Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
Yaan mnamuona Putin Kama ndo untachable duniani pole, Russia aki battle na UK, hachomoiMtu Hana air defence system yaani ni sawa yupo uchi tu hata wakimletea yatabomolewa na Iskander na hypersonic zaidi anazidi kumpa hasira mzee Putin na alisema zele akipewa silaha ya kufika ktk ardhi ya Russia yeye atacheza na aliyetoa silaha hizo Sasa Nani haipendi nchi yake igeuzwe magofu