Ukraine yasema imeishiwa na wapiganaji. Hata silaha walizopokea kutoka US hakuna wa kuzitumia

Ukraine yasema imeishiwa na wapiganaji. Hata silaha walizopokea kutoka US hakuna wa kuzitumia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba.

Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa nchi hiyo amesema kuna upungufu mkubwa wa wapiganaji kiasi kwamba vifaa vipya walivyopokea havina wa kuvitumia kikamilifu.

Katika muda huu wa vita watu wanaume wote wenye umri wa miaka 18 mpaka 60 wamezuiliwa kusafiri kutoka nje ya nchi.Hata hivyo Andriy Demchenko ambaye ni afisa wa uhamiaji ameliambia shirika la habai la AFP kuwa jumla ya watu 6100 wamekamatwa wakiwa wameghushi nyaraka zao ili wapate kukimbia kutoka nchi hiyo.

Ukraine official says it can't properly use its Western kit because it has so few soldiers left, report says

1698782885271.png
 
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba.

Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa nchi hiyo amesema kuna upungufu mkubwa wa wapiganaji kiasi kwamba vifaa vipya walivyopokea havina wa kuvitumia kikamilifu.

Katika muda huu wa vita watu wanaume wote wenye umri wa miaka 18 mpaka 60 wamezuiliwa kusafiri kutoka nje ya nchi.Hata hivyo Andriy Demchenko ambaye ni afisa wa uhamiaji ameliambia shirika la habai la AFP kuwa jumla ya watu 6100 wamekamatwa wakiwa wameghushi nyaraka zao ili wapate kukimbia kutoka nchi hiyo.

Ukraine official says it can't properly use its Western kit because it has so few soldiers left, report says

View attachment 2799523
Wajisalimishe haraka
 
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba.

Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa nchi hiyo amesema kuna upungufu mkubwa wa wapiganaji kiasi kwamba vifaa vipya walivyopokea havina wa kuvitumia kikamilifu.

Katika muda huu wa vita watu wanaume wote wenye umri wa miaka 18 mpaka 60 wamezuiliwa kusafiri kutoka nje ya nchi.Hata hivyo Andriy Demchenko ambaye ni afisa wa uhamiaji ameliambia shirika la habai la AFP kuwa jumla ya watu 6100 wamekamatwa wakiwa wameghushi nyaraka zao ili wapate kukimbia kutoka nchi hiyo.

Ukraine official says it can't properly use its Western kit because it has so few soldiers left, report says

View attachment 2799523
Urusi akaiteke sasa Ukraine , west wajanja sana wanajifanya kama washajitoa Ukraine ili Ukraine aanze kupeleka moto ndan ya Urusi na Urusi akose wa kumtupia lawama ili kukuza mgogoro
 
Urusi akaiteke sasa Ukraine , west wajanja sana wanajifanya kama washajitoa Ukraine ili Ukraine aanze kupeleka moto ndan ya Urusi na Urusi akose wa kumtupia lawama ili kukuza mgogoro
Aisee!
Ujannja huo wa west wewe kiparumba umeujua lkn Urusi washindwe kuujua.
Aisee!Tanzania Kila mtu ni mjuaji aloo.
 
Urusi akaiteke sasa Ukraine , west wajanja sana wanajifanya kama washajitoa Ukraine ili Ukraine aanze kupeleka moto ndan ya Urusi na Urusi akose wa kumtupia lawama ili kukuza mgogoro
Kumbuka vita za Ottoman Empire. Wanakupiga wanakudhoofisha na hawakutawali.... ukileta za kuleta wanakuja kukufyekafeka kucha na wanakuacha ule ugali wako usije ukafa.

Russians are not stupid. Wanasoma zana za vita na kufanya countdown ya ammunitions za mataifa waliotuma gadgets Ukraine.
 
Hahahahahahahahahhhhh,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Soo funny
 
Zeleeee...,
Tanguj vita vianze baina ya Ukraine na Urusi kumekuwepo na lawama kutoka Ukraine kuwa kutofanikiwa kwa zoezi la kurudisha mapigo ya Urusi kikamilifu ni kutokana na kutopatiwa silaha muhimu walizokuwa wakiziomba.

Hali sasa imebadilika ambapo afisa mmoja na mshauri wa karibu wa raisi Zelensky wa nchi hiyo amesema kuna upungufu mkubwa wa wapiganaji kiasi kwamba vifaa vipya walivyopokea havina wa kuvitumia kikamilifu.

Katika muda huu wa vita watu wanaume wote wenye umri wa miaka 18 mpaka 60 wamezuiliwa kusafiri kutoka nje ya nchi.Hata hivyo Andriy Demchenko ambaye ni afisa wa uhamiaji ameliambia shirika la habai la AFP kuwa jumla ya watu 6100 wamekamatwa wakiwa wameghushi nyaraka zao ili wapate kukimbia kutoka nchi hiyo.

Ukraine official says it can't properly use its Western kit because it has so few soldiers left, report says

View attachment 2799523
Hahahaha,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
IMG_20231030_195432.jpg
 
Mda si mrefu watasema na chakula hawana
Vita inaisha wanaanza (Alif)
Maisha haya, ndio maana kuna mataifa sio kuwa wanaogopa vita hapana ni uchumi kuporomoka
 
Hiyo habari ni kwa mujibu wa taarifa iliyonukuliwa kutoka redio mbao ya Manzese Kwa Mfuga Mbwa.
 
Back
Top Bottom