Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Labda urusi ya chato na sio urusi hii inayoogopwa na mataifa 30 yaliyo jiunga na kutengeneza nato.Kushambulia ile miji ya iliyopiga kura za mchongo ni kushambulia Urusi lakini kushambulia Ukrean ni kuishambulia NATO, mana ombi ndio liko mezani NATO wanataka kulifanyia kazi., Natazamia taifa la Russia kubaki history tu kwenye ulimwengu huu