Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Slava Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaa eti OreshnikMajibu yake msianze kulia, Oreshnik itatua Kyiv very soon.
umesahau kumtaja hayawani mkuu yaani americaHii Dunia Ina hayawani watatu, Russia, Iran na North Korea.
Hawa wakidhibitiwa Dunia itakaa salama.
Oyaa mgomba huooooo ..........mgomba umela mgomba umela mgomba umelala x2
Ukisimuliwa nawe unakuja simulia huku?unaifahamu Oreshnik? How does it work?Majibu yake msianze kulia, Oreshnik itatua Kyiv very soon.
USA hawezi ioneq Russia. Russia ni Taifa kubwa sana. Lenye nguvu.Nalijua hilo lakini nina wasiwasi hujafatilia mambo kwa undani wake. USA kaionea sana Russia, kaionea sana dunia. Russia kufanya hicho unacho kisema kuna sababu, go and dig out utajua
Huu ni udhaifu WA kiusalama, General muhimu anauwawa kindezi hivyo!Haya tena ...........uduuuuuuuduuu ............bado put in tu..............yaaani hapo ndio utajua kuwa Ukraine 🇺🇦 ni balaa sana...............slava Ukraine ..........piga woteeee hao mpaka wakimbie
Sheikh wangu USA imeleta amani sana Duniani. Sisi wenyewe huwa tunakimbilia huko mambo yakitindinganya kuna uafadhali kuliko Irani au Afghastan. Wacha tu iendelee kusaidia upatikane utulivu. Akina Ghadaf waliichafua sana Afrika.Siamini kama kweli kuna watu wanaipigia upatu marekani kukaa nyuma ya Ukraine,bila kujua shetani wa kwanza dunia hii ni mmarekani
Hivi mnakua hamna akili hata kidogo ama shida inakua ni kiherehere kama wadada wa sinza
Sio kindezi tu...........hapo utatambua pia Ukraine ni jidubwana kubwa sana .............na kamwe hawakubali uchokozi usiovumilika kutoka kwa urusi wa kuua kilazima watoto,wanawake,wazee na vijana wa kiukrein bila hatia yeyote........hapo ni lazima putin atajipanga kidogo na kushtuka hata kwa kiasi kuwa sio kira mwenye chogo basi ana akili nyingi wengine ni ulemavu tuHuu ni udhaifu WA kiusalama, General muhimu anauwawa kindezi hivyo!
Hi nayo ni topic nyingine inayo hitaji uzi wake maalumu. Labda just a tip. Nani aliye ivuruga USSR hadi vi nchi kama Ukraine vikajitenga?USA hawezi ioneq Russia. Russia ni Taifa kubwa sana. Lenye nguvu.
Sawa, naona wewe ndio mtaalam uliyekuwa ukisaidiana na Igor Kirillov, nipe elimu Mkuu.Ukisimuliwa nawe unakuja simulia huku?unaifahamu Oreshnik? How does it work?
You are the one who heard about it and came here to mentionSawa, naona wewe ndio mtaalam uliyekuwa ukisaidiana na Igor Kirillov, nipe elimu Mkuu.
How does it work?
Hakuna unachokijua kuihusu usa acha nitunze energy yanguSheikh wangu USA imeleta amani sana Duniani. Sisi wenyewe huwa tunakimbilia huko mambo yakitindinganya kuna uafadhali kuliko Irani au Afghastan. Wacha tu iendelee kusaidia upatikane utulivu. Akina Ghadaf waliichafua sana Afrika.
usa tena nikaandike kwa small laters,anahisi yeye ndiye mwenye haki na kila kitu katika hii dunia,Wabongo huwaambii kitu kuhusu USA . Ilimradi tu ni Rafiki wa Israeli ndo kabisa. Lakini shid ya dunia ni USA kuendeleza sera zake hapa duniani
Sheikh wangu unafuata sana stories za vijiweni. Mi naishi Calfonia mwa sasa.karibu sanaHakuna unachokijua kuihusu usa acha nitunze energy yangu