Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Hii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Russia anafadhili makundi mengi ya kigaidi esp. kuwauzia silaha au hata kuwapa kama msaada. Ref.kundi la Houthis huko YemenNorth Korea na Russia wamewahi kuharibu amani wapi? Hivi unajua anacho kifanya France kwa nchi za Kiafrica alizozitawala? Is Russia ndio kazisaidia.
Putin anawalea hawa wajinga badala ya kuwatupia atomicHaya tena ...........uduuuuuuuduuu ............bado put in tu..............yaaani hapo ndio utajua kuwa Ukraine 🇺🇦 ni balaa sana...............slava Ukraine ..........piga woteeee hao mpaka wakimbie
Exactly. Mtu mkubwa kama huyo haikuwa vyema kuuawa kizembe hivyo. Inaonesha ni udhaifu mkubwa sana kwa nchi inayojigamba ni Super power.Kama unapigana na mtoto akakupa ya chembe hata ukirudisha watu watazingatia zaidi ulivyopigwa sio uliorudisha.
Kwa level ya Russia alitakiwa asiuliwe General wake tena akiwa moscow.
Nalijua hilo lakini nina wasiwasi hujafatilia mambo kwa undani wake. USA kaionea sana Russia, kaionea sana dunia. Russia kufanya hicho unacho kisema kuna sababu, go and dig out utajuaRussia anafadhili makundi mengi ya kigaidi esp. kuwauzia silaha au hata kuwapa kama msaada. Ref.kundi la Houthis huko Yemen
Thuubutuuu! Akijaribu kufanya hivyo atakuwa ameruka mkojo kwenda kukanyaga mavi. Hakuna rangi ataacha kuona.Putin anawalea hawa wajinga badala ya kuwatupia atomic
Hii ndiyo itakayo leta ahueni ya mbano wanayo pewa Ukraine sasa hivi kwenye uwanja wa vita?Haya tena ...........uduuuuuuuduuu ............bado put in tu..............yaaani hapo ndio utajua kuwa Ukraine 🇺🇦 ni balaa sana...............slava Ukraine ..........piga woteeee hao mpaka wakimbie
Marekani haipigani vita hiyo bali inaisadia Ukraine silaha na misaada ya kibinadamu ili wajilinde wenyewe kwa kutii Budapest memorandum iliyosainiwa na nchi nne: Urusi, Marekani, Uingereza na Ukraine ili kusudi Ukraine iachie silaha zake za Nyuklia zote ziende Urusi, halafu Marekani, Uingereza na Urusi watawahikikisha usalama wao Lakini sasa Urusi ambayo ndiyo iliyopkea silaha zile imeacha kutii Memoranduma hiyo. Ndiyo maana Urusi siyo nchi ya kuingia nao makubaliano ukadhani wako serious; angalia walivyomtelekeza Assad.Marekani wakiwa nyuma yako hakuna vita utashindwa
Ngoja tuone.Hii ndiyo itakayo leta ahueni ya mbano wanayo pewa Ukraine sasa hivi kwenye uwanja wa vita?
Mbona ni kama wana jizidishia maumivu zaidi?
Hivi viongozi wa Ukraine wakianza kuwindwa mmoja baada ya mwingine, kweli hapo atabaki hata mmoja wao?
Wewe propaganda zime kupanda hadi utosini kabisa!Hii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Kuna nukuu moja nimeiona toka kwa mwamba mmoja wa ikulu ya Ukrain. Anasema kwamba watakaa kwenye meza ya mazungumzo mpaka kwanza adui yao awe amedhoofu na hana tena resources za kupigana vita.Hii imekaaje. Wakuu.
Mbona jamaa wanajipigia wanapotaka na wanayemtaka huku majibu yakiwa ni ya kawaida tu.
Huu ndio wakati wa US kudhoofisha Russia chapchap ili vita ikiisha na russia itakuwa down.
Kama naino hapo we ni pro west dunia Haitaji tena unyonge wa unipolarHii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Kama ingelikiwa Iran Hulu uzi unfejaa sifa Za MossadiExactly. Mtu mkubwa kama huyo haikuwa vyema kuuawa kizembe hivyo. Inaonesha ni udhaifu mkubwa sana kwa nchi inayojigamba ni Super power.
Mashirika ya kijasasusi ya nchi wanachama wa NATO (USA, UK, GERMANY na wengine) yapo kule kumsaidia Ukraine. Na mashirika hayo yapo vizuri sana, sio ya kimchezo.Hii imekaaje. Wakuu.
Mbona jamaa wanajipigia wanapotaka na wanayemtaka huku majibu yakiwa ni ya kawaida tu.
Huu ndio wakati wa US kudhoofisha Russia chapchap ili vita ikiisha na russia itakuwa down.
Kwani tatizo lao ni lipi?,hadi wadhibotowe,hawa wameamka hawataki kuonewa!!,wanachofanya wako right mkuuHii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Wabongo huwaambii kitu kuhusu USA . Ilimradi tu ni Rafiki wa Israeli ndo kabisa. Lakini shid ya dunia ni USA kuendeleza sera zake hapa dunianiSiamini kama kweli kuna watu wanaipigia upatu marekani kukaa nyuma ya Ukraine,bila kujua shetani wa kwanza dunia hii ni mmarekani
Hivi mnakua hamna akili hata kidogo ama shida inakua ni kiherehere kama wadada wa sinza
Aisee!!Hii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Wanofanikisha huo ugaidi si Ukraine.Hii imekaaje. Wakuu.
Mbona jamaa wanajipigia wanapotaka na wanayemtaka huku majibu yakiwa ni ya kawaida tu.
Huu ndio wakati wa US kudhoofisha Russia chapchap ili vita ikiisha na russia itakuwa down.