Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu jaribu kujifundisha namna ya kuandika. Unatakiwa kujifundisha matumizi ya , . ; na paragraph.Kumbe uelewa wa wabongo n mdogo Sana nmemaini.Ukurein kaomba kujiunga kwa ya ombi la zalula na Hilo ombi lipo kwenye sheria ya NATO Kwa hiyo mjue atapewa uanachama sio hadi miaka 10 .Ni kama hati ya zalula kwenye sheria za NATO .Kama mnabisha hata wiki haitapita bila kupewa uanachama,haya mambo hawajakulupuka ni mpango ulipangwa zaidi ya miaka 10 iliyopita Sasa hivi wanatekeleza tu.Kuhusu Ukraine kuvamiwa na NATO kutoingilia mapema hiyo ilikua ni Sababu ili mambo yaweze kutokea.Hakuna jambo la bahati mbaya chini ya jua.Pia Kumbukeni Urusi Sasa hivi anapigana na NATO na mwisho wa siku Urusi atasalenda.
kaamua kumchagua myahudi mwenzake huyo,Picha lishaisha hili. View attachment 2134257 ukraine wamemchagua huyo mwamba sababu jamaa zinaiva na Putin.
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Kumbe uelewa wa wabongo n mdogo Sana nmemaini.Ukurein kaomba kujiunga kwa ya ombi la zalula na Hilo ombi lipo kwenye sheria ya NATO Kwa hiyo mjue atapewa uanachama sio hadi miaka 10 .Ni kama hati ya zalula kwenye sheria za NATO .Kama mnabisha hata wiki haitapita bila kupewa uanachama,haya mambo hawajakulupuka ni mpango ulipangwa zaidi ya miaka 10 iliyopita Sasa hivi wanatekeleza tu.Kuhusu Ukraine kuvamiwa na NATO kutoingilia mapema hiyo ilikua ni Sababu ili mambo yaweze kutokea.Hakuna jambo la bahati mbaya chini ya jua.Pia Kumbukeni Urusi Sasa hivi anapigana na NATO na mwisho wa siku Urusi atasalenda.
Nae sasa haeleweki anataka nini. Nitaanza kuamini sasa Putin alivyomwambia kuwa anavuta ganda. Wewe wananchi wako wanateseka na kuvamiwa unaanza vipi kuwaza ukubaliwe kuingia EU?Au anafikiri sympathy itawafanya EU wakubali haraka iwezekanavyo?
watu wana chukulia kirahisi kuwa Putin ataachia hii vita njiani! kumbe ndio vita yenyewe ina anza kwa plan BLukashenka lazima amuabudu Putin. Maana kamsaidia kubaki madarakani hata baada ya kushindwa uchaguzi.
kwani yeye kaomba kujiunga na nini? wewe... bado kidogo tu ungeandika kaomba kujiunga na CCM!Kumbe uelewa wa wabongo n mdogo Sana nmemaini.Ukurein kaomba kujiunga kwa ya ombi la zalula na Hilo ombi lipo kwenye sheria ya NATO Kwa hiyo mjue atapewa uanachama sio hadi miaka 10 .Ni kama hati ya zalula kwenye sheria za NATO .Kama mnabisha hata wiki haitapita bila kupewa uanachama,haya mambo hawajakulupuka ni mpango ulipangwa zaidi ya miaka 10 iliyopita Sasa hivi wanatekeleza tu.Kuhusu Ukraine kuvamiwa na NATO kutoingilia mapema hiyo ilikua ni Sababu ili mambo yaweze kutokea.Hakuna jambo la bahati mbaya chini ya jua.Pia Kumbukeni Urusi Sasa hivi anapigana na NATO na mwisho wa siku Urusi atasalenda.
Hebu jaribu kujifundisha namna ya kuandika. Unatakiwa kujifundisha matumizi ya , . ; na paragraph.
Unaandika kama bata anatembea. Huenda wewe ni shabiki wa yanga kama mzee mpili.
View attachment 2134473
Acha upumbavu nyau wewe, unajiona una akili kumbe jinga tuHebu jaribu kujifundisha namna ya kuandika. Unatakiwa kujifundisha matumizi ya , . ; na paragraph.
Unaandika kama bata anatembea. Huenda wewe ni shabiki wa yanga kama mzee mpili.
View attachment 2134473
With a comedian as a President, it is absolutely hilarious!😄😁It is funny how Ukraine wins this war on social media while Russians capture strategic places
Umetoa angalizo muhimu sana,humu watu tunajiona tunayajua zaidi mambo kuliko Rais wa Ukraine ambae anakaa meza moja na hao wahusikavita ina mambo mengi wewe dada,
kwan unazani yeye haujui huo utaratibu,
anajua kuliko wewe
yaweza kuwa ni proganda za kumtisha zaid urusi,
au anamaanisha pia
maana
huo utaratibu wa kuchukua mda mlefu kujiunga umewekwa na hao hao na
ni hao hao wanaweza kuuvunja kwa sababu wanazozijua wao,
kumbuka turkey katuma maombi zaman,
lakin bdo hajakubaliwa
alafu kuna nchi zilituma kalibun zipo hatua moja mbele kuliko uturuk,
wanachama wote wakikubaliana wewe nan had uwapinge?
Yaani hajui hata tofauti ya NATO na EU.😂kwani yeye kaomba kujiunga na nini? wewe... bado kidogo tu ungeandika kaomba kujiunga na CCM!
Kama haujui Ukraine aliomba kujiunga EU tokea muda mrefu .Ila alikataliwa sababu ni za kijiografia na kisiasa yeye na Russia. Uturuki alishakata tamaa hasa baada ya UK kujitoa EU.vita ina mambo mengi wewe dada,
kwan unazani yeye haujui huo utaratibu,
anajua kuliko wewe
yaweza kuwa ni proganda za kumtisha zaid urusi,
au anamaanisha pia
maana
huo utaratibu wa kuchukua mda mlefu kujiunga umewekwa na hao hao na
ni hao hao wanaweza kuuvunja kwa sababu wanazozijua wao,
kumbuka turkey katuma maombi zaman,
lakin bdo hajakubaliwa
alafu kuna nchi zilituma kalibun zipo hatua moja mbele kuliko uturuk,
wanachama wote wakikubaliana wewe nan had uwapinge?
pengine naye ni mfungwa aliye kuwa gerezani hko Ukraine kaachiwaYaani hajui hata tofauti ya NATO na EU.😂
Myahudi mwenzie wa Jerusalem amesimama na Putin.kaamua kumchagua myahudi mwenzake huyo,
maana raisi wa ukraine nae ni myahudi