Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
- Thread starter
-
- #21
Pro-NATO mnapenda mteremko🤣🤣😂😂😂Weka link ya habar yako tukasome wenyewe
Hakika haujui maana ya neno mnafiki.Kwa nini unakuwa mnafiki? Russia wamefuata nini kwenye nchi ya watu.
Wameenda kupambana na MANAZI yenye misimamo yakufurutu adaKwa nini unakuwa mnafiki? Russia wamefuata nini kwenye nchi ya watu.
Wamesahau kuwa wamewahi kuupiga msafara wa km 60 wanurusi kwa Javeli?Pro-NATO mnapenda mteremko🤣🤣😂😂😂
'Vacuum' Bombs in Ukraine: Russia’s TOS-1A Thermobaric Artillery Is Simply Cruel
The TOS-1A has been used by Russian and Syrian forces in counterinsurgency operations in 2016 and in the Nagorno-Karabakh conflict.www.19fortyfive.com
This idiot Zelensky alidhani vita ni comedy kama alivyokua anaigiza. He is intellectually malnourished. Au alijua watarushiana toys. He had to much expectations in NATO and US. He doesnt know to read through the linesUkraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk.
Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.
Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.
Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.
Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi
=====
View attachment 2241793View attachment 2241794View attachment 2241795View attachment 2241796
HAWA US TAARIFA ZAO ZINAGONGANA. HIYO INTELIGENSIA YAO, HATA YA MAGOGONI IKO VIZURI.Juzi walisema Russia anatumia silaha dhaifu, jana wakasema Russia anatumia silaha za zamani yaani vifaru vya miaka hamsini iliyopita.
Leo tena wanasema anatumia silaha kali mno...sasa tuwaeleweje hawa watu.
Malekani alifataga nini Iraq ?Kwa nini unakuwa mnafiki? Russia wamefuata nini kwenye nchi ya watu.
Mbona yeye anayengeneza silaha za sumu,anataka akampige nazo nani.Na mie ndo nashangaa Mkuu🤣🤣😂😂
Da aisee kweli kabisa kilasiku wanabadilisha hoja.Juzi walisema Russia anatumia silaha dhaifu, jana wakasema Russia anatumia silaha za zamani yaani vifaru vya miaka hamsini iliyopita.
Leo tena wanasema anatumia silaha kali mno...sasa tuwaeleweje hawa watu.
Babu Safari hii west wamekutana na mwisho.Hawa watu hawaeleki. Russia akitumia silaha nyepesi vyombo vyao vya habari wanakesha kwa maneno machafu dhidi ya Russia. Akitumia silaha nzito,wanalalamika.
Watulie tuu. Hiyo ndio vita
BBC news jamaa kwa propaganda,utacheka tuJuzi walisema Russia anatumia silaha dhaifu, jana wakasema Russia anatumia silaha za zamani yaani vifaru vya miaka hamsini iliyopita.
Leo tena wanasema anatumia silaha kali mno...sasa tuwaeleweje hawa watu.
Putin anaenda kuirudisha Dunia kwenye mstari.PUTIN endeleza mwendo huo huo maana ukileta utu wanasema dhaifu wwe,mara OP imechukua muda mwingi mpaka kuisha,mara umeishiwa silaha,ssa sijui aya madude umetoa wapi,we chapa tu ao mbwa mpaka waombe poo.
USA walifuataKwa nini unakuwa mnafiki? Russia wamefuata nini kwenye nchi ya watu.
Habari nzuri Sana hii,NATO si wanasemaga akishambuliwa member wao mmoja wanaingilia wote?Nataka nione watamfanya Nini Belarus.The Polish army has begun deploying its troops along the Ukrainian border to occupy western Ukraine. Belarus's president has said that if #Poland launches a military operation in #Ukraine, #Belarus will launch an offensive in the western part of the country.
#UkraineRussiaWar https://t.co/rVNl4tjzsnView attachment 2242332
Yeye ndio mnafiki,USA alifata Nini Vietnam, Afghanistan,Libya,somalia,Iraq,Panama,?Wewe sio mzima.