HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Nenda kawasaidieNchi hii ina unaguzi sana, bora Russia iwape darsa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kawasaidieNchi hii ina unaguzi sana, bora Russia iwape darsa.
Wewe ni juha sana,tena sana sijui kwanini pro Russia ni wapumbavu wakubwa kiasi hiki?The guy is butchering his own citizens at an alarming rate. View attachment 2665174View attachment 2665175
Huruma gani wakati kafeli, hivi wewe una akili kweli???Endeleeni tu kupapasa sharubu ..hamjui Putin nyie Hadi Sasa huruma tu imemtawala ila mnamshika pabaya
Yaani huruma ya kutoka nchini kwako bila sababu ya maana ili tu kuwanyima uhuru wa kufanya mambo yao, unaanza kushambulia nchi nyingine? Ndiyo huruma hiyo? Acha waendelee kumjaza hadi ajifungueEndeleeni tu kupapasa sharubu ..hamjui Putin nyie Hadi Sasa huruma tu imemtawala ila mnamshika pabaya
Mkuu ni kwamba una matatizo ya kuandika au kichwa chako ndio kizito?Hawa Watu Wana matatizo ya Lugha. Sio lile Daraja la kuunganisha Urusi na climea bali ni la climea na Nchi kavu upande wa pili. Tena huo upande wa pili unadhibitiwa na ukraine
Nchi hii ina unaguzi sana, bora Russia iwape darsa.
Mkuu mnaupiga mwingi saana humu Jf.
Mpuuzi sana, jamaa ana ardhi kubwa saaaana.Harafu alivyo jinga ana ardhi kubwa tuu yeye hataki ardhi anataka pia vitu vilivyopo kwenye hiyo ardhi kavu sana huyo mtu...
Sema wale wajinga wanafata maagano yao tu hakuna cha maana hapo ni kuharibu ustaarabu wa Dunia basi...Jinga kabisa lile zeeMpuuzi sana, jamaa ana ardhi kubwa saaaana.