
Endeleeni tu kupapasa sharubu ..hamjui Putin nyie Hadi Sasa huruma tu imemtawala ila mnamshika pabaya
Hawa Watu Wana matatizo ya Lugha. Sio lile Daraja la kuunganisha Urusi na climea bali ni la climea na Nchi kavu upande wa pili. Tena huo upande wa pili unadhibitiwa na ukraine
 
Putini anatia huruma sana juzi commander wake ameonya sana Crimea isiguswe sasa leo kuguswa kwa kiwango hiki lazima Putin atakuwa anaharisha mavi yale membamba membamba.

Yaani kila Putini analotahadharisha watu wanatibua kwa makusudi ili kama ana la kufanya afanye ashughulikiwe kwa mara moja vita iishe lakini Kenge huyu Putin haingii kwa woga alionao,
yawezekana una vyanzo vyako vya habari ambavyo wengine hawana access navyo
 
yawezekana una vyanzo vyako vya habari ambavyo wengine hawana access navyo
Wamepiga Daraja la kutoka ktk peninsula ya Crimea kwenda nchi kavu upande amabao uko ktk miliki ya Urusi na Ukraine, wanasema eti Daraja la kuunganisha Urusi na CLIMEA. Sijuhi wanajifariji na nini?
 
Juzi Urusi waliomba Crimea isipigwe kwa "storm shadow", Ukraine leo wamepiga daraja kwa mzinga huo huo...............


AUkrainian missile strike hit the bridge connecting Russian-held parts of the southern Kherson region with the annexed Crimea peninsula, officials said on Thursday.

The attack forced traffic to be diverted to a different route, according to the Russia-appointed officials in both regions.

Vladimir Saldo, the Russia-appointed Kherson governor, said the road was damaged but no casualities were reported.

He claimed British-supplied Storm Shadow missiles were likely to have been used for the attack.


This could not be independently verified and may be an attempt to blame the West for the strike.

Crimea's governor, Sergey Aksyonov, said specialists were examining the site to determine when traffic over the bridge could resume.

Known as "the gate to Crimea", the Chongar bridge is one of a handful of bridges linking Crimea - which was annexed by Russia in 2014 - with the mainland.

The bridges provide an alternative to the narrow isthmus connecting the peninsula and the continent.
Cha kufanya sasa ni Urusi kuangalia kombora linalotua nchini mwake na kuleta hasara limetolewa sadaka na nani .Huyo aliyetoa arudishiwe kombora la IBCM katikati ya mji wake mkuu.
Kabla ya kufanya hivyo Putin angetoa onyo juu ya nia yake hiyo na baada ya kukaidi na yeye asitaniane nao kabisa.
 
Siamini kama hiki ndicho alichokisema, ila ukweli ni kuwa viongozi wengi wa Afrika hawana credibility ya kuwa wasuluhishi. Kwanza Afrika yenyewe imejaa migogoro, wangemaliza kwanza hii ya kwao kabla ya kuwa wasuluhishi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa ila kumbuka hata hao unaodhani wanafaa kuwa wasuluhishi na wao wana matatizo yao.

Ukraine na Urusi ni muhimu kwa Africa sababu ya nafaka, teknolojia, mbolea, silaha, mafuta na mengine mengi....sio vibaya kwa Africa kujaribu kumaliza hii Vita kwa maslahi ya hili bara.
 
Sahihi kabisa ila kumbuka hata hao unaodhani wanafaa kuwa wasuluhishi na wao wana matatizo yao.

Ukraine na Urusi ni muhimu kwa Africa sababu ya nafaka, teknolojia, mbolea, silaha, mafuta na mengine mengi....sio vibaya kwa Africa kujaribu kumaliza hii Vita kwa maslahi ya hili bara.
Unaamini watu walioshindwa kuwashauri waafrika wenzao kumaliza migogoro wanaweza kuwashauri wazungu waache vita?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Unaamini watu walioshindwa kuwashauri waafrika wenzao kumaliza migogoro wanaweza kuwashauri wazungu waache vita?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kabisa hasa ikizingatia wameona madhara ya Vita kwenye bara lao.

ila uamuzi wa kukubali kupokea ushauri na kuutekeleza unabakia kwa wanaopigana.
 
Juzi Urusi waliomba Crimea isipigwe kwa "storm shadow", Ukraine leo wamepiga daraja kwa mzinga huo huo...............


AUkrainian missile strike hit the bridge connecting Russian-held parts of the southern Kherson region with the annexed Crimea peninsula, officials said on Thursday.

The attack forced traffic to be diverted to a different route, according to the Russia-appointed officials in both regions.

Vladimir Saldo, the Russia-appointed Kherson governor, said the road was damaged but no casualities were reported.

He claimed British-supplied Storm Shadow missiles were likely to have been used for the attack.


This could not be independently verified and may be an attempt to blame the West for the strike.

Crimea's governor, Sergey Aksyonov, said specialists were examining the site to determine when traffic over the bridge could resume.

Known as "the gate to Crimea", the Chongar bridge is one of a handful of bridges linking Crimea - which was annexed by Russia in 2014 - with the mainland.

The bridges provide an alternative to the narrow isthmus connecting the peninsula and the continent.
Picha iko wapi
 
Wamepiga Daraja la kutoka ktk peninsula ya Crimea kwenda nchi kavu upande amabao uko ktk miliki ya Urusi na Ukraine, wanasema eti Daraja la kuunganisha Urusi na CLIMEA. Sijuhi wanajifariji na nini?
Unabisha nn wkt unaandika mwenye daraja kwenda kwenye miliki ya urusi na ukraine , hv upo timamu?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Putin ameshikwa kwenye makalio , acha wampumulie kwenye kisogo , sijawahi ona Rais mpuuzi kama huyo Karne hii anagombania ardhi.
Harafu alivyo jinga ana ardhi kubwa tuu yeye hataki ardhi anataka pia vitu vilivyopo kwenye hiyo ardhi kavu sana huyo mtu...
 
Back
Top Bottom