Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

The Polish army has begun deploying its troops along the Ukrainian border to occupy western Ukraine. Belarus's president has said that if #Poland launches a military operation in #Ukraine, #Belarus will launch an offensive in the western part of the country.
#UkraineRussiaWar https://t.co/rVNl4tjzsn
20220528_141056.jpg
 
Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk.

Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.

Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.

Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.

Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi

=====





View attachment 2241793View attachment 2241794View attachment 2241795View attachment 2241796

This idiot Zelensky alidhani vita ni comedy kama alivyokua anaigiza. He is intellectually malnourished. Au alijua watarushiana toys. He had to much expectations in NATO and US. He doesnt know to read through the lines
 
Juzi walisema Russia anatumia silaha dhaifu, jana wakasema Russia anatumia silaha za zamani yaani vifaru vya miaka hamsini iliyopita.

Leo tena wanasema anatumia silaha kali mno...sasa tuwaeleweje hawa watu.
HAWA US TAARIFA ZAO ZINAGONGANA. HIYO INTELIGENSIA YAO, HATA YA MAGOGONI IKO VIZURI.
Walituambia tena uchumi wa Russia uko chali, wakaja na jingine Russia inajiandaa na vita ya muda mrefu, wakaja na lingine Russia inampango wa kuivamia Finland na Sweden. Hivi jamani nchi iliyofirisika inaweza ikapanga yote haya au ndio kusema tumelishwa ndumba hata uwezo wa kungàmua hatuna?
 
Hawa watu hawaeleki. Russia akitumia silaha nyepesi vyombo vyao vya habari wanakesha kwa maneno machafu dhidi ya Russia. Akitumia silaha nzito,wanalalamika.
Watulie tuu. Hiyo ndio vita
Babu Safari hii west wamekutana na mwisho.

Wataongea Kila neno.
Wataona Kila rangi.

Walizoea kuonea vijidagaa.

Hatimae wamekuta kibao kimeandikwa "end of the road".
 
Leo Donbosk Russia wamesimamisha mapigano na kutangaza kwamba wanajeshi wa Ukraine nao wasimamishe mapigano.
 
The Polish army has begun deploying its troops along the Ukrainian border to occupy western Ukraine. Belarus's president has said that if #Poland launches a military operation in #Ukraine, #Belarus will launch an offensive in the western part of the country.
#UkraineRussiaWar https://t.co/rVNl4tjzsnView attachment 2242332
Habari nzuri Sana hii,NATO si wanasemaga akishambuliwa member wao mmoja wanaingilia wote?Nataka nione watamfanya Nini Belarus.
 
Back
Top Bottom