Ukraine yatangaza hali ya hatari

Daah sijui ndo vita ya III ya dunia inaanza
Uwezekano ni mkubwa coz hata WWI na WWII sababu zilikua hivi hivi. Ngoja tuone UNSC watakuja na maazimio gani leo coz wanakutana leo kizarura.
 
Uwezekano ni mkubwa coz hata WWI na WWII sababu zilikua hivi hivi. Ngoja tuone UNSC watakuja na maazimio gani leo coz wanakutana leo kizarura.
Dalili za mwisho wa dunia moja wapo ni hio vita ya tatu
 
Jamaa yuko cool sana hapanic wala nini yaani.Wa Ukraine inaonyesha wamuamini sana Zelensky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…