Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Hivi si alisema yeyote atakayemsaidia Yukrein atakiona cha mtema kuni!

Mbona Wamagharibi kila siku wanaisaidia Yukrein na hakuna kitu amewafanya?

Huu ni muendelezo wa maneno matupu tu, hakuna kitu anaweza kuwafanya kwa sasa, na vita inaendelea kukua.

Hakusema atakaye msaidia Ukraine,Putin alisema taifa lolote litakalo jiingiza kijeshi kuisaidia/pigana na Urusi ndani ya Ukraine atawachukulia hatua kali maana wataonekana wazi wazi na wao ni wahusika wakuu katika mgogoro huu - hicho ndicho alicho kisema Putin msitake kugeuza maneno, msikilizeni former Waziri mkuu wa Ujerumani Bi Angela Merkel kasema nini leo kuhusu Putin na jeshi la Urusi - mambo haya msiyachukulie kimzaa mzaa hata kidogo.
 
wataingia kupambania kupata Gas, Mafuta, vyakula na mbolea za bei nafuu kutoka Ukraine na Russia ya bila ya Putin
Urusi haina jeuri tena, ukichangia na wanajeshi wao wanavyokufa huko vitani; sasa NATO wataingia rasmi kumsaidia mwanachama wao kama sera zao zinavyoelekeza.
 
Hivi si alisema yeyote atakayemsaidia Yukrein atakiona cha mtema kuni!

Mbona Wamagharibi kila siku wanaisaidia Yukrein na hakuna kitu amewafanya?

Huu ni muendelezo wa maneno matupu tu, hakuna kitu anaweza kuwafanya kwa sasa, na vita inaendelea kukua.
Msaada wao umesaidia nn ikiwa majimbo yameshakwenda
 
wataingia kupambania kupata Gas, Mafuta, vyakula na mbolea za bei nafuu kutoka Ukraine na Russia ya bila ya Putin
Hii vita itamuondoa Putin kwenye madaraka, mpaka sasa kuna viashiria vya kuchokwa na wananchi wake, ila ni nani wa kumvisha paka kengele
 
Hivi si alisema yeyote atakayemsaidia Yukrein atakiona cha mtema kuni!

Mbona Wamagharibi kila siku wanaisaidia Yukrein na hakuna kitu amewafanya?

Huu ni muendelezo wa maneno matupu tu, hakuna kitu anaweza kuwafanya kwa sasa, na vita inaendelea kukua.
Kumbe Russia wanapigana na wamagharibi na wameshindwa kumzuia Putin kuchukua maeneo. Putin balaa
 
Source: Reuters unategemea watasema nini baada ya kuona Putin kesha wazidi akili, wanasema chochote kinacho wajia kichwani - lengo la usanii huu ni kujaribu kuitisha Urusi kwamba kama atatwaa majimbo ya kusini mashariki basi na Ukraine itajiunga na NATO ili iwe rahisi ku-revoke sijui article gani ya NATO kwamba member wa NATO akishambuliwa basi members wote watskiunga pamoja kushambulia muhusika.

Reuters na wajinga wengine wanacho sahau ni kwamba uwezi kuwa member wa NATO iwapo permanent member/s ataweka pingamizi - taifa la Uturuki ambalo ndilo kubwa kieneo na kijeshi katika alliance ya NATO aliwezi kuunga mkono Ukraine kuwa member wa NATO kutokana na ukaribu wa Putin/Urusi na Rais wa Uturuki, Putin alimsaidia sana Rais wa Uturuki hasipinduliwe na CIA, kumbukeni Uturuki haiwezi kulisahau hilo.

Ukiwa katika Vita huwezi kujiunga na NATO.
 
Sheria namba moja ya NATO ili uweze kuwa mwanachama wao ni lazima mwanachama anayeomba asiwe vitani na kingine member wa NATO waliopo EU awawezi kukubali ilo suhala litokee abadani makovu waliyopata kwenye vita ya pili ya dunia ni makubwa awataki kurudi uko kumkubalia ukraine kuingia NSTO ni kupigana vita na Russia direct nchi gani apo ulaya itakayokubali miji yao iwe war field[emoji3][emoji3]
 
Hakusema atakaye msaidia Ukraine,Putin alisema taifa lolote litakalo jiingiza kijeshi kuisaidia/pigana na Urusi ndani ya Ukraine atawachukulia hatua kali maana wataonekana wazi wazi na wao ni wahusika wakuu katika mgogoro huu - hicho ndicho alicho kisema Putin msitake kugeuza maneno, msikilizeni former Waziri mkuu wa Ujerumani Bi Angela Merkel kasema nini leo kuhusu Putin na jeshi la Urusi - mambo haya msiyachukulie kimzaa mzaa hata kidogo.
Maneno matupu. Wamagharibi wanamsaidia Yukrein kwa kila kitu na hakuna kitu amewafanya. Huu ni mwendelezo wa maneno matupu huku anapelekewa kichapo.
 
Now we cannot accept Ukraine into NATO - Stoltenberg

UZI UFUNGWE SASA. JAMBO HALIWEZEKANI
 
NATO wamekataa Ukraine kujiunga saa hizi ..wajuaji wanasema zelensky wakati anatoa speech haku discuss na viongozi wa NATO ndo mana imekuwa hivi ..mana NATO wamekanusha
 
Urusi haina jeuri tena, ukichangia na wanajeshi wao wanavyokufa huko vitani; sasa NATO wataingia rasmi kumsaidia mwanachama wao kama sera zao zinavyoelekeza.

Lakin kipengele kimoja wapo ni kwamba mwanachama mpya asiwe kwenye active mzozo ajiunge akiwa hana nzozo
 
Back
Top Bottom