Ukraine wapokea kifaa cha kwanza kitakachosaidia kwenye kupangua mabomu ya Urusi yanayotupwa uraiani

Ukraine wapokea kifaa cha kwanza kitakachosaidia kwenye kupangua mabomu ya Urusi yanayotupwa uraiani

Baada ya Vita Ukraine kijeshi itakuwa imara mara 5 ya kabla ya kuvamiwa , matatizo hukufanya kuwa imara
 
Stories za kupokea vifaa vipya tunazisikia kila siku na kila siku tunasikia Zelensky anapokea kichapo. Kwahiyo hizo stories hazina mshiko wowote ule
miez 8 sasa tangu zile saa 72 mnazozikanaga
 
Hayo yote ukraine alikua anawafanyia raia wa donbass tokea 2014 huko....leo hii kibao kimewageukia wao
hv raia = waasi , basi nlikuwa sijui kama lugha imebadilika siku hz , ukiwa mpumbav utakufa mpumbav , kesho mtakuja kutuambia Alshabab pia ni raia wema kisa wanavaa vijora kama nyiny
 
Pia alaaniwe anayetumia makazi ya raia kama kambi za jeshi na kuficha silaha
kwa hayo makaz ni ya Uajemi au ya Urusi , yaan mnajuwa kosa la jeshi kutumia makaz km ngao ila hamjui kosa la kuivamia nchi iliyo huru , nahis mrusi hata akikutia dol3 utashangilia , vichwa maji kbs
 
Vita hii itachukua miaka 8 iko imepangiluwa kwa pharse kama vurus wa corona walivyokuwa. Baada ya vifaa kuingia Russia atatulia kwa muda, then atapiga vibaya za zana tofauti za kivita. Baadae USA na wenzake watakaa tena wanaleta zana nyingine.
Hii Movie sio ya kuangalia kwa kula porp corn , ni Movie yenye Episode nyingi na kila episode ina series za kutosha.
At the end Ukraine itakuwa na wakazi elfu 1, wengine watakuwa wakimbizi. Urusi na Usa watakuwa nearly at equal value while Europe atakuwa aproaching Zero line.
Afrika atakuwa amejifunika yeye ni usiku mnene hajui nini kinaendelea, ni kama kupe ambaye ameuma ngozi ya mnyama aliyechinjwa longtime. Hajui nini ni fursa na kipi sio , Yeye anaomba tu misaada kwa watu wenye shida, hata sasa utashangaa anaomba msaada toka Ukraine yaani Afrika haelewi nini kinaendelea duniani.
Afrika na watu wake wanasifiana na kupanga fulani aendelee
dah ndio maana tulitawaliwa , yaan warusi watavumilia kuwa wanaenda vacatio huko thailand na india , na kuiacha pepo yao ulaya ka miaka.8 , vita ikisonga mbele hata kwa miaka 3 basi wananchi wataandamana , yupo mdada ni mrusi huwa anapost situation ya huko Urusi , wale wazee wq soviet ndo wanaunga mkono Urusi ila vijana hawapo na huu ujinga wa Putin
 
Kupiga vyanzo vya nishati na jengo la wapanga mipango ya ugaidi sio mkakati?
Nchi imewekwa gizani kimkakati
Next time mtasikia comedian zele yupo state Duma anahojiwa na kamati ya bunge ya ulinzi ya Russia.
ukivaa kobaz akili inaruka kabisa , mtu anapiga makaz ya watu ndo unamuita mtakatifu huyo ?
 
Ni muundo mbinu wa kimkakati, pigeni miundo mbinu sio kurusha mabomu uswazi...
Inaonyesha mlivyo waoga.
-kwenye sheria za vita za kimataifa, zinasema vita vinataakiwa kupunguza au kutokusababisha unnecessary suffering kwa Civilian,mazingira,wanyama pori,
 
Alidanganywa kuendelea kupigana vita ambayo haimudu, kumbuka vita hii inapiganwa ndani ya ardhi yake.

Kaka nafahamu wewe sio mvaa kobaz, hivyo niko tayari kujadili na wewe maana najua haujashikiliwa akili kidini, hivi ungekua wewe ndiye rais wa Ukraine ungefanya nini, litaifa jirani libwaku limekuja likamega eneo lako la Crimea, na halikutosheka likataka kuparamia nchi yote, sema kwa ujasiri wa wanajeshi wako walipiga za uso, sasa limekukimbia kwenye frontline na kuanza kupiga bembea za watoto mabomu.
 
Vita hii itachukua miaka 8 iko imepangiluwa kwa pharse kama vurus wa corona walivyokuwa. Baada ya vifaa kuingia Russia atatulia kwa muda, then atapiga vibaya za zana tofauti za kivita. Baadae USA na wenzake watakaa tena wanaleta zana nyingine.
Hii Movie sio ya kuangalia kwa kula porp corn , ni Movie yenye Episode nyingi na kila episode ina series za kutosha.
At the end Ukraine itakuwa na wakazi elfu 1, wengine watakuwa wakimbizi. Urusi na Usa watakuwa nearly at equal value while Europe atakuwa aproaching Zero line.
Afrika atakuwa amejifunika yeye ni usiku mnene hajui nini kinaendelea, ni kama kupe ambaye ameuma ngozi ya mnyama aliyechinjwa longtime. Hajui nini ni fursa na kipi sio , Yeye anaomba tu misaada kwa watu wenye shida, hata sasa utashangaa anaomba msaada toka Ukraine yaani Afrika haelewi nini kinaendelea duniani.
Afrika na watu wake wanasifiana na kupanga fulani aendelee
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom