Last week hawa hawa Ukrain walisema wame tungua ndege 4 za Su -57 mpaka leo hakuna hata kapicha.Sawa
Tena medani yenyewe kukiwa na mataifa zaidi ya hamsini yakiwa yameungana dhidi ya taifa moja.Hiyo ni kawaida kwenye medani hata Marekani amesha poteza ndege mbili ghari za kijasusi na zote zilitunguliwa na Iran.
Hayo hawayasemi wao masaa yote ni kuzungumzia jinsi Putin na Urusi watakavyo pewa cha mtema kuni na NATOna washorika wake - siku zina kwanda na majimbo yaliyo twaliwa/tekwa na Urusi mpaka sasa Ukriaine haija fanikiwa kirudisha hata moja - masaa yote ni adithi za kifukirka za so called massive counter offensive dhidi ya Jeshi la Urusi which has proven arbottive for Ukraine and their pay masters time and time again save western massive propaganda -moja wapo ikiwa hii ya kudai eti ndege ya kuongozea jetfighters kwenye airborne targets na high valued land based air defense system imetunguliwa, hizi ndizo adithi za kufikirika za the Ze Kukoyo tumemzoea.Tena medani yenyewe kukiwa na mataifa zaidi ya hamsini yakiwa yameungana dhidi ya taifa moja.
Hususan mataifa hayo yakiwa na muungano wa kijeshi aina ya NATO.
Ila ajabu anaeumia ukraine πHii vita urusi anapigwa ngumi za gizani
Mbona ww husemi mpaka Leo mwaka wa pili Urusi imeshindwa hata kuitwaa Donbass yote huku akiwa kashapoteza askari kibao bila kusahau kashatumia kila aina ya silaha hapo ukraine kasoro nyuklia.Hayo hawayasemi wao masaa yote ni kuzungumzia jinsi Putin na Urusi watakavyo pewa cha mtema kuni na NATOna washorika wake - siku zina kwanda na majimbo yaliyo twaliwa/tekwa na Urusi mpaka sasa Ukriaine haija fanikiwa kirudisha hata moja - masaa yote ni adithi za kifukirka za so called massive counter offensive dhidi ya Jeshi la Urusi which has proven arbottive for Ukraine and their pay masters time and time again save western massive propaganda -moja wapo ikiwa hii ya kudai eti ndege ya kuongozea jetfighters kwenye airborne targets na high valued land based air defense system imetunguliwa, hizi ndizo adithi za kufikirika za the Ze Kukoyo tumemzoea.
Labda na mimi nichangie leoUkraine inadai kutungua ndege ya kisasa ya Urusi A-50 AWACS. Kazi kubwa ya ndege ilikua ni kuelekeza makombora ya S-400 kuweza kutungua ndege Vita za ukraine zikiwa umbali mrefu zaidi.
Urusi inadai inaweza kuona kombora likiwa umbali wa zaidi ya kilometa 1000 na ndege umbali zaidi ya km 400. Urusi ilikua na ndege 8 tu za aina hii.
Ndege hii inadaiwa kutunguliwa na mfumo wa Patriot. Urusi bado haijathibisha taarifa hizi.
View attachment 2872644