Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako lina logic gani? Tangu mwanzo Putin alisema lengo lake ni kukomboa Warusi wenake wa majimbo ya kusini, hakusema anataka kuiteka Ukraine nzima au kuiondoa madarakani Serikari ya Zelensky.Mbona ww husemi mpaka Leo mwaka wa pili Urusi imeshindwa hata kuitwaa Donbass yote huku akiwa kashapoteza askari kibao bila kusahau kashatumia kila aina ya silaha hapo ukraine kasoro nyuklia.
Kwahiyo unabisha hilo dege halijatunguliwa au?!
Kwa hiyo kipindi anafanya uvamizi mwanzoni kabisa alikuwa anaenda Kyiv kufanya nini...😛😛Swali lako lina logic gani? Tangu mwanzo Putin alisema lengo lake ni kukomboa Warusi wenake wa majimbo ya kusini, hakusema anataka kuiteka Ukraine nzima au kuiondoa madarakani Serikari ya Zelensky.
Kwahiyo Donbass ipo kaskazini au sio?!Swali lako lina logic gani? Tangu mwanzo Putin alisema lengo lake ni kukomboa Warusi wenake wa majimbo ya kusini, hakusema anataka kuiteka Ukraine nzima au kuiondoa madarakani Serikari ya Zelensky.
Moskva meli ya kijeshi kubwa ya Russia ilokuwa na ulinzi wa S300 ilipopigwa Warusi walikanusha kama kawaida yao, huyo jamaa naye akabisha sana.Mbona ww husemi mpaka Leo mwaka wa pili Urusi imeshindwa hata kuitwaa Donbass yote huku akiwa kashapoteza askari kibao bila kusahau kashatumia kila aina ya silaha hapo ukraine kasoro nyuklia.
Kwahiyo unabisha hilo dege halijatunguliwa au?!
Ndio maana nasema majibu yako na baadhi ya wenzako uwaaga too illogical and childish "sorry AMIGO" nyie endeleeni na kusema muyatakayo wakati huo Urusi bado inaendelea kukalia majimbo waliyo yateka.Kwahiyo Donbass ipo kaskazini au sio?!