Ukraine yaharibu daraja muhimu ndani ya Russia.

Ukraine yaharibu daraja muhimu ndani ya Russia.

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Ukraine imeharibu daraja muhimu kimkakati juu ya mto Seym, wakati inaendelea na uvamizi wake katika eneo la Kursk nchini Urusi.

Maafisa wa Urusi wamenukuliwa wakisema operesheni hiyo karibu na mji wa Glushkovo imekata sehemu ya wilaya ya eneo hilo. Daraja hilo lilitumiwa na Kremlin kusambaza wanajeshi wake na uharibifu wake unaweza kutatiza juhudi zao kwenye vita vyake na Ukraine.

 
Ukraine imeharibu daraja muhimu kimkakati juu ya mto Seym, wakati inaendelea na uvamizi wake katika eneo la Kursk nchini Urusi.

Maafisa wa Urusi wamenukuliwa wakisema operesheni hiyo karibu na mji wa Glushkovo imekata sehemu ya wilaya ya eneo hilo. Daraja hilo lilitumiwa na Kremlin kusambaza wanajeshi wake na uharibifu wake unaweza kutatiza juhudi zao kwenye vita vyake na Ukraine.

Kipigo kinaendelea Wanamgambo wa Ukraine wanaonja joto ya jiwe
Massacre of Ukrainian occupants in Russia continues
 

Attachments

  • IMG_20240818_221052.jpg
    IMG_20240818_221052.jpg
    282.9 KB · Views: 4
  • IMG_20240818_221124.jpg
    IMG_20240818_221124.jpg
    221.7 KB · Views: 4
  • IMG_20240818_221157.jpg
    IMG_20240818_221157.jpg
    268.3 KB · Views: 4
Kwa wasiojua au kwa makusudi mnapotosha ukweli. Ukraine inahali mbaya sana na moto anaopelekewa ni mkubwa sana. Taarifa rasmi zinaweza kati ya askari 10,000 walioingia 3400 kallas. Vifaru na magari 240 vimelipuliwa na vingi ni western.
Lakini pia vijiji vya Ukraine vinazidi kuchukuliwa upande wa Ukraine.

Kwa upande wa Russia out of 28, settlements zimebakia 12 Bado zipo chini ya Ukraine.

Urusi anashindwa kuitumia full force maana Kuna raia Bado wameshikiliwa maeneo yanayokaliwa na Ukraine.

Sasa subiria wawe cleared ndio utaona atakachofanywa ndio maana nchi nyingi zinalaani yaliyotokea
 
Kwa wasiokula au kwa makusudi mnapotosha ukweli. Ukraine inahali mbaya sana na moto anaopelekewa ni mkubwa sana. Taarifa rasmi zinaweza kati ya askari 10,000 walioingia 3400 kallas. Vifaru na magari 240 vimelipuliwa na vingi ni western.
Lakini pia vijiji vya Ukraine vinazidi kuchukuliwa upande wa Ukraine.

Kwa upande wa Russia out of 28, settlements zimebakia 12 Bado zipo chini ya Ukraine.

Urusi anashindwa kuitumia full force maana Kuna raia Bado wameshikiliwa maeneo yanayokaliwa na Ukraine.

Sasa subiria wawe cleared ndio utaona atakachofanywa ndio maana nchi nyingi zinalaani yaliyotokea
Hizi ni story za redio mbao antennae juu ya minazi
 
Back
Top Bottom