Msafara wa kijeshi ulienda kufanya nini Kyiv?Mission hakikuwa kumtoa madarakani wala kumwua. JAPO UWEZEKANO HUO ULIKUWEPO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msafara wa kijeshi ulienda kufanya nini Kyiv?Mission hakikuwa kumtoa madarakani wala kumwua. JAPO UWEZEKANO HUO ULIKUWEPO
Unadhani guided missiles zilishindwa jutua ikulu au mahali alipo zele?Msafara wa kijeshi ulienda kufanya nini Kyiv?
Inashangaza kwa iyo wameacha kugomboa nchi yao wameamua wakavamie nchi inayowabonda😁😁😁😁😁Nimemsikia Rais wa Beralus akiliongelea hili na kusema Ukraine ina zaidi ya Wanajeshi 120,000 waliopo karibu na boarder...
Ni kweli, Yani urusi apigwe na Ukraine ni suala lisilowezekana. Cha muhimu ni kuomba vita ifike mwisho maana watu wanapoteza maisha na hizi propaganda kuwa urusi inapigwa hazisaidii chochoteKwa wasiojua au kwa makusudi mnapotosha ukweli. Ukraine inahali mbaya sana na moto anaopelekewa ni mkubwa sana. Taarifa rasmi zinaweza kati ya askari 10,000 walioingia 3400 kallas. Vifaru na magari 240 vimelipuliwa na vingi ni western.
Lakini pia vijiji vya Ukraine vinazidi kuchukuliwa upande wa Ukraine.
Kwa upande wa Russia out of 28, settlements zimebakia 12 Bado zipo chini ya Ukraine.
Urusi anashindwa kuitumia full force maana Kuna raia Bado wameshikiliwa maeneo yanayokaliwa na Ukraine.
Sasa subiria wawe cleared ndio utaona atakachofanywa ndio maana nchi nyingi zinalaani yaliyotokea
Ndio maana ya vita hiyo mkuu huyu Muizrael Zelensky ni mtata sana..Inashangaza kwa iyo wameacha kugomboa nchi yao wameamua wakavamie nchi inayowabonda😁😁😁😁😁
Point of correction: 22/02/2022.Kwani Russia ilipovamiaUkraine 24 Feb. 2022 ilingiza wanajeshi wangapi kwenye ile SMO?
Hizo "guided missiles" hivyo hivyo zinaweza zikaelekezwa pia kwa dikteta Putin.Unadhani guided missiles zilishindwa jutua ikulu au mahali alipo zele?
Kwa jibu lako ni kuwa walienda kuhakikisha kuwa UKRAINE HAIJIUNGI NATO
Asante mkuu. Nimezingatia.Point of correction: 22/02/2022.
Please be informed accordingly.
Sina uhakika..............Hivi Ndege za kivita F-16 zipo mzigoni tayari?
Target ni majeshi au walipo viongozi?Unadhani guided missiles zilishindwa jutua ikulu au mahali alipo zele?
Kwa jibu lako ni kuwa walienda kuhakikisha kuwa UKRAINE HAIJIUNGI NATO
Very good analysisKwa wasiojua au kwa makusudi mnapotosha ukweli. Ukraine inahali mbaya sana na moto anaopelekewa ni mkubwa sana. Taarifa rasmi zinaweza kati ya askari 10,000 walioingia 3400 kallas. Vifaru na magari 240 vimelipuliwa na vingi ni western.
Lakini pia vijiji vya Ukraine vinazidi kuchukuliwa upande wa Ukraine.
Kwa upande wa Russia out of 28, settlements zimebakia 12 Bado zipo chini ya Ukraine.
Urusi anashindwa kuitumia full force maana Kuna raia Bado wameshikiliwa maeneo yanayokaliwa na Ukraine.
Sasa subiria wawe cleared ndio utaona atakachofanywa ndio maana nchi nyingi zinalaani yaliyotokea
Alimleeje tenaAlimlea lea. Sasa acha amnyee kiganjani
Zikiingia kwa Putin haitakuwa poa. Kamshindwa Ukraine kwa miaka 2.5 akiwa bila mashambulizi ya anga ya uhakika 🤔Sina uhakika..............
Kwahiyo alivyosema ajisalimishe misheni ilikua niniMission hakikuwa kumtoa madarakani wala kumwua. JAPO UWEZEKANO HUO ULIKUWEPO
Kwanini ye urusi kaacha kuteka nchi kama lengo lilivyokua mpaka nchi yake nae inatekwaInashangaza kwa iyo wameacha kugomboa nchi yao wameamua wakavamie nchi inayowabonda😁😁😁😁😁