Ukraine yasikitika kuwapoteza kwa mpigo wataalamu wake sita wabobezi wa vilipuzi/mabomu

Ukraine yasikitika kuwapoteza kwa mpigo wataalamu wake sita wabobezi wa vilipuzi/mabomu

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Kimbunga cha dhahama cha makombora ya Russia kilichopita Kherson kimewakumba na kuwaangamiza wataalamu sita wa jeshi la Ukraine ambao walikuwa ni magwiji na wabobezi wa kutegemewa katika fani ya vilipuzi (mabomu).

Jeshi la Ukraine linasikitika kwa kuondokewa na wabobezi hao kwani pengo lao halitazibika daima..."Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jana la Bwana lihimidiwe!"

Salamu za rambirambi ziwafikie MK254, Yoda, Nyamizi n.k.

Habari inaripotiwa na Israel, Taifa teulee!
====
SmartSelect_20230507-125410_Chrome.jpg
 
Kimbunga cha dhahama cha makombora ya Russia kilichopita Kherson kimewakumba na kuwaangamiza wataalamu sita wa jeshi la Ukraine ambao walikuwa ni magwiji na wabobezi wa kutegemewa katika fani ya vilipuzi (mabomu).

Jeshi la Ukraine linasikitika kwa kuondokewa na wabobezi hao kwani pengo lao halitazibika daima..."Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jana la Bwana lihimidiwe!"

Salamu za rambirambi ziwafikie MK254, Yoda, Nyamizi n.k.

Habari inaripotiwa na Israel, Taifa teulee!
====
View attachment 2613127

 
Kuna kitu Ukraine wanakosea Sana Ile drone ilitakiwa kuwamaliza si chini ya watu Mia ili warusi wajue madhara ya Vita waone madhira wanayopitia wenzao wanaouwawa na urusi
 
Kuna kitu Ukraine wanakosea Sana Ile drone ilitakiwa kuwamaliza si chini ya watu Mia ili warusi wajue madhara ya Vita waone madhira wanayopitia wenzao wanaouwawa na urusi
Wangelipua kabisa Moscow
 
Kuna kitu Ukraine wanakosea Sana Ile drone ilitakiwa kuwamaliza si chini ya watu Mia ili warusi wajue madhara ya Vita waone madhira wanayopitia wenzao wanaouwawa na urusi
Tuma Salam kwa Elensky
 
Back
Top Bottom