3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Juzi misri imekataa shehena ya ngano kutoka urusiSasa si amewekewa vikwazo.? Anauzaje hizo Nafaka.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi misri imekataa shehena ya ngano kutoka urusiSasa si amewekewa vikwazo.? Anauzaje hizo Nafaka.?
Kwani russia today wanasemajeEti chanzo.....BBC 😇😁😁
Anaiba Vitani, tena Nafaka, inawezekana ameanza kupungikiwa chakulaHapo Russia anachukua siyo kuiba,Nkishakutandika nakusachi kama una chochote nachukua na Viatu nakuvua.Russia kachukua.
Utuletee ushahidiMbona Marekani ana iba mafuta nchini Syria mchana kweupe bila hata aibu?
Zilikuwa za magendo hizoJuzi misri imekataa shehena ya ngano kutoka urusi
Wanaiba Nafaka vitaniWanachukua au wanaiba
Nisawa tu kuchukua nafaka nikama wanavyo chukua mateka wa vita
Punguza chukiKuna watu hii vita ikija kuisha mtakua mmekonda mmebaki mifupa na wewe umo mkuu, utateseka sana ila mi ninachojua ni kwamba
UKRAINE INASUKUMIWA MOTO TU.
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Putin katika vita hii, hivi sasa Urusi inaiba nafaka za Ukraine na kuziuza.
Hii siyo picha nzuri kwa nchi inayojinasibu inakila kitu na inajitosheleza kuiba nafaka za nchi ndogo kama Ukraine ukilinganisha na uwezo wake. Tena inaiba Vitani.
_______________________________________
Ukraine inasema kwamba 'wezi wa Urusi' wanaiba nafaka yao na kuiuza ughaibuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba, anadai kwamba "wezi wa Urusi" wanaiba nafaka ya Ukraine ili kuziuza nje ya nchi, akisema nafaka inapakiwa kwenye meli, ambazo zitapitia Bosphorus – mkondo mwembamba ambao unagawanya pande za Ulaya na bara Asia – ili kuuzwa nje ..
"Ninatoa wito kwa majimbo yote kuwa macho na kukataa mapendekezo yoyote kama hayo. Msinunue vilivyoibiwa. Msiwe washiriki wa uhalifu wa Urusi," Kuleba alisema kwenye Twitter.
BBC haijathibitisha madai hayo. Urusi mnamo Jumanne ilipuuza picha za "bandia" zinazoonyesha meli zikiwa zimejaa nafaka huko Crimea.
Wakati huohuo Rais wa Tume ya Umoja wa Ulaya, Ursula von der Leyen, aliishutumu Urusi kwa kutumia chakula kama silaha katika vita vya Ukraine, akiongeza kuwa ilikuwa ikitwaa nafaka na kuzijaza katika meli kwenye maeneo inayoyadhibiti.
Alisema madhara tayari yanaonekana katika kuongezeka kwa bei ya chakula, mbolea na nishati duniani - na kusababisha mateso zaidi kwa wale wanaohitaji zaidi.
Chanzo BBC.
View attachment 2237156
Anachukua siyo anaibaAnaiba Vitani, tena Nafaka, inawezekana ameanza kupungikiwa chakula
Safii kuiba [emoji2960][emoji2960]Safiii[emoji4][emoji4][emoji4]
Ha ha ha ....nmecheka kwa sauti[emoji4]Halaf pia vita ni vita wajomba wakati unapigana na opponent wako anaweza kupasua sahani yako, kuchana shati yako, kupiga mateke paka wako, ilimradi yupo kwenye mapigano
Hiyu Ukraine haishiwi milio, mara nimepigwa ngumi ya jicho, mara jamaa kaning'ata, mara wanakuja watatu.....
Tulia baba hoyo ndio vita na usituambie sisi mana sisi ni watazamaji tu bwashee