for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,436
Mkuu akirudi online mpe salamu zanguHapokei cm wala hajibu sms wakati huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu akirudi online mpe salamu zanguHapokei cm wala hajibu sms wakati huu
Uwezekano ni mkubwa coz hata WWI na WWII sababu zilikua hivi hivi. Ngoja tuone UNSC watakuja na maazimio gani leo coz wanakutana leo kizarura.Daah sijui ndo vita ya III ya dunia inaanza
Dalili za mwisho wa dunia moja wapo ni hio vita ya tatuUwezekano ni mkubwa coz hata WWI na WWII sababu zilikua hivi hivi. Ngoja tuone UNSC watakuja na maazimio gani leo coz wanakutana leo kizarura.
Kasema wazi kabisa.Mkuu Putin alisema haya au umeweka chumvi za kibongo..?
Jamaa yuko cool sana hapanic wala nini yaani.Wa Ukraine inaonyesha wamuamini sana ZelenskyYule ndio best President wa Ukraine tangu 2014 walivyobadilika hovyo. Hata ukiitisha uchaguzi leo anashinda mchana kweupe bila hata kampeni. Kuwa mchekeshaji haimaanishi hana akili, mbona Reagan alikuwa muigizaji na akawa Rais wa Marekani. Mbona Anold Schwarzenegger alikuwa Gavana wa California miaka zaidi ya kumi