Tena Sasa hivi SM imemgeukia kutoka kuvamia mpaka kuvamiwa aibuPutin ana hali ngumu. Kinachomfanya kujikakamua na vita ni kiburi tu cha udikteta ila kachoka mbaya 🤔
Hapo ndipo atafeli vibaya, ajifunze kwa waarabu.Putin anamtegemea Allah
Aisee?! Putin anaenda kudhalilishwa na huyu aliyemdharau awali.Nimemsikia Rais wa Beralus akiliongelea hili na kusema Ukraine ina zaidi ya Wanajeshi 120,000 waliopo karibu na boarder...
Alimlea lea. Sasa acha amnyee kiganjaniAisee?! Putin anaenda kudhalilishwa na huyu aliyemdharau awali.
Kipigo kinaendelea Wanamgambo wa Ukraine wanaonja joto ya jiweUkraine imeharibu daraja muhimu kimkakati juu ya mto Seym, wakati inaendelea na uvamizi wake katika eneo la Kursk nchini Urusi.
Maafisa wa Urusi wamenukuliwa wakisema operesheni hiyo karibu na mji wa Glushkovo imekata sehemu ya wilaya ya eneo hilo. Daraja hilo lilitumiwa na Kremlin kusambaza wanajeshi wake na uharibifu wake unaweza kutatiza juhudi zao kwenye vita vyake na Ukraine.
Ukraine incursion destroys key Russian bridge in Kursk region
Ukraine destroys a bridge over the river Seym as it continues its incursion into Russia's Kursk region.www.bbc.com
Hayo hayakuanza kuongelewa leo na mwamba anatuliza watuAisee?! Putin anaenda kudhalilishwa na huyu aliyemdharau awali.
Hizi ni story za redio mbao antennae juu ya minaziKwa wasiokula au kwa makusudi mnapotosha ukweli. Ukraine inahali mbaya sana na moto anaopelekewa ni mkubwa sana. Taarifa rasmi zinaweza kati ya askari 10,000 walioingia 3400 kallas. Vifaru na magari 240 vimelipuliwa na vingi ni western.
Lakini pia vijiji vya Ukraine vinazidi kuchukuliwa upande wa Ukraine.
Kwa upande wa Russia out of 28, settlements zimebakia 12 Bado zipo chini ya Ukraine.
Urusi anashindwa kuitumia full force maana Kuna raia Bado wameshikiliwa maeneo yanayokaliwa na Ukraine.
Sasa subiria wawe cleared ndio utaona atakachofanywa ndio maana nchi nyingi zinalaani yaliyotokea
Hawa watakuwa wamekodiwa na NATO. Hakika safari hii Russia ataingia meza ya mazungumzoNimemsikia Rais wa Beralus akiliongelea hili na kusema Ukraine ina zaidi ya Wanajeshi 120,000 waliopo karibu na boarder...
Kwani Russia ilipovamiaUkraine 24 Feb. 2022 ilingiza wanajeshi wangapi kwenye ile SMO?Hawa watakuwa wamekodiwa na NATO. Hakika safari hii Russia ataingia meza ya mazungumzo
Hivi Ndege za kivita F-16 zipo mzigoni tayari?Aisee?! Putin anaenda kudhalilishwa na huyu aliyemdharau awali.
Unaweza twambia alimlea vipi?Alimlea lea. Sasa acha amnyee kiganjani
Mission hakikuwa kumtoa madarakani wala kumwua. JAPO UWEZEKANO HUO ULIKUWEPOUnaweza twambia alimlea vipi?