Ndo nakuuliza we unaweza..?Putin amewaambia wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe au waweke silaha zao chini warudi nyumbani kukaa na wake zao π
Kama ni mimi najisalimisha kwa Putin... NATO wanakwambia mchokoze tutakusaidia, ukishachokoza wao wanakimbia π€£π€£Ndo nakuuliza we unaweza..?
Jeshi la Russia limetangaza rasimi kwamba lime haribu ukuranian airforce base military base na vifa vingi vya kijeshi kwenye miji ya Kiev kharkiv oddese, jeshi la Ukuraini tayari lime kua crippled kupambana, na hapo jeshi la Ukurain limedai kutungua ndege moja ya kijeshi ya Urusi uko Ukurain masharikiKuna fix zinapigwa na wachambuzi humu acha kabisa [emoji23]
Ivumayo sana, haidumu.Putin amewaambia wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe au waweke silaha zao chini warudi nyumbani kukaa na wake zao π
Jamaa kasema hakuna namna mkikiwasha wote watabaki majivu[emoji732][emoji732]Vita huwa haianzi kwa uvamizi mmoja. Hitler alikuwa na jeshi kubwa mno akavamia Poland akaona mserereko, Japan ilivamia Asia nzima ikaona mserereko. Hata Russia imeanza na Ukraine, ukizidisha hapa Russia inapigwa na allies, hakuna ujanja wa superpower mmoja kupigana na superpowers
Tatizo USA anaogopa kwa sababu Tanzania ipo upande wa RussiaHakuna mji uliopigwa ila kuna wasiwasi wa Urusi ataanza na uwanja wa ndege. Ila Putun my classmate na rafiki yangu wa karibu ameniambia anasubili kuona Marekani na NATO wataingilia? Wakiingilia tu basi Ukrain patasaulika kama palikuwa na viumbe hai hapo awali. "I can cause extinct in Ukrain my friend" na Hana wasiwasi kabisa kwani anajua wanamwogopa. Yy meiita ni mind war
Maneno tuuuUnadhani masihara. Mizigo bado inadondoshwa sehemu mbalimbali ya mji wa kiev na Odesa.
Kuna jamaa anasema lengo la russia ni kuiondoa serekali ya ukraine madarakani lakini anaamini hawatafanikiwa. Sababu eti kwa sasa waUkraine wamekuwa wamoja.
Wakati huo huo Putin ameonya kuwa ukraine wasijaribu kujibu mashambulizi. Maana watakutana na kitu ambacho hawajawahi kuona tangu kuumbwa kwa huu ulimwengu.
Tz? ADF tu hatuwawezi. Ingekuwa game ni Man City na Bayern sisi Simba na Yanga sio level zetu bali tuna play part kama mchezaji wa 12 tuTatizo USA anaogopa kwa sababu Tanzania ipo upande wa Russia
Hahahaha
Yani wawe attacked halafu wasijibu mahsmbulizi?akili za wapi hizi?Unadhani masihara. Mizigo bado inadondoshwa sehemu mbalimbali ya mji wa kiev na Odesa.
Kuna jamaa anasema lengo la russia ni kuiondoa serekali ya ukraine madarakani lakini anaamini hawatafanikiwa. Sababu eti kwa sasa waUkraine wamekuwa wamoja.
Wakati huo huo Putin ameonya kuwa ukraine wasijaribu kujibu mashambulizi. Maana watakutana na kitu ambacho hawajawahi kuona tangu kuumbwa kwa huu ulimwengu.
Acha tuendelee kujadili vikwazo vikali zaid[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Sisi wamarekani wa tandale sura zetu tutazificha wapi wakati Tuli sema tumeshapeleka ma B2 na B52
Unaushibiki flani hivi wa kishamba sana sijui tatizo lako ni nini, dunia ya leo haitaji vita zaidi investments kustawisha maisha ya watu, Hitler aliharibu maisha ya watu zaidi ya warusi million 25 walikufa leo unaongea kama jinga hivi. Unafikili marekani niwajinga kuitaji kuita diplomasia ifanye kazi yake, vita ni mbaya sanaRussia sio wa mchezo ,kakiwasha wanabaki wana bwela mbwela tu ni muda wa kumuita puttin friendly au kumfuata kwenda kumsihi vinginevyo ,Russia unification imeshafika na anaenda kutimiza na kuweka alama katika taifa lake
Joseph Goebbels alikuwa Waziri wa Propaganda wa Ujerumani kipindi cha WW2 na alikuwa anajimwambafai sana hata wakipigwa uko Eastern front yeye anabadili maneno redio zote na magazeti yanaandika wako wanamshinda adui. Yani hata Field Marshalls wa Ujerumani walikuwa hawajui ukweli wa status ya vita mpaka wabahatishe kuona mtu anayetoka frontline upande mwingine. Waliokuwa wanapigania Russia wanapigwa walikuwa wanaaminishwa wanaopigana Ufaransa wanashinda, Wajerumani waliokuwa wanashindwa Ufaransa wanaaminishwa waliomo Urusi wanashinda.Jamaa kasema hakuna namna mkikiwasha wote watabaki majivu[emoji732][emoji732]
Mkuu hivi hii vita kama itatokea mbona naona ipo karibu zaidi na urusi maadui zake hawawezi kutake advantage kuishambulia Urusi?Joseph Goebbels alikuwa Waziri wa Propaganda wa Ujerumani kipindi cha WW2 na alikuwa anajimwambafai sana hata wakipigwa uko Eastern front yeye anabadili maneno redio zote na magazeti yanaandika wako wanamshinda adui. Yani hata Field Marshalls wa Ujerumani walikuwa hawajui ukweli wa status ya vita mpaka wabahatishe kuona mtu anayetoka frontline upande mwingine. Waliokuwa wanapigania Russia wanapigwa walikuwa wanaaminishwa wanaopigana Ufaransa wanashinda, Wajerumani waliokuwa wanashindwa Ufaransa wanaaminishwa waliomo Urusi wanashinda.
Reality zinaonekana kwenye battleground. Kwani nani alijua Uturuki ikipeleka Bayraktar TB2 pale Libya ingeweza kuzuia advancement ya Khalifa Haftar na silaha zake za Urusi? Nani alijua kama Turkey supplied Azerbaijan itashinda Russian supplied Armenia?
Ni mpaka silaha za maadui zikutane ndio utajua kumbe sometimes huwa tunaaminishwa vitu sio
Jamaa aliumia sana kugawanyika Urusi ya zaman na Katika mataifa yalijitenga Ukraine ndiyo walikuwa wajeuri haswa naona kaamua kuwahiRussia sio wa mchezo ,kakiwasha wanabaki wana bwela mbwela tu ni muda wa kumuita puttin friendly au kumfuata kwenda kumsihi vinginevyo ,Russia unification imeshafika na anaenda kutimiza na kuweka alama katika taifa lake
Hakuna mtu kwa sasa ana mpango wa kuushambulia Urusi. Ukraine yenyewe haina mpango wa kuwa offensive, inataka kuwe defensive tu wala sio kuingia mpakani ndani ya Urusi. Its very unlikely nchi yoyote itake kuivamia Urusi. Urusi kadri ninavyozidi kufatilia mienendo yao kwenye mgogoro huu ndio nazidi kuwaona wana jeshi la kawaida tofauti na nilivyowadhania. Jeshi la Urusi lilikutana na majeshi korofi yenye discipline na yenye chuki ya kihistoria dhidi ya Urusi kama Poland ilivyo I can bet Urusi wanafeli mapema kabisa kwenye conventional war.Mkuu hivi hii vita kama itatokea mbona naona ipo karibu zaidi na urusi maadui zake hawawezi kutake advantage kuishambulia Urusi?