Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipe raman nione Crimea ipo nchi ganCrimea bridge ni frontline?
miez 8 sasa tangu zile saa 72 mnazozikanagaStories za kupokea vifaa vipya tunazisikia kila siku na kila siku tunasikia Zelensky anapokea kichapo. Kwahiyo hizo stories hazina mshiko wowote ule
hv raia = waasi , basi nlikuwa sijui kama lugha imebadilika siku hz , ukiwa mpumbav utakufa mpumbav , kesho mtakuja kutuambia Alshabab pia ni raia wema kisa wanavaa vijora kama nyinyHayo yote ukraine alikua anawafanyia raia wa donbass tokea 2014 huko....leo hii kibao kimewageukia wao
kwa hayo makaz ni ya Uajemi au ya Urusi , yaan mnajuwa kosa la jeshi kutumia makaz km ngao ila hamjui kosa la kuivamia nchi iliyo huru , nahis mrusi hata akikutia dol3 utashangilia , vichwa maji kbsPia alaaniwe anayetumia makazi ya raia kama kambi za jeshi na kuficha silaha
dah ndio maana tulitawaliwa , yaan warusi watavumilia kuwa wanaenda vacatio huko thailand na india , na kuiacha pepo yao ulaya ka miaka.8 , vita ikisonga mbele hata kwa miaka 3 basi wananchi wataandamana , yupo mdada ni mrusi huwa anapost situation ya huko Urusi , wale wazee wq soviet ndo wanaunga mkono Urusi ila vijana hawapo na huu ujinga wa PutinVita hii itachukua miaka 8 iko imepangiluwa kwa pharse kama vurus wa corona walivyokuwa. Baada ya vifaa kuingia Russia atatulia kwa muda, then atapiga vibaya za zana tofauti za kivita. Baadae USA na wenzake watakaa tena wanaleta zana nyingine.
Hii Movie sio ya kuangalia kwa kula porp corn , ni Movie yenye Episode nyingi na kila episode ina series za kutosha.
At the end Ukraine itakuwa na wakazi elfu 1, wengine watakuwa wakimbizi. Urusi na Usa watakuwa nearly at equal value while Europe atakuwa aproaching Zero line.
Afrika atakuwa amejifunika yeye ni usiku mnene hajui nini kinaendelea, ni kama kupe ambaye ameuma ngozi ya mnyama aliyechinjwa longtime. Hajui nini ni fursa na kipi sio , Yeye anaomba tu misaada kwa watu wenye shida, hata sasa utashangaa anaomba msaada toka Ukraine yaani Afrika haelewi nini kinaendelea duniani.
Afrika na watu wake wanasifiana na kupanga fulani aendelee
duh alidanganywa kavamiwa au alidanganywa kujilinda kumbe hajavamiwa , sio ?Zele ze comedian soja anadanganywa ili nchi yake itumike kama majaribio ya silaha
ukivaa kobaz akili inaruka kabisa , mtu anapiga makaz ya watu ndo unamuita mtakatifu huyo ?Kupiga vyanzo vya nishati na jengo la wapanga mipango ya ugaidi sio mkakati?
Nchi imewekwa gizani kimkakati
Next time mtasikia comedian zele yupo state Duma anahojiwa na kamati ya bunge ya ulinzi ya Russia.
duh ukiitw nyaniyy unalalamika wkt akil kisoda , Ngoja Putin aj akushone ndo utaelewaHukufuatilia yale yalikua MAGAIDI na MAGAIDI yanatakiwa kufa popote pale yalipo
Safi sana RUSSIA kwahatua ile na hii yakutokomeza MAGAIDI
Sent using Jamii Forums mobile app
umejuaje km ww huangalii hizo media , once a fool always a foolYpu are watching too much bbc and cnn doctored footages..
apongezwe aliekushona mpk ushoga haukutok kichwan , km hujaridhika sema wanaume tukukamie mtungo [emoji8]Habari imetolewa na team NATO imekaa kishoga shoga
-kwenye sheria za vita za kimataifa, zinasema vita vinataakiwa kupunguza au kutokusababisha unnecessary suffering kwa Civilian,mazingira,wanyama pori,Ni muundo mbinu wa kimkakati, pigeni miundo mbinu sio kurusha mabomu uswazi...
Inaonyesha mlivyo waoga.
Alidanganywa kuendelea kupigana vita ambayo haimudu, kumbuka vita hii inapiganwa ndani ya ardhi yake.duh alidanganywa kavamiwa au alidanganywa kujilinda kumbe hajavamiwa , sio ?
Alidanganywa kuendelea kupigana vita ambayo haimudu, kumbuka vita hii inapiganwa ndani ya ardhi yake.
Shaheed drones zimefanya balaa tena mungikiKila kitu kwenu ni doctored, mtakoma tu.
Dogo hili sio jukwaa la kuropoka matusiumejuaje km ww huangalii hizo media , once a fool always a fool
Hii wakiijibu nitacoonyer bogaPia alaaniwe anayetumia makazi ya raia kama kambi za jeshi na kuficha silaha
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Vita hii itachukua miaka 8 iko imepangiluwa kwa pharse kama vurus wa corona walivyokuwa. Baada ya vifaa kuingia Russia atatulia kwa muda, then atapiga vibaya za zana tofauti za kivita. Baadae USA na wenzake watakaa tena wanaleta zana nyingine.
Hii Movie sio ya kuangalia kwa kula porp corn , ni Movie yenye Episode nyingi na kila episode ina series za kutosha.
At the end Ukraine itakuwa na wakazi elfu 1, wengine watakuwa wakimbizi. Urusi na Usa watakuwa nearly at equal value while Europe atakuwa aproaching Zero line.
Afrika atakuwa amejifunika yeye ni usiku mnene hajui nini kinaendelea, ni kama kupe ambaye ameuma ngozi ya mnyama aliyechinjwa longtime. Hajui nini ni fursa na kipi sio , Yeye anaomba tu misaada kwa watu wenye shida, hata sasa utashangaa anaomba msaada toka Ukraine yaani Afrika haelewi nini kinaendelea duniani.
Afrika na watu wake wanasifiana na kupanga fulani aendelee