Ukraine yaishutumu Urusi kwa wizi wa nafaka

Hapo Russia anachukua siyo kuiba,Nkishakutandika nakusachi kama una chochote nachukua na Viatu nakuvua.Russia kachukua.
 
Hapo Russia anachukua siyo kuiba,Nkishakutandika nakusachi kama una chochote nachukua na Viatu nakuvua.Russia kachukua.
Anaiba Vitani, tena Nafaka, inawezekana ameanza kupungikiwa chakula
 

Hivi Urusi ndo tuseme inaiba leo? Wakati mali za Urusi na raia wa Urusi zimeibiwa na mataifa ya Magharibi na Marekani kwa mabilioni mbona hatukusikia wakiitwa wezi?

Ujinga sipendi.
 
Wale tu wanaowaza kwa kutumia wowowo zao ndio wataamini hii propaganda
 
Halaf pia vita ni vita wajomba wakati unapigana na opponent wako anaweza kupasua sahani yako, kuchana shati yako, kupiga mateke paka wako, ilimradi yupo kwenye mapigano

Hiyu Ukraine haishiwi milio, mara nimepigwa ngumi ya jicho, mara jamaa kaning'ata, mara wanakuja watatu.....

Tulia baba hoyo ndio vita na usituambie sisi mana sisi ni watazamaji tu bwashee
 
Ha ha ha ....nmecheka kwa sauti[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…