Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Uturuki hachomoi any request from USA, kumbuka issue ya Sweden na Finland. Uturuki aligoma USA negotiated on behalf.
Pili wewe wa kwa mtogole huna akili yeyote kuliko Reuters, soma tena between the lines
Mturuki alikubali kwasababu Sweden alikubaliana na matakwa yake kuwapatia hao wa kurd waliojificha sweden., ila jamaa ameshaona wanamzunguka na akawakumbusha wasipotimiza waliyokubaliana yeye pia ana uwezo mkubwa wakuwakatalia maombi yao, pia Mmarekani anawazungusha kuwapatia ndege za kivita walizokua wanataka na kawaambia kama hawaeleweki atachukua za mrusi
 
Russia hawapigani bila mipango . Wananchi wa magharibi askari wao wakifa wengi tayari wanaanza riot. Wao wanataka wafe wengine na vita IWE mbali. Fuatilia ishu za Iraq , Somalia , Afghanistan , nk. West wanajipenda sana. Manyani TUPO kuwatukuza
Ile ni vita ya kiuchumi.

1. Kuzuia biashara Kati ya German na Russia Ili america ifanye hiyo biashara ndio kisa cha nordstream.

1. Kuuza silaha kwa kufanya promo mf Himmar s

2. Kutoa mikopo kwa kutumia mahela yao wanayoprint

3. Ilitafutwa tu ishu itakayomkera Russia aingie vitani na Zelensky kwa uhuni wake anatumika na USA
 
Source: Reuters unategemea watasema nini baada ya kuona Putin kesha wazidi akili, wanasema chochote kinacho wajia kichwani - lengo la usanii huu ni kujaribu kuitisha Urusi kwamba kama atatwaa majimbo ya kusini mashariki basi na Ukraine itajiunga na NATO ili iwe rahisi ku-revoke sijui article gani ya NATO kwamba member wa NATO akishambuliwa basi members wote watskiunga pamoja kushambulia muhusika.

Reuters na wajinga wengine wanacho sahau ni kwamba uwezi kuwa member wa NATO iwapo permanent member/s ataweka pingamizi - taifa la Uturuki ambalo ndilo kubwa kieneo na kijeshi katika alliance ya NATO aliwezi kuunga mkono Ukraine kuwa member wa NATO kutokana na ukaribu wa Putin/Urusi na Rais wa Uturuki, Putin alimsaidia sana Rais wa Uturuki hasipinduliwe na CIA, kumbukeni Uturuki haiwezi kulisahau hilo.
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
 
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
Angetimuliwa huko crimea
 
Labda urusi ya chato na sio urusi hii inayoogopwa na mataifa 30 yaliyo jiunga na kutengeneza nato.
Mkuu NATO hawajaingia sasa jamaa kapeleka JKT laki tatu, miezi 7 tu NATO ikiingia wenyewe unafkiri si ni kazi ya siku 1 tu
 
Wangekua historia muda sana, marekani kwa mrusi ni kataifa ka juzi tu , mrusi ana experience ya vita kubwa zaidi na zote kachomoa, mmarekani hapo vietnam tu na somalia alitolewa kamasi
Uzoefu wa Russia uko wapi mkuua jeshi hana, miezi 7 tu dunia imeshuhudia anaandikisha vijana wa JKT kuwapeleka vitani ata bulet prof hakuwapa zaidi ya bunduki mkononi, NATO kwa Russia ni chini ya lisaa limoja kazi ishaisha
 
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
Hayo macho yako yanaona papa tu na matako manene
 
Ile ni vita ya kiuchumi.

1. Kuzuia biashara Kati ya German na Russia Ili america ifanye hiyo biashara ndio kisa cha nordstream.

1. Kuuza silaha kwa kufanya promo mf Himmar s

2. Kutoa mikopo kwa kutumia mahela yao wanayoprint

3. Ilitafutwa tu ishu itakayomkera Russia aingie vitani na Zelensky kwa uhuni wake anatumika na USA
Russia is not smart period
 
Uturuki hachomoi any request from USA, kumbuka issue ya Sweden na Finland. Uturuki aligoma USA negotiated on behalf.
Pili wewe wa kwa mtogole huna akili yeyote kuliko Reuters, soma tena between the lines

Wakati mwingine kidogo mnashangaza, FYI Uturuki is a truly indepedent minded Nation, remember S-400 fiasco - je,vitisho na mikwala ya US ilisadia nini kuizuia Uturuki kununua an integrated air defense system(S-400) kutoka Urusi?

Hivi una habari wamiliki wa Reuters ni wa Taifa gani, labda tuanzie hapo. Msichukulie kila mchambuzi wa matukio ni average Joe!!

Kitu kingine tupatie evidence zinazo onyesha kwamba Uturuki iliunga mkono moja kwa moja Finland na Sweden kujiunga na NATO bila masharti yoyote kutoka taifa la Uturuki.
 
Uzoefu wa Russia uko wapi mkuua jeshi hana, miezi 7 tu dunia imeshuhudia anaandikisha vijana wa JKT kuwapeleka vitani ata bulet prof hakuwapa zaidi ya bunduki mkononi, NATO kwa Russia ni chini ya lisaa limoja kazi ishaisha
Saa limoja wakati hadi mrusi anamega nchi wao wapo tu mbona hawazuii............Jeshi hana kwani yeye alikwambia anaenda vitani au ni operesheni maalum, na huko asilimia kubwa alikua anatumia wafungwa waliokua wanatumikishwa na wagner group.....hao aliowaita kwa sasa ni wa kulinda mipaka yake na hayo maeneo mapya aliyoyachukua, mrusi akiwa hana wanajeshi basi mmarekani ndo atakua na hali mbaya kabisa, mrusi yupo ukraine na bado Syria anaendelea...
Screenshot_20221001-160042_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20221001-160721_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20221001-160705_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20221001-160902_Samsung Internet.jpg
 
Urusi haina jeuri tena, ukichangia na wanajeshi wao wanavyokufa huko vitani; sasa NATO wataingia rasmi kumsaidia mwanachama wao kama sera zao zinavyoelekeza.
Watu wanajikata huko, nani anataka shida na mrusI Zelensky atatumika kama toilet paper na kutupwa
Screenshot_20221001-161309_RT News.jpg
 
Saa limoja wakati hadi mrusi anamega nchi wao wapo tu mbona hawazuii............Jeshi hana kwani yeye alikwambia anaenda vitani au ni operesheni maalum, na huko asilimia kubwa alikua anatumia wafungwa waliokua wanatumikishwa na wagner group.....hao aliowaita kwa sasa ni wa kulinda mipaka yake na hayo maeneo mapya aliyoyachukua, mrusi akiwa hana wanajeshi basi mmarekani ndo atakua na hali mbaya kabisa, mrusi yupo ukraine na bado Syria anaendelea...View attachment 2373861View attachment 2373862View attachment 2373863View attachment 2373864
Mkuu usituletee habari za Vietnamu, muda huu naandika haya watu wako kazini huko huko mulikopiga refrendam wanachukua mji wa Lyman ambao Russia waliuteka, tuongee kwa yanayotokea sasa

Hii ndio Breaking News kinachoendelea kutokea
1921cb0c-5153-4e13-a7ae-7a60b18cdbd8.jpg

10.jpg

8a04699c-497a-4df7-91ad-7f97985989ed.jpg
 
Back
Top Bottom