Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

Severodonestic wamejenga mahandaki toka 2014 bunkers sasa ukienda kisenge utapoteza askari wengi kisha wakina shafii Dauda wa vita watacheka sana sasa bora walie vita ilipo haihitaji utu. Piga tu

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Kabisa apige awaue kwawingi wakome UMBWA wakubwa wakubwa kabisaaa[emoji35][emoji35][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zelensky kawaingiza waUkraine cha kike. Akubali kushindwa na aondoke madarakani maisha ya wananchi wa Ukraine yaendelee. Kukubali kupambana na russia kupitia vimisaada vya silaha toka Western ni kutaka kuifanya ukraine iharibike zaidi.
kwahiyo Putin ndo anawapangia wa Ukraine ? yaan wa ukraine wamtoe kibaraka wa Putin hlf Putin nae anataka kumtoa rais wa wa ukraine
 
Russia ana silaha nyingi sana za kivita. Hii kitu ndio inamuumiza sana Marekani na NATO
duh , Putin ni kichaa , jiulize nguv anayotumia analenga Donbas na Mauripol tu hlf baadae mje muwalaumu NATO km Iraq alivyokuwa anamtesa Iran au Ghadaf alipokuwa anadhamini ugaidi huko Afrika magharibi
 
Ifike kipindi jeshi la Tz liingilie kati hii vita
 
Tulieni ni silaha nyepesi tu 🤣🤣🤣
Yule comedy ukimchunguza kwa makini anauza wananchi wake juzi tu hapa alitoka huko shimoni mishipa ya shingo imemtoka akidai urusi wanatumia silaha dhaifu sana,wote tukatahamaki hapa ze comedy anataka nini huyu kumbe kama alikua anachumbia wapelekewe moto mzito haya anko putin kasikia kilio chake kampelekea moto wa kiume pia hataki anataka zile dhaifu,mzima kweli huyu zelenksy.
 
Juzi walisema Russia anatumia silaha dhaifu, jana wakasema Russia anatumia silaha za zamani yaani vifaru vya miaka hamsini iliyopita.

Leo tena wanasema anatumia silaha kali mno...sasa tuwaeleweje hawa watu.
Kibera MK254 ukuje kufafanua sisi ....mkong'oto juzz band ..atuelewi mnataka nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…