Ukraine yadai kumuua afisa wa tisa Mkuu wa Jeshi la Urusi

Ukraine yadai kumuua afisa wa tisa Mkuu wa Jeshi la Urusi

Inaweza kua kweli..

Mbona hutusikii wanajeshi wa Ukraine wakifa...

Ila miji yao mingi imechukuliwa..

Au wanatoka nduki,,maana anga lao halipo na wao tena ila hatujasikia sijui urusi katungu ndege au kauuwa wanajeshi,,

ila huyu tunaye ona anadundwa kila siku... utasika mara kauwa wanajeshi mara kadungua ndege ya urusi.

Ninacho kiona mm ni waafrica tunalishwa matango mno hasa kupitia CNN na BBC amabvyo ni vyombo nya NATO.

Hatujawahi sikia bomu limetua MOSCOW wala mji wowote wa Urusi but ccnn wanakwambi mara urusi kafa flan mara sijui nn sijui..

Ni uwongo mtupu....
vita ipo Ukraine unataka afe raia aliyepo urusi , hz akili au matope?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu aliyekuambia walishindwa ni nani,au taarifa ulizo nazo wewe ni tofauti.Hivi inawezekanaje Nchi inayohofiwa na NATO yote muungano wa Nchi 28+USA wamuogope halafu ashindwe kuichukua Kiev?.
Au unataka kusema Ukraine hakuomba Urusi isiindelee na operations yao kuelekea Kiev ambapo ilikuwa bado KM 15 kufika katikati ya mji?.
ss walienda kufanya nn kiev ? au walimis baga za kiev ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye vita propaganda lazima ziwepo kwa mfano vile vita vya majimaji watu walikuwa wanapigwa risasi wao waliambiwa wawe wanasema maji tu lakini walikufa sana. Hata wanajeshi wa urusi wandanganywa na wanakufa sana ila ambao hawajafa wanaambiwa hiyo ni proganda yani chukulia mfano Yale magari ya urusi yaliyo kuwa yanaenda ukraine kichwa kichwa karibia km 64.
Na mwisho wa siku waliishia kufa kama kuku.
Na inawezekana wao walidanganywa na intelligence ya urusi kwamba ule msafa Kuna vifaa walivifunga kwahiyo yale magari yasingweza kuonekana na rada ya aina yoyote duniani.
Na hii tegemea kuambiwa propaganda
 
Inaweza kua kweli..

Mbona hutusikii wanajeshi wa Ukraine wakifa...

Ila miji yao mingi imechukuliwa..

Au wanatoka nduki,,maana anga lao halipo na wao tena ila hatujasikia sijui urusi katungu ndege au kauuwa wanajeshi,,

ila huyu tunaye ona anadundwa kila siku... utasika mara kauwa wanajeshi mara kadungua ndege ya urusi.

Ninacho kiona mm ni waafrica tunalishwa matango mno hasa kupitia CNN na BBC amabvyo ni vyombo nya NATO.

Hatujawahi sikia bomu limetua MOSCOW wala mji wowote wa Urusi but ccnn wanakwambi mara urusi kafa flan mara sijui nn sijui..

Ni uwongo mtupu....
wana toka nduki wataweza 😂😂😂 leo wame dakwa 160! wana wadaka usiku kama senene! hii vita Urusi amesha shinda ni suala la muda tu
 

Attachments

  • VID_20220411_181706_817.mp4
    7.7 MB
hongera zao ila UKRAINE ndio inagawanywa hivyo
biibiisiii sienieni nawengine wanawalisha matango pori ila wameumbuka sana safari hii
watu hawataki kuja kuombwa msamaha na biibiisii kama tulivyoombwa 2003
 
wana toka nduki wataweza [emoji23][emoji23][emoji23] leo wame dakwa 160! wana wadaka usiku kama senene! hii vita Urusi amesha shinda ni suala la muda tu
boibiisiii huwezi ona hii[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Strategic cities la Kyiv??
Naona Zelensky anadunda na maoifisa wa European Union na jana Boris Johnson waziri mkuu wa Uingereza pia alikuwa Kyiv, hatujasikia kwa putini aliweza kurusha japo jiwe kwenye ule mjumba wa kifahari waliofanya mikutano pale Kyiv, fomu za kujiunga na European Union pia zilipokelewa Kyiv mchana kweupee
Mkuu hawa Pro Russia wana win hii vita katika vichwa vyao tu
 
Unaleta ushabiki kwenye maisha ya watu...wanawake, watoto wanakufa Ukraine huko...wakimbizi wa kutosha tu ndani na nje...Hakuna kitu cha kushangilia hapo...Zelensky anaomba misaada muda wote..

Nashangaa ilikuwaje wazungu wakweza kututawala wakati nao akili za kijinga tu...Hivi inakuwaje mnasababisha maafa kwa nchi yenu kisa kuchagua upande....??Ukraine ingebaki tu pro -Ukraine ingepiga hatua ndefu....ingeshirikia na West na East, ingekuwa kama daraja..now wanatumika tu na west, wanatumika kama uwanja wa kutest vita...

Na wewe nawe mtoa mada..hivi nchi yenye watu zaidi ya 140M anaua kamanda unashangilia umeshinda vita??The point sio kuua wanajeshi, point amani ipatikane...Japan mbona alisalimu amri miaka hiyo na life linasonga tu...??Approach anayoitumia Zelensky si nzuri..

Unakumbuka vita ya Uganda (Idd Amini) na Tz tulipoteza wanajeshi wangapi??Maelfu..maelfu..lkn mwisho wa siku vita tulishinda..politicians hawaangalii wanajeshi kufa, wanaangalia kutimiza malengo yao....na kufikiwa kwa lengo la taifa husika
 
Back
Top Bottom